Rais Samia aitaja JamiiForums, asema utoaji wa Habari umehamia mtandaoni kama ilivyo JamiiForums

Rais Samia aitaja JamiiForums, asema utoaji wa Habari umehamia mtandaoni kama ilivyo JamiiForums

Leo Lucas Mwashambwa atalala na viatu huku akibubujikwa machozi ya furaha baada ya hii kauli kutoka kwa jemedari, jasiri muongoza njia, kipenzi cha watanzania mama Samia.
Atalala huku akiitazama picha ya mama kwenye hiki kitanda chake
Screenshot_20240617-092901.jpg
 
Rais Samia akishiriki Kongamano la Maendeleo ya Sekta ya Habari, Juni 18, 2024 amesema zama zimebadilika na utoaji Taarifa umehamia zaidi Mitandaoni kama inavyofanyika kupitia JamiiForums.

JF ipo juu Wakuu, tuendelee kupiga spana maana wanatudhihirishia huwa wanapita na kuchukua maoni yetu.
View attachment 3020067
Pia soma:

- Rais Samia: Huwa napitia JamiiForums naangalia maoni yenu

- Rais Samia akishiriki Kongamano la Maendeleo ya Sekta ya Habari Juni 18, 2024
Kwenye uhuru wa maoni kama ulivyoinishwa kwenye Katiba ya JMT kwa kweli Rais Samia yupo vizuri. Tuendelee kumhabarisha kupitia JF.

Yule Marehemu wa Awamu ya 5 alikuwa anapambana kutaka kuingia kwenye servers za JF ili ajue code names na IDs zetu. Ndipo akamfungulia @maxene melo makesi mengi Mahakamani. Hata hivyo Maxene alishinda zote
 
Jf ndio sisi hapa! Tunakupa habari faster
 

Attachments

  • IMG-20240618-WA0028.jpg
    IMG-20240618-WA0028.jpg
    78.9 KB · Views: 2
  • IMG-20240618-WA0026.jpg
    IMG-20240618-WA0026.jpg
    98.8 KB · Views: 2
chama Cha mapinduzi
kijani na njano
hakika kidumu chama hicho milele 😃😃😃😃😃 2025
 
Ila.mwigulu tulimtimua humu bila shaka anaingia humu kwa ID nyingine
 
Back
Top Bottom