Rais Samia aitaja JamiiForums, asema utoaji wa Habari umehamia mtandaoni kama ilivyo JamiiForums

Rais Samia aitaja JamiiForums, asema utoaji wa Habari umehamia mtandaoni kama ilivyo JamiiForums

Rais Samia akishiriki Kongamano la Maendeleo ya Sekta ya Habari, Juni 18, 2024 amesema zama zimebadilika na utoaji Taarifa umehamia zaidi Mitandaoni kama inavyofanyika kupitia JamiiForums.

JF ipo juu Wakuu, tuendelee kupiga spana maana wanatudhihirishia huwa wanapita

Pia
Hiyo clip sio ya jf hiyo ni clip ya Asimwe, naomba
tuwekee ile clip ya Max
P
 
tea.jpg

duuh yaan maelezo na video ni tofauti
 
Kumbe hadi Mama hadi ananisoma hapaa, sasa si aniteue niwe balozi huko ughaibuni, mbna sifa na vigezo ninavyo jamani.

[emoji23][emoji23][emoji23]
Tatizo anakuona sana MMU na Selfika, kila jina lako likikatiza anakuta unachamba watu 😀 😀
 
Tatizo anakuona sana MMU na Selfika, kila jina lako likikatiza anakuta unachamba watu 😀 😀
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] au anieweke idara ya kurugenzi hapo ikulu, mbona ndi inafaaa sana, maana inataka mtu km mie.

Ntaifanya kwa weledii haswaaa.
 
Safi sana huwa najiuliza huwa anaingia hukuwa kama Guest au ana ID, kuna I'd huwa naifananisha huenda ikawa ya Mama ila sita itaja kwa usalama.

Ila mama Nasikia Kule X mnataka kuila Kichwa, any sisi wakongwe tutaendelea huhuku tulipoanziaga kuendeleza spana.
 
Back
Top Bottom