Rais Samia aitoa CCM Dodoma ikiwa Moja, Imara,yenye Mshikamano

Rais Samia aitoa CCM Dodoma ikiwa Moja, Imara,yenye Mshikamano

Ndugu zangu uchaguzi wa CCM kuanzia mashina mpaka Taifa Umekamilika kwa kishindo ,furaha ,amani,upendo, mshikamano,umoja na ushirikiano. Ni uchaguzi uliotikisa ndani na nje ya Tanzania,Ni uchaguzi uliokuwa umeisimamisha nchi kimijadala,Ni uchaguzi ambao uliteka vyombo vyote vya Habari,Ni uchaguzi ambao uliwateka nyara wapinzani na kujikuta macho na masikio yao yakielekezwa Dodoma,Ni uchaguzi ambao ulitawaliwa na kijani na njano kila Kona ya nchi ,mitandao ya kijamii vyombo vya habari na maeneo yote yenye mkusanyiko wa watu.

Ni uchaguzi uliodhihirisha nguvu na ushawishi iliyonayo CCM,Ni uchaguzi uliyoonyesha CCM ndio nchi yenyewe,Ni uchaguzi uliodhihirisha uimara umadhubuti na ushupavu wa CCm, Ni uchaguzi uliodhihirisha bila CCM imara lazima nchi yetu itayumba na kupoteza muelekeo,Ni uchaguzi ulionyeshaa uhodari wa CCm na Wana CCM, Ni uchaguzi uliyoonyesha Hakuna awezaye kuitikisa CCM,Ni uchaguzi uliyoonyesha namna mfumo wa CCm ulivyo imara na madhubuti,Ni uchaguzi uliodhihirisha kuwa CCM Ni kubwa kuliko mtu binafsi na maslahi yake,Ni uchaguzi uliyoonyesha ukomavu wa demokrasia ndani ya CCM.

Uchaguzi ndani ya CCM umemalizika huki ukikiacha chama kikiwa imara Sana,kikiwa na malengo ya aina moja,malengo ya kuwatumikia watanzania kwa utumishi uliotukuka na kugusa maisha yao,Ni uchaguzi ambao kila kiongozi aliyepewa dhamani ya uongozi anatambua kazi iliyopo mbele yake Ni kwenda kusimamia utekelezaji wa ilani ya CCM katika kuhakikisha watanzania wanapata huduma iliyobora kabisa.

Wana CCM wamerejea makwao wakiwa na amani na upendo ,wote wameridhishwa na matokeo yaliyotokea,wote wameridhishwa na washindi waliopatikana ,wote wamekubaliana na viongozi waliochaguliwa,wote wameridhishwa na utekelezaji wa ilani ya CCM,wote kwa kauli moja wamekubaliana kwenda kuimarisha mshikamano wa Wana CCM katika kuijenga CCM iliyo imara itakayo kuwa na ushupavu na nguvu ya kusimamia utekelezaji wa ilani yake.

Wote wana hamasa na morali ya kufanya kazi kwa kushirikiana na serikali yao, wote wanatambua kuwa watanzania ndio mabosi wao na wenye nchi wanaopaswa kusikilizwa ,kunyenyekewa na kutumikiwa,wote wametambua kuwa Uchaguzi ujao utapimwa na wananchi kwa ubora wa kazi iliyofanyika wakati huu,Hivyo wote wapo Tayari kwa kazi kwa kushirikiana na serikali yao Inayoongozwa na Dr Samia,Hakuna anayetaka makundi Wala migogoro ndani ya chama kila mtu amehubiri umoja na mshikamano ndani ya chama,na kila mtu ametambua kuwa tunajenga nyumba moja hivyo haina haja ya kugombea Fito.

Hongera Dr Samia suluhu Hassani kwa kukiongoza chama chetu kutoka Dodoma salama na imara zaidi ya awali. Uchaguzi Umekwisha ,Sasa Ni muda wa kazi kuwatumikia watanzania.

Kazi Iendeleee,mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa , kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627
Rubbish
 
Utaandika sana lakini kamwe hutateuliwa
FB_IMG_1608708500589.jpg
 
Kabisa wana CCM kwa kauli moja wanaunga mkono kauli ya mzee makamba kwamba marehemu alikuwa nduli mwenye roho mbaya
 
Kama CCM imeungana na viongozi kama kina Makamba Sinia tusitegemee maendeleo. "kwamba chuo kajenga babako"
 
Leta ushahidi wa Hicho ukizungumzacho
Akina Makamba ni wauaji walimuua Dkt Magufuli. Hakuna kitu kibaya kama huu mkutano wa kujigamba eti marais wa ki Kristo walikufa kwa sababu ni wabaya na wale waislamu waliopo hai hawajafa kwa sababu ni wazuri, na kibaya eti hawajafa akina kinana kisa eti ni watu wema. Mwambie mwenyekiti wetu tumetoka Dodoma na maumivu makali sana tena mwambie atajuta kutujua 2025. Sasa hivi tutajifanya wajinga ila tunajua nguvu yetu iko wapi.
 
Akina Makamba ni wauaji walimuua Dkt Magufuli. Hakuna kitu kibaya kama huu mkutano wa kujigamba eti marais wa ki Kristo walikufa kwa sababu ni wabaya na wale waislamu waliopo hai hawajafa kwa sababu ni wazuri, na kibaya eti hawajafa akina kinana kisa eti ni watu wema. Mwambie mwenyekiti wetu tumetoka Dodoma na maumivu makali sana tena mwambie atajuta kutujua 2025. Sasa hivi tutajifanya wajinga ila tunajua nguvu yetu iko wapi.
Usipende kuandika vitu pasipo kuwa na ushahidi,usipende kuzusha vitu kwa maslahi yako binafsi, usipende kufanya upotoshaji kwa madhumuni binafsi
 
Usipende kuandika vitu pasipo kuwa na ushahidi,usipende kuzusha vitu kwa maslahi yako binafsi, usipende kufanya upotoshaji kwa madhumuni binafsi
Wewe kiumbe una akili timamu???? Hivi hujamsikia Mzee Makamba akisema Kikwete na Kinana hawajafa kwa sababu ni watu wazuri???? Kaa ujidanganye, tunasubiri tuwaone wakiishi milele Makamba, Kikwete, na Kinana maana wao wana mkataba na Mungu hawatakufa.
 
Wewe kiumbe una akili timamu???? Hivi hujamsikia Mzee Makamba akisema Kikwete na Kinana hawajafa kwa sababu ni watu wazuri???? Kaa ujidanganye, tunasubiri tuwaone wakiishi milele Makamba, Kikwete, na Kinana maana wao wana mkataba na Mungu hawatakufa.
Mh Mwenyekiti wetu alishatolea ufafanuzi kauli hiyo
 
Mh Mwenyekiti wetu alishatolea ufafanuzi kauli hiyo
Mwenyekiti wetu hakutolea ufafanuzi bali alisisitiza alichokisema Mzee Makamba na ufafanuzi siyo msamaha. Sisi wana CCM tumechukizwa sana tena mwambie tupo kimya ila tumeumia sana. Yeye mwenyekiti hajui mle kulikuwa na watu kibao waliofiwa na watu wao wa karibu. Ina maana wote waliokufa walikuwa watu wabaya??? Yaani tunaamini hata TISS wanashughulika naye kwa namna yao maana huwezi ukajitapa kuwa fulani alikufa kwa sababu ya ubaya wake. Kikubwa mwenyekiti hakupaswa kufanya hivyo alipaswa amuite Mzee Makamba amuonye na kumtaka aombe msamaha na aseme siyo utaratibu wa CCM kushangilia vifo vya watu wake.
 
Ndugu zangu uchaguzi wa CCM kuanzia mashina mpaka Taifa Umekamilika kwa kishindo ,furaha ,amani,upendo, mshikamano,umoja na ushirikiano. Ni uchaguzi uliotikisa ndani na nje ya Tanzania,Ni uchaguzi uliokuwa umeisimamisha nchi kimijadala,Ni uchaguzi ambao uliteka vyombo vyote vya Habari,Ni uchaguzi ambao uliwateka nyara wapinzani na kujikuta macho na masikio yao yakielekezwa Dodoma,Ni uchaguzi ambao ulitawaliwa na kijani na njano kila Kona ya nchi ,mitandao ya kijamii vyombo vya habari na maeneo yote yenye mkusanyiko wa watu.

Ni uchaguzi uliodhihirisha nguvu na ushawishi iliyonayo CCM,Ni uchaguzi uliyoonyesha CCM ndio nchi yenyewe,Ni uchaguzi uliodhihirisha uimara umadhubuti na ushupavu wa CCm, Ni uchaguzi uliodhihirisha bila CCM imara lazima nchi yetu itayumba na kupoteza muelekeo,Ni uchaguzi ulionyeshaa uhodari wa CCm na Wana CCM, Ni uchaguzi uliyoonyesha Hakuna awezaye kuitikisa CCM,Ni uchaguzi uliyoonyesha namna mfumo wa CCm ulivyo imara na madhubuti,Ni uchaguzi uliodhihirisha kuwa CCM Ni kubwa kuliko mtu binafsi na maslahi yake,Ni uchaguzi uliyoonyesha ukomavu wa demokrasia ndani ya CCM.

Uchaguzi ndani ya CCM umemalizika huki ukikiacha chama kikiwa imara Sana,kikiwa na malengo ya aina moja,malengo ya kuwatumikia watanzania kwa utumishi uliotukuka na kugusa maisha yao,Ni uchaguzi ambao kila kiongozi aliyepewa dhamani ya uongozi anatambua kazi iliyopo mbele yake Ni kwenda kusimamia utekelezaji wa ilani ya CCM katika kuhakikisha watanzania wanapata huduma iliyobora kabisa.

Wana CCM wamerejea makwao wakiwa na amani na upendo ,wote wameridhishwa na matokeo yaliyotokea,wote wameridhishwa na washindi waliopatikana ,wote wamekubaliana na viongozi waliochaguliwa,wote wameridhishwa na utekelezaji wa ilani ya CCM,wote kwa kauli moja wamekubaliana kwenda kuimarisha mshikamano wa Wana CCM katika kuijenga CCM iliyo imara itakayo kuwa na ushupavu na nguvu ya kusimamia utekelezaji wa ilani yake.

Wote wana hamasa na morali ya kufanya kazi kwa kushirikiana na serikali yao, wote wanatambua kuwa watanzania ndio mabosi wao na wenye nchi wanaopaswa kusikilizwa ,kunyenyekewa na kutumikiwa,wote wametambua kuwa Uchaguzi ujao utapimwa na wananchi kwa ubora wa kazi iliyofanyika wakati huu,Hivyo wote wapo Tayari kwa kazi kwa kushirikiana na serikali yao Inayoongozwa na Dr Samia,Hakuna anayetaka makundi Wala migogoro ndani ya chama kila mtu amehubiri umoja na mshikamano ndani ya chama,na kila mtu ametambua kuwa tunajenga nyumba moja hivyo haina haja ya kugombea Fito.

Hongera Dr Samia suluhu Hassani kwa kukiongoza chama chetu kutoka Dodoma salama na imara zaidi ya awali. Uchaguzi Umekwisha ,Sasa Ni muda wa kazi kuwatumikia watanzania.

Kazi Iendeleee,mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa , kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627
Ndio mnavyojidanganya. Hakuna genge lenye wazandiki kama hilo la kijani na njano.
 
Back
Top Bottom