Rais Samia aitoa CCM Dodoma ikiwa Moja, Imara,yenye Mshikamano

Rais Samia aitoa CCM Dodoma ikiwa Moja, Imara,yenye Mshikamano

Nna imani hata ukiwa una sali unaskiliza nyimbo za Mambuzi Kama zile za kusifu na kuabudu
 
Jenga hoja acha maneno ya kukalili Kama kasuku
Ni upuuzi ulioweka hapa.
Huna kazi ya kufanya?!
Uneliowa ngapi.
Watu tunakula mlo mmoja, watu wanatafuta maji usiku.
Kwani hapo palikuwepo na uchaguzi au walipanga majina na namba kama kawaida yao!! Nut.!
 
Ni upuuzi ulioweka hapa.
Huna kazi ya kufanya?!
Uneliowa ngapi.
Watu tunakula mlo mmoja, watu wanatafuta maji usiku.
Kwani hapo palikuwepo na uchaguzi au walipanga majina na namba kama kawaida yao!! Nut.!
Uligombea? Kama hukugombea acha kukichafua chama chetu, Demokrasia iliyopo Ndani ya CCM Ni imara na inayompa yeyote nafasi ya kushinda ikiwa una sifa za kiuongozi
 
Pole sana mkuu ila siocho ulichoandika.
Kifupi tuu ni kwamba mwenye kisu kikali ndio ataekula nyma nzuri na fastaa hapo na ishaliwa hiyo
 
Hakika uchawa unalipa,uckate tamaa.endelea kujitahidi hatimaye utapata malipo
Ndugu zangu uchaguzi wa CCM kuanzia mashina mpaka Taifa Umekamilika kwa kishindo ,furaha ,amani,upendo, mshikamano,umoja na ushirikiano. Ni uchaguzi uliotikisa ndani na nje ya Tanzania,Ni uchaguzi uliokuwa umeisimamisha nchi kimijadala,Ni uchaguzi ambao uliteka vyombo vyote vya Habari,Ni uchaguzi ambao uliwateka nyara wapinzani na kujikuta macho na masikio yao yakielekezwa Dodoma,Ni uchaguzi ambao ulitawaliwa na kijani na njano kila Kona ya nchi ,mitandao ya kijamii vyombo vya habari na maeneo yote yenye mkusanyiko wa watu.

Ni uchaguzi uliodhihirisha nguvu na ushawishi iliyonayo CCM,Ni uchaguzi uliyoonyesha CCM ndio nchi yenyewe,Ni uchaguzi uliodhihirisha uimara umadhubuti na ushupavu wa CCm, Ni uchaguzi uliodhihirisha bila CCM imara lazima nchi yetu itayumba na kupoteza muelekeo,Ni uchaguzi ulionyeshaa uhodari wa CCm na Wana CCM, Ni uchaguzi uliyoonyesha Hakuna awezaye kuitikisa CCM,Ni uchaguzi uliyoonyesha namna mfumo wa CCm ulivyo imara na madhubuti,Ni uchaguzi uliodhihirisha kuwa CCM Ni kubwa kuliko mtu binafsi na maslahi yake,Ni uchaguzi uliyoonyesha ukomavu wa demokrasia ndani ya CCM.

Uchaguzi ndani ya CCM umemalizika huki ukikiacha chama kikiwa imara Sana,kikiwa na malengo ya aina moja,malengo ya kuwatumikia watanzania kwa utumishi uliotukuka na kugusa maisha yao,Ni uchaguzi ambao kila kiongozi aliyepewa dhamani ya uongozi anatambua kazi iliyopo mbele yake Ni kwenda kusimamia utekelezaji wa ilani ya CCM katika kuhakikisha watanzania wanapata huduma iliyobora kabisa.

Wana CCM wamerejea makwao wakiwa na amani na upendo ,wote wameridhishwa na matokeo yaliyotokea,wote wameridhishwa na washindi waliopatikana ,wote wamekubaliana na viongozi waliochaguliwa,wote wameridhishwa na utekelezaji wa ilani ya CCM,wote kwa kauli moja wamekubaliana kwenda kuimarisha mshikamano wa Wana CCM katika kuijenga CCM iliyo imara itakayo kuwa na ushupavu na nguvu ya kusimamia utekelezaji wa ilani yake.

Wote wana hamasa na morali ya kufanya kazi kwa kushirikiana na serikali yao, wote wanatambua kuwa watanzania ndio mabosi wao na wenye nchi wanaopaswa kusikilizwa ,kunyenyekewa na kutumikiwa,wote wametambua kuwa Uchaguzi ujao utapimwa na wananchi kwa ubora wa kazi iliyofanyika wakati huu,Hivyo wote wapo Tayari kwa kazi kwa kushirikiana na serikali yao Inayoongozwa na Dr Samia,Hakuna anayetaka makundi Wala migogoro ndani ya chama kila mtu amehubiri umoja na mshikamano ndani ya chama,na kila mtu ametambua kuwa tunajenga nyumba moja hivyo haina haja ya kugombea Fito.

Hongera Dr Samia suluhu Hassani kwa kukiongoza chama chetu kutoka Dodoma salama na imara zaidi ya awali. Uchaguzi Umekwisha ,Sasa Ni muda wa kazi kuwatumikia watanzania.

Kazi Iendeleee,mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa , kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627
 
Ndugu zangu uchaguzi wa CCM kuanzia mashina mpaka Taifa Umekamilika kwa kishindo ,furaha ,amani,upendo, mshikamano,umoja na ushirikiano. Ni uchaguzi uliotikisa ndani na nje ya Tanzania,Ni uchaguzi uliokuwa umeisimamisha nchi kimijadala,Ni uchaguzi ambao uliteka vyombo vyote vya Habari,Ni uchaguzi ambao uliwateka nyara wapinzani na kujikuta macho na masikio yao yakielekezwa Dodoma,Ni uchaguzi ambao ulitawaliwa na kijani na njano kila Kona ya nchi ,mitandao ya kijamii vyombo vya habari na maeneo yote yenye mkusanyiko wa watu.

Ni uchaguzi uliodhihirisha nguvu na ushawishi iliyonayo CCM,Ni uchaguzi uliyoonyesha CCM ndio nchi yenyewe,Ni uchaguzi uliodhihirisha uimara umadhubuti na ushupavu wa CCm, Ni uchaguzi uliodhihirisha bila CCM imara lazima nchi yetu itayumba na kupoteza muelekeo,Ni uchaguzi ulionyeshaa uhodari wa CCm na Wana CCM, Ni uchaguzi uliyoonyesha Hakuna awezaye kuitikisa CCM,Ni uchaguzi uliyoonyesha namna mfumo wa CCm ulivyo imara na madhubuti,Ni uchaguzi uliodhihirisha kuwa CCM Ni kubwa kuliko mtu binafsi na maslahi yake,Ni uchaguzi uliyoonyesha ukomavu wa demokrasia ndani ya CCM.

Uchaguzi ndani ya CCM umemalizika huki ukikiacha chama kikiwa imara Sana,kikiwa na malengo ya aina moja,malengo ya kuwatumikia watanzania kwa utumishi uliotukuka na kugusa maisha yao,Ni uchaguzi ambao kila kiongozi aliyepewa dhamani ya uongozi anatambua kazi iliyopo mbele yake Ni kwenda kusimamia utekelezaji wa ilani ya CCM katika kuhakikisha watanzania wanapata huduma iliyobora kabisa.

Wana CCM wamerejea makwao wakiwa na amani na upendo ,wote wameridhishwa na matokeo yaliyotokea,wote wameridhishwa na washindi waliopatikana ,wote wamekubaliana na viongozi waliochaguliwa,wote wameridhishwa na utekelezaji wa ilani ya CCM,wote kwa kauli moja wamekubaliana kwenda kuimarisha mshikamano wa Wana CCM katika kuijenga CCM iliyo imara itakayo kuwa na ushupavu na nguvu ya kusimamia utekelezaji wa ilani yake.

Wote wana hamasa na morali ya kufanya kazi kwa kushirikiana na serikali yao, wote wanatambua kuwa watanzania ndio mabosi wao na wenye nchi wanaopaswa kusikilizwa ,kunyenyekewa na kutumikiwa,wote wametambua kuwa Uchaguzi ujao utapimwa na wananchi kwa ubora wa kazi iliyofanyika wakati huu,Hivyo wote wapo Tayari kwa kazi kwa kushirikiana na serikali yao Inayoongozwa na Dr Samia,Hakuna anayetaka makundi Wala migogoro ndani ya chama kila mtu amehubiri umoja na mshikamano ndani ya chama,na kila mtu ametambua kuwa tunajenga nyumba moja hivyo haina haja ya kugombea Fito.

Hongera Dr Samia suluhu Hassani kwa kukiongoza chama chetu kutoka Dodoma salama na imara zaidi ya awali. Uchaguzi Umekwisha ,Sasa Ni muda wa kazi kuwatumikia watanzania.

Kazi Iendeleee,mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa , kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627
KUANDIKA NAMBA YA SIMU NI DALILI YA UCHAWA
 
Ndugu zangu uchaguzi wa CCM kuanzia mashina mpaka Taifa Umekamilika kwa kishindo ,furaha ,amani,upendo, mshikamano,umoja na ushirikiano. Ni uchaguzi uliotikisa ndani na nje ya Tanzania,Ni uchaguzi uliokuwa umeisimamisha nchi kimijadala,Ni uchaguzi ambao uliteka vyombo vyote vya Habari,Ni uchaguzi ambao uliwateka nyara wapinzani na kujikuta macho na masikio yao yakielekezwa Dodoma,Ni uchaguzi ambao ulitawaliwa na kijani na njano kila Kona ya nchi ,mitandao ya kijamii vyombo vya habari na maeneo yote yenye mkusanyiko wa watu.

Ni uchaguzi uliodhihirisha nguvu na ushawishi iliyonayo CCM,Ni uchaguzi uliyoonyesha CCM ndio nchi yenyewe,Ni uchaguzi uliodhihirisha uimara umadhubuti na ushupavu wa CCm, Ni uchaguzi uliodhihirisha bila CCM imara lazima nchi yetu itayumba na kupoteza muelekeo,Ni uchaguzi ulionyeshaa uhodari wa CCm na Wana CCM, Ni uchaguzi uliyoonyesha Hakuna awezaye kuitikisa CCM,Ni uchaguzi uliyoonyesha namna mfumo wa CCm ulivyo imara na madhubuti,Ni uchaguzi uliodhihirisha kuwa CCM Ni kubwa kuliko mtu binafsi na maslahi yake,Ni uchaguzi uliyoonyesha ukomavu wa demokrasia ndani ya CCM.

Uchaguzi ndani ya CCM umemalizika huki ukikiacha chama kikiwa imara Sana,kikiwa na malengo ya aina moja,malengo ya kuwatumikia watanzania kwa utumishi uliotukuka na kugusa maisha yao,Ni uchaguzi ambao kila kiongozi aliyepewa dhamani ya uongozi anatambua kazi iliyopo mbele yake Ni kwenda kusimamia utekelezaji wa ilani ya CCM katika kuhakikisha watanzania wanapata huduma iliyobora kabisa.

Wana CCM wamerejea makwao wakiwa na amani na upendo ,wote wameridhishwa na matokeo yaliyotokea,wote wameridhishwa na washindi waliopatikana ,wote wamekubaliana na viongozi waliochaguliwa,wote wameridhishwa na utekelezaji wa ilani ya CCM,wote kwa kauli moja wamekubaliana kwenda kuimarisha mshikamano wa Wana CCM katika kuijenga CCM iliyo imara itakayo kuwa na ushupavu na nguvu ya kusimamia utekelezaji wa ilani yake.

Wote wana hamasa na morali ya kufanya kazi kwa kushirikiana na serikali yao, wote wanatambua kuwa watanzania ndio mabosi wao na wenye nchi wanaopaswa kusikilizwa ,kunyenyekewa na kutumikiwa,wote wametambua kuwa Uchaguzi ujao utapimwa na wananchi kwa ubora wa kazi iliyofanyika wakati huu,Hivyo wote wapo Tayari kwa kazi kwa kushirikiana na serikali yao Inayoongozwa na Dr Samia,Hakuna anayetaka makundi Wala migogoro ndani ya chama kila mtu amehubiri umoja na mshikamano ndani ya chama,na kila mtu ametambua kuwa tunajenga nyumba moja hivyo haina haja ya kugombea Fito.

Hongera Dr Samia suluhu Hassani kwa kukiongoza chama chetu kutoka Dodoma salama na imara zaidi ya awali. Uchaguzi Umekwisha ,Sasa Ni muda wa kazi kuwatumikia watanzania.

Kazi Iendeleee,mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa , kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627
Waombe moderators wahariri post yako.
Kwenye heading neno DHAMILIA lisomeke DHAMIRIA

Lakini umepost uzandiki. Kuna maumivu yapo njiani
 
Ndugu zangu uchaguzi wa CCM kuanzia mashina mpaka Taifa Umekamilika kwa kishindo ,furaha ,amani,upendo, mshikamano,umoja na ushirikiano. Ni uchaguzi uliotikisa ndani na nje ya Tanzania,Ni uchaguzi uliokuwa umeisimamisha nchi kimijadala,Ni uchaguzi ambao uliteka vyombo vyote vya Habari,Ni uchaguzi ambao uliwateka nyara wapinzani na kujikuta macho na masikio yao yakielekezwa Dodoma,Ni uchaguzi ambao ulitawaliwa na kijani na njano kila Kona ya nchi ,mitandao ya kijamii vyombo vya habari na maeneo yote yenye mkusanyiko wa watu.

Ni uchaguzi uliodhihirisha nguvu na ushawishi iliyonayo CCM,Ni uchaguzi uliyoonyesha CCM ndio nchi yenyewe,Ni uchaguzi uliodhihirisha uimara umadhubuti na ushupavu wa CCm, Ni uchaguzi uliodhihirisha bila CCM imara lazima nchi yetu itayumba na kupoteza muelekeo,Ni uchaguzi ulionyeshaa uhodari wa CCm na Wana CCM, Ni uchaguzi uliyoonyesha Hakuna awezaye kuitikisa CCM,Ni uchaguzi uliyoonyesha namna mfumo wa CCm ulivyo imara na madhubuti,Ni uchaguzi uliodhihirisha kuwa CCM Ni kubwa kuliko mtu binafsi na maslahi yake,Ni uchaguzi uliyoonyesha ukomavu wa demokrasia ndani ya CCM.

Uchaguzi ndani ya CCM umemalizika huki ukikiacha chama kikiwa imara Sana,kikiwa na malengo ya aina moja,malengo ya kuwatumikia watanzania kwa utumishi uliotukuka na kugusa maisha yao,Ni uchaguzi ambao kila kiongozi aliyepewa dhamani ya uongozi anatambua kazi iliyopo mbele yake Ni kwenda kusimamia utekelezaji wa ilani ya CCM katika kuhakikisha watanzania wanapata huduma iliyobora kabisa.

Wana CCM wamerejea makwao wakiwa na amani na upendo ,wote wameridhishwa na matokeo yaliyotokea,wote wameridhishwa na washindi waliopatikana ,wote wamekubaliana na viongozi waliochaguliwa,wote wameridhishwa na utekelezaji wa ilani ya CCM,wote kwa kauli moja wamekubaliana kwenda kuimarisha mshikamano wa Wana CCM katika kuijenga CCM iliyo imara itakayo kuwa na ushupavu na nguvu ya kusimamia utekelezaji wa ilani yake.

Wote wana hamasa na morali ya kufanya kazi kwa kushirikiana na serikali yao, wote wanatambua kuwa watanzania ndio mabosi wao na wenye nchi wanaopaswa kusikilizwa ,kunyenyekewa na kutumikiwa,wote wametambua kuwa Uchaguzi ujao utapimwa na wananchi kwa ubora wa kazi iliyofanyika wakati huu,Hivyo wote wapo Tayari kwa kazi kwa kushirikiana na serikali yao Inayoongozwa na Dr Samia,Hakuna anayetaka makundi Wala migogoro ndani ya chama kila mtu amehubiri umoja na mshikamano ndani ya chama,na kila mtu ametambua kuwa tunajenga nyumba moja hivyo haina haja ya kugombea Fito.

Hongera Dr Samia suluhu Hassani kwa kukiongoza chama chetu kutoka Dodoma salama na imara zaidi ya awali. Uchaguzi Umekwisha ,Sasa Ni muda wa kazi kuwatumikia watanzania.

Kazi Iendeleee,mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa , kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627
ccm na wafuas wao ni mazwazwa na mashoga yanayojipendekeza kupata teuz
 
Waombe moderators wahariri post yako.
Kwenye heading neno DHAMILIA lisomeke DHAMIRIA

Lakini umepost uzandiki. Kuna maumivu yapo njiani
Nashukuru kwa kunirekebisha katika kosa la kiherufi nililolifanya ,Nimekubali kosa Hilo. Pili naomba uwe na Imani na serikali ya CCM maana mambo mazuri yanakuja kutokana na tunavyoona serikali ya mh Dr Samia inavyojipanga kiutendaji katika kututumikia watanzania
 
Na Deni la Taifa😂
Hakuna nchi isiyo daiwa au kukopa,kikubwa Ni aina ya mkopo na kazi unayokwenda kufanya mkopo husika. Serikali ya Rais Dr Samia tumesikia na kuona ikichukua na kusisitiza kuhitaji na kuchukua mikopo ya masharti nafuu yasiyo tuumiza Kama Taifa. Lakini pia serikali yetu imekuwa ikiwekeza katika miradi inayogusa maisha ya watanzania
 
Back
Top Bottom