Rais Samia aitoa CCM Dodoma ikiwa Moja, Imara,yenye Mshikamano

Deni ni kubwa sana boss, trillion 10 ni kulipa interest tuu, ni kama makusanyo ya TRA kwa mwaka 100% ni ya kulipa madeni, haki ya mungu CCM mmeua nchi
 
Tunza sana heshima yako na uache kueneza uongo.

Haya mabaya ya sasa nani kayaleta?


Kwa nini tusubiri mazuri yanayokuja?
 
Tunza sana heshima yako na uache kueneza uongo.

Haya mabaya ya sasa nani kayaleta?


Kwa nini tusubiri mazuri yanayokuja?
Tusubili mazuri zaidi ya hapa kwa miradi yote itakapokamilika vizuri,Ikumbukwe kuwa mh Rais wetu hajafikkisha hata miaka miwili ofisini
 
Tusubili mazuri zaidi ya hapa kwa miradi yote itakapokamilika vizuri,Ikumbukwe kuwa mh Rais wetu hajafikkisha hata miaka miwili ofisini
  1. Vipi kuhusu deni kufikia Tr 90+
  2. Miradi ya maendeleo (mnapeana ukandarasi) itakamilika. Je hali ya maisha ya hao mnaowaimba kuwa ndo wanufaika na hiyo miradi ipoje?
  3. Ulinzi na utii kwa Katiba ya nchi upoje kwa CCM hii yenye wakubwa wasio na makosa?
  4. Umeme na maji hali hii imeletwa chini ya ilani ipi?
  5. Mfumuko wa bei ambao hauwastui nyie mnaoeneza mazuri ya CCM ni ilani ipi imeyaleta hayo?
 
Kuna wajumbe bado wako Dodoma wakila Raha na kuambukizana Ukimwi, Gonorrhea na UTI sugu
 
Andika kiswahili lugha yetu Tamu na ya heshima iliyotujengea umoja wa kitaifa
Kwa hiyo kiingereza ambacho kama ulijifunzia katika ngazi Fulani ya elimu (iwapo umesoma kidogo)na kinachotumika kukuamuru hapa jf ambapo Kuna neno "forum" no lugha chungu siyokua na heshima iliyovunja umoja wa kitafa?
Ama kwa hakika WAZAZI WAKO WALIUZA NG'OMBE WAKAPELEKA NG'OMBE SHULE"
na ama kwa hakika pia Wewe ni miongoni wa wale vijana wasaliti wa taifa aliwatabiri Nyerere kwamba elimu mliyopewa kwa gharama Kubwa na taifa hili mnashindwa kuitumia kwa manufaa ya taifa hili mnawalamba matako watawala ili mpewe vyeo badala ya kuwaonesha Kuwa wapo uchi na yafaa wajifunike hata kama itagharimu uhai WAKO! Mpumbavu mmoja Wewe ashakum sio matusi ni kutokana na ukweli kwamba hutaki kujifunza unakumbatia ujinga!
 
Its true sababu hajui tofauti ya facts na propaganda! Anachokiandika mitandaoni ni nadharia ambayo ukisikiliza taarifa ya habari unaweza ukatunga story na kimetengenezea MTU personality na attributes asizokua Nazo! Huyu hafai Kuwa karibu mana atakua MTU wa nadharia TU! Tena za uongo
Uliifaa upewe ukatibu mwenezi wa chama. Unafaa Sana maana unajitolea kweli hata Kama unaongea pumba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…