Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni upuuzi ulioweka hapa.Jenga hoja acha maneno ya kukalili Kama kasuku
Uligombea? Kama hukugombea acha kukichafua chama chetu, Demokrasia iliyopo Ndani ya CCM Ni imara na inayompa yeyote nafasi ya kushinda ikiwa una sifa za kiuongoziNi upuuzi ulioweka hapa.
Huna kazi ya kufanya?!
Uneliowa ngapi.
Watu tunakula mlo mmoja, watu wanatafuta maji usiku.
Kwani hapo palikuwepo na uchaguzi au walipanga majina na namba kama kawaida yao!! Nut.!
Ndugu zangu uchaguzi wa CCM kuanzia mashina mpaka Taifa Umekamilika kwa kishindo ,furaha ,amani,upendo, mshikamano,umoja na ushirikiano. Ni uchaguzi uliotikisa ndani na nje ya Tanzania,Ni uchaguzi uliokuwa umeisimamisha nchi kimijadala,Ni uchaguzi ambao uliteka vyombo vyote vya Habari,Ni uchaguzi ambao uliwateka nyara wapinzani na kujikuta macho na masikio yao yakielekezwa Dodoma,Ni uchaguzi ambao ulitawaliwa na kijani na njano kila Kona ya nchi ,mitandao ya kijamii vyombo vya habari na maeneo yote yenye mkusanyiko wa watu.
Ni uchaguzi uliodhihirisha nguvu na ushawishi iliyonayo CCM,Ni uchaguzi uliyoonyesha CCM ndio nchi yenyewe,Ni uchaguzi uliodhihirisha uimara umadhubuti na ushupavu wa CCm, Ni uchaguzi uliodhihirisha bila CCM imara lazima nchi yetu itayumba na kupoteza muelekeo,Ni uchaguzi ulionyeshaa uhodari wa CCm na Wana CCM, Ni uchaguzi uliyoonyesha Hakuna awezaye kuitikisa CCM,Ni uchaguzi uliyoonyesha namna mfumo wa CCm ulivyo imara na madhubuti,Ni uchaguzi uliodhihirisha kuwa CCM Ni kubwa kuliko mtu binafsi na maslahi yake,Ni uchaguzi uliyoonyesha ukomavu wa demokrasia ndani ya CCM.
Uchaguzi ndani ya CCM umemalizika huki ukikiacha chama kikiwa imara Sana,kikiwa na malengo ya aina moja,malengo ya kuwatumikia watanzania kwa utumishi uliotukuka na kugusa maisha yao,Ni uchaguzi ambao kila kiongozi aliyepewa dhamani ya uongozi anatambua kazi iliyopo mbele yake Ni kwenda kusimamia utekelezaji wa ilani ya CCM katika kuhakikisha watanzania wanapata huduma iliyobora kabisa.
Wana CCM wamerejea makwao wakiwa na amani na upendo ,wote wameridhishwa na matokeo yaliyotokea,wote wameridhishwa na washindi waliopatikana ,wote wamekubaliana na viongozi waliochaguliwa,wote wameridhishwa na utekelezaji wa ilani ya CCM,wote kwa kauli moja wamekubaliana kwenda kuimarisha mshikamano wa Wana CCM katika kuijenga CCM iliyo imara itakayo kuwa na ushupavu na nguvu ya kusimamia utekelezaji wa ilani yake.
Wote wana hamasa na morali ya kufanya kazi kwa kushirikiana na serikali yao, wote wanatambua kuwa watanzania ndio mabosi wao na wenye nchi wanaopaswa kusikilizwa ,kunyenyekewa na kutumikiwa,wote wametambua kuwa Uchaguzi ujao utapimwa na wananchi kwa ubora wa kazi iliyofanyika wakati huu,Hivyo wote wapo Tayari kwa kazi kwa kushirikiana na serikali yao Inayoongozwa na Dr Samia,Hakuna anayetaka makundi Wala migogoro ndani ya chama kila mtu amehubiri umoja na mshikamano ndani ya chama,na kila mtu ametambua kuwa tunajenga nyumba moja hivyo haina haja ya kugombea Fito.
Hongera Dr Samia suluhu Hassani kwa kukiongoza chama chetu kutoka Dodoma salama na imara zaidi ya awali. Uchaguzi Umekwisha ,Sasa Ni muda wa kazi kuwatumikia watanzania.
Kazi Iendeleee,mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa , kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627
Unaanzaje kumwita mwanadamu mwenzio Chawa
Sikugombea ujumbe,Miaka ijayo nitaomba maombi yako nikichukua fomuEhe na wewe umegombea nafasi gani
Ova
KUANDIKA NAMBA YA SIMU NI DALILI YA UCHAWANdugu zangu uchaguzi wa CCM kuanzia mashina mpaka Taifa Umekamilika kwa kishindo ,furaha ,amani,upendo, mshikamano,umoja na ushirikiano. Ni uchaguzi uliotikisa ndani na nje ya Tanzania,Ni uchaguzi uliokuwa umeisimamisha nchi kimijadala,Ni uchaguzi ambao uliteka vyombo vyote vya Habari,Ni uchaguzi ambao uliwateka nyara wapinzani na kujikuta macho na masikio yao yakielekezwa Dodoma,Ni uchaguzi ambao ulitawaliwa na kijani na njano kila Kona ya nchi ,mitandao ya kijamii vyombo vya habari na maeneo yote yenye mkusanyiko wa watu.
Ni uchaguzi uliodhihirisha nguvu na ushawishi iliyonayo CCM,Ni uchaguzi uliyoonyesha CCM ndio nchi yenyewe,Ni uchaguzi uliodhihirisha uimara umadhubuti na ushupavu wa CCm, Ni uchaguzi uliodhihirisha bila CCM imara lazima nchi yetu itayumba na kupoteza muelekeo,Ni uchaguzi ulionyeshaa uhodari wa CCm na Wana CCM, Ni uchaguzi uliyoonyesha Hakuna awezaye kuitikisa CCM,Ni uchaguzi uliyoonyesha namna mfumo wa CCm ulivyo imara na madhubuti,Ni uchaguzi uliodhihirisha kuwa CCM Ni kubwa kuliko mtu binafsi na maslahi yake,Ni uchaguzi uliyoonyesha ukomavu wa demokrasia ndani ya CCM.
Uchaguzi ndani ya CCM umemalizika huki ukikiacha chama kikiwa imara Sana,kikiwa na malengo ya aina moja,malengo ya kuwatumikia watanzania kwa utumishi uliotukuka na kugusa maisha yao,Ni uchaguzi ambao kila kiongozi aliyepewa dhamani ya uongozi anatambua kazi iliyopo mbele yake Ni kwenda kusimamia utekelezaji wa ilani ya CCM katika kuhakikisha watanzania wanapata huduma iliyobora kabisa.
Wana CCM wamerejea makwao wakiwa na amani na upendo ,wote wameridhishwa na matokeo yaliyotokea,wote wameridhishwa na washindi waliopatikana ,wote wamekubaliana na viongozi waliochaguliwa,wote wameridhishwa na utekelezaji wa ilani ya CCM,wote kwa kauli moja wamekubaliana kwenda kuimarisha mshikamano wa Wana CCM katika kuijenga CCM iliyo imara itakayo kuwa na ushupavu na nguvu ya kusimamia utekelezaji wa ilani yake.
Wote wana hamasa na morali ya kufanya kazi kwa kushirikiana na serikali yao, wote wanatambua kuwa watanzania ndio mabosi wao na wenye nchi wanaopaswa kusikilizwa ,kunyenyekewa na kutumikiwa,wote wametambua kuwa Uchaguzi ujao utapimwa na wananchi kwa ubora wa kazi iliyofanyika wakati huu,Hivyo wote wapo Tayari kwa kazi kwa kushirikiana na serikali yao Inayoongozwa na Dr Samia,Hakuna anayetaka makundi Wala migogoro ndani ya chama kila mtu amehubiri umoja na mshikamano ndani ya chama,na kila mtu ametambua kuwa tunajenga nyumba moja hivyo haina haja ya kugombea Fito.
Hongera Dr Samia suluhu Hassani kwa kukiongoza chama chetu kutoka Dodoma salama na imara zaidi ya awali. Uchaguzi Umekwisha ,Sasa Ni muda wa kazi kuwatumikia watanzania.
Kazi Iendeleee,mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa , kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627
Acha maneno ya kukalili na kukalilishwaChawa promax
Siyo kweli ukisemachoKUANDIKA NAMBA YA SIMU NI DALILI YA UCHAWA
Siandiki hapa ili nilipwe Bali nàandika kutokana na uzalendo wangu kwa Taifa langu, serikali yangu na chama changu Cha ccmHakika uchawa unalipa,uckate tamaa.endelea kujitahidi hatimaye utapata malipo
Waombe moderators wahariri post yako.Ndugu zangu uchaguzi wa CCM kuanzia mashina mpaka Taifa Umekamilika kwa kishindo ,furaha ,amani,upendo, mshikamano,umoja na ushirikiano. Ni uchaguzi uliotikisa ndani na nje ya Tanzania,Ni uchaguzi uliokuwa umeisimamisha nchi kimijadala,Ni uchaguzi ambao uliteka vyombo vyote vya Habari,Ni uchaguzi ambao uliwateka nyara wapinzani na kujikuta macho na masikio yao yakielekezwa Dodoma,Ni uchaguzi ambao ulitawaliwa na kijani na njano kila Kona ya nchi ,mitandao ya kijamii vyombo vya habari na maeneo yote yenye mkusanyiko wa watu.
Ni uchaguzi uliodhihirisha nguvu na ushawishi iliyonayo CCM,Ni uchaguzi uliyoonyesha CCM ndio nchi yenyewe,Ni uchaguzi uliodhihirisha uimara umadhubuti na ushupavu wa CCm, Ni uchaguzi uliodhihirisha bila CCM imara lazima nchi yetu itayumba na kupoteza muelekeo,Ni uchaguzi ulionyeshaa uhodari wa CCm na Wana CCM, Ni uchaguzi uliyoonyesha Hakuna awezaye kuitikisa CCM,Ni uchaguzi uliyoonyesha namna mfumo wa CCm ulivyo imara na madhubuti,Ni uchaguzi uliodhihirisha kuwa CCM Ni kubwa kuliko mtu binafsi na maslahi yake,Ni uchaguzi uliyoonyesha ukomavu wa demokrasia ndani ya CCM.
Uchaguzi ndani ya CCM umemalizika huki ukikiacha chama kikiwa imara Sana,kikiwa na malengo ya aina moja,malengo ya kuwatumikia watanzania kwa utumishi uliotukuka na kugusa maisha yao,Ni uchaguzi ambao kila kiongozi aliyepewa dhamani ya uongozi anatambua kazi iliyopo mbele yake Ni kwenda kusimamia utekelezaji wa ilani ya CCM katika kuhakikisha watanzania wanapata huduma iliyobora kabisa.
Wana CCM wamerejea makwao wakiwa na amani na upendo ,wote wameridhishwa na matokeo yaliyotokea,wote wameridhishwa na washindi waliopatikana ,wote wamekubaliana na viongozi waliochaguliwa,wote wameridhishwa na utekelezaji wa ilani ya CCM,wote kwa kauli moja wamekubaliana kwenda kuimarisha mshikamano wa Wana CCM katika kuijenga CCM iliyo imara itakayo kuwa na ushupavu na nguvu ya kusimamia utekelezaji wa ilani yake.
Wote wana hamasa na morali ya kufanya kazi kwa kushirikiana na serikali yao, wote wanatambua kuwa watanzania ndio mabosi wao na wenye nchi wanaopaswa kusikilizwa ,kunyenyekewa na kutumikiwa,wote wametambua kuwa Uchaguzi ujao utapimwa na wananchi kwa ubora wa kazi iliyofanyika wakati huu,Hivyo wote wapo Tayari kwa kazi kwa kushirikiana na serikali yao Inayoongozwa na Dr Samia,Hakuna anayetaka makundi Wala migogoro ndani ya chama kila mtu amehubiri umoja na mshikamano ndani ya chama,na kila mtu ametambua kuwa tunajenga nyumba moja hivyo haina haja ya kugombea Fito.
Hongera Dr Samia suluhu Hassani kwa kukiongoza chama chetu kutoka Dodoma salama na imara zaidi ya awali. Uchaguzi Umekwisha ,Sasa Ni muda wa kazi kuwatumikia watanzania.
Kazi Iendeleee,mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa , kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627
ccm na wafuas wao ni mazwazwa na mashoga yanayojipendekeza kupata teuzNdugu zangu uchaguzi wa CCM kuanzia mashina mpaka Taifa Umekamilika kwa kishindo ,furaha ,amani,upendo, mshikamano,umoja na ushirikiano. Ni uchaguzi uliotikisa ndani na nje ya Tanzania,Ni uchaguzi uliokuwa umeisimamisha nchi kimijadala,Ni uchaguzi ambao uliteka vyombo vyote vya Habari,Ni uchaguzi ambao uliwateka nyara wapinzani na kujikuta macho na masikio yao yakielekezwa Dodoma,Ni uchaguzi ambao ulitawaliwa na kijani na njano kila Kona ya nchi ,mitandao ya kijamii vyombo vya habari na maeneo yote yenye mkusanyiko wa watu.
Ni uchaguzi uliodhihirisha nguvu na ushawishi iliyonayo CCM,Ni uchaguzi uliyoonyesha CCM ndio nchi yenyewe,Ni uchaguzi uliodhihirisha uimara umadhubuti na ushupavu wa CCm, Ni uchaguzi uliodhihirisha bila CCM imara lazima nchi yetu itayumba na kupoteza muelekeo,Ni uchaguzi ulionyeshaa uhodari wa CCm na Wana CCM, Ni uchaguzi uliyoonyesha Hakuna awezaye kuitikisa CCM,Ni uchaguzi uliyoonyesha namna mfumo wa CCm ulivyo imara na madhubuti,Ni uchaguzi uliodhihirisha kuwa CCM Ni kubwa kuliko mtu binafsi na maslahi yake,Ni uchaguzi uliyoonyesha ukomavu wa demokrasia ndani ya CCM.
Uchaguzi ndani ya CCM umemalizika huki ukikiacha chama kikiwa imara Sana,kikiwa na malengo ya aina moja,malengo ya kuwatumikia watanzania kwa utumishi uliotukuka na kugusa maisha yao,Ni uchaguzi ambao kila kiongozi aliyepewa dhamani ya uongozi anatambua kazi iliyopo mbele yake Ni kwenda kusimamia utekelezaji wa ilani ya CCM katika kuhakikisha watanzania wanapata huduma iliyobora kabisa.
Wana CCM wamerejea makwao wakiwa na amani na upendo ,wote wameridhishwa na matokeo yaliyotokea,wote wameridhishwa na washindi waliopatikana ,wote wamekubaliana na viongozi waliochaguliwa,wote wameridhishwa na utekelezaji wa ilani ya CCM,wote kwa kauli moja wamekubaliana kwenda kuimarisha mshikamano wa Wana CCM katika kuijenga CCM iliyo imara itakayo kuwa na ushupavu na nguvu ya kusimamia utekelezaji wa ilani yake.
Wote wana hamasa na morali ya kufanya kazi kwa kushirikiana na serikali yao, wote wanatambua kuwa watanzania ndio mabosi wao na wenye nchi wanaopaswa kusikilizwa ,kunyenyekewa na kutumikiwa,wote wametambua kuwa Uchaguzi ujao utapimwa na wananchi kwa ubora wa kazi iliyofanyika wakati huu,Hivyo wote wapo Tayari kwa kazi kwa kushirikiana na serikali yao Inayoongozwa na Dr Samia,Hakuna anayetaka makundi Wala migogoro ndani ya chama kila mtu amehubiri umoja na mshikamano ndani ya chama,na kila mtu ametambua kuwa tunajenga nyumba moja hivyo haina haja ya kugombea Fito.
Hongera Dr Samia suluhu Hassani kwa kukiongoza chama chetu kutoka Dodoma salama na imara zaidi ya awali. Uchaguzi Umekwisha ,Sasa Ni muda wa kazi kuwatumikia watanzania.
Kazi Iendeleee,mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa , kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627
Nashukuru kwa kunirekebisha katika kosa la kiherufi nililolifanya ,Nimekubali kosa Hilo. Pili naomba uwe na Imani na serikali ya CCM maana mambo mazuri yanakuja kutokana na tunavyoona serikali ya mh Dr Samia inavyojipanga kiutendaji katika kututumikia watanzaniaWaombe moderators wahariri post yako.
Kwenye heading neno DHAMILIA lisomeke DHAMIRIA
Lakini umepost uzandiki. Kuna maumivu yapo njiani
Hakuna nchi isiyo daiwa au kukopa,kikubwa Ni aina ya mkopo na kazi unayokwenda kufanya mkopo husika. Serikali ya Rais Dr Samia tumesikia na kuona ikichukua na kusisitiza kuhitaji na kuchukua mikopo ya masharti nafuu yasiyo tuumiza Kama Taifa. Lakini pia serikali yetu imekuwa ikiwekeza katika miradi inayogusa maisha ya watanzaniaNa Deni la Taifa😂
Hapo hujaandika hoja yoyote zaidi ya kuonyesha udhaifu wa kihoja na malezi mabovu iliyopewa kutoka kwa walezi wakoccm na wafuas wao ni mazwazwa na mashoga yanayojipendekeza kupata teuz
Kwa Sasa kadi za CCM zinatafutwa na wanachama wapya Kama Almasi,kila kijana anajiona Fahari kuwa mwanachama wa CCm chama ambacho kimebeba matumaini ya watanzaniaCCM sasa inakimbiliwa na kila mtanzania ,raha iliyoje