Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo Lucas Mwashambwa atalala na viatu huku akibubujikwa machozi ya furaha baada ya hii kauli kutoka kwa jemedari, jasiri muongoza njia, kipenzi cha watanzania mama Samia.





Hiyo clip sio ya jf hiyo ni clip ya Asimwe, naombaRais Samia akishiriki Kongamano la Maendeleo ya Sekta ya Habari, Juni 18, 2024 amesema zama zimebadilika na utoaji Taarifa umehamia zaidi Mitandaoni kama inavyofanyika kupitia JamiiForums.
JF ipo juu Wakuu, tuendelee kupiga spana maana wanatudhihirishia huwa wanapita
Pia
Tatizo anakuona sana MMU na Selfika, kila jina lako likikatiza anakuta unachamba watu 😀 😀Kumbe hadi Mama hadi ananisoma hapaa, sasa si aniteue niwe balozi huko ughaibuni, mbna sifa na vigezo ninavyo jamani.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Video isharekebishwa Mkuu acha nongwaView attachment 3020074
duuh yaan maelezo na video ni tofauti
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] au anieweke idara ya kurugenzi hapo ikulu, mbona ndi inafaaa sana, maana inataka mtu km mie.Tatizo anakuona sana MMU na Selfika, kila jina lako likikatiza anakuta unachamba watu 😀 😀
Haha BUBUJIKWALeo Lucas Mwashambwa atalala na viatu huku akibubujikwa machozi ya furaha baada ya hii kauli kutoka kwa jemedari, jasiri muongoza njia, kipenzi cha watanzania mama Samia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Leo Lucas Mwashambwa atalala na viatu huku akibubujikwa machozi ya furaha baada ya hii kauli kutoka kwa jemedari, jasiri muongoza njia, kipenzi cha watanzania mama Samia.
SafiPongezi nyingi Kwa Maxence Melo na team nzima ya JF.