Rais Samia akifungua Shule ya Sekondari Bumbwini Misufini Zanzibar Januari 8, 2025

Rais Samia akifungua Shule ya Sekondari Bumbwini Misufini Zanzibar Januari 8, 2025

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Siku ya leo Januari 8, 2025 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefungua Skuli ya Sekondari Misufini, Bumbwini Zanzibar tarehe 08 Januari, 2025 wakati wa shamrashamra za kuelekea miaka 61 ya Mapinduzi ya Zanzibar.

Katika hotuba yake Rais Samia aligusia yafuatayo:

  • Aliomba watendaji wa kiserikali na watumishi wa shule hiyo wafanye kazi kwa uadilifu ikiwemo kutunza na kulinda mali za shule hiyo mpya ili iweze kudumu kwa muda mrefu na isipate uchakavu ndani ya muda mfupi

  • Aliwakumbusha wananchi kuhusu dhana ya mapinduzi visiwani Zanzibar akidokeza kuwa kwa sasa Zanzibar inajikita zaidi katika maendeleo na mapinduzi ya kiuchumi mara baada ya kupata uhuru wake wa kisiasa mwaka 1963.

  • Ameomba shule hiyo mpya iitwe Balozi Seif Sekondari kwa ajili ya kumuheshimisha makamu wa Urais wa pili kutoka Zanzibar Balozi Seif.

 
duu sasa hivi mambo yote ni zenji tu........
 
Niseme nilikuwa namtetea huyu Samia ila nimekuja kumchukia sana sahivi. Huyu mama ni mabguzi kuliko Magu, sahivi anazindua skuli za mabilioni Zanzibar, pesa za Tanganyika zinaliwa bila huruma. huku Tanganyika shule za sekondari madarasa hayajapigwa hata plasta. Zanzaibar skuli moja inajengwa kwa Tshs 6,100,000,000/. Maghorofa yanajengwa km uyoga. Zanzibar imepata wapi hela yote kipindi hiki Rais wa jamhuri akiwa Mzanzibari?

watanganyika Samia ndiyo mwisho wa muungano, huyu mama hana hata aibu wala hofu anaijenga Zanzibar kwa pesa za watangabyika, mpaka 2030 sijui nchi itakuwa wapi. Ukweli ni kwamba Samia yupo kwa ajili ya Zanzibar. Tanganyika haikuwa na shughuli yoyote hakutaka hata sherehe ya uhuru wa Tanganyika, ila Zanzibar ni uzinduzi wa miradi na sherehe kubwa Zanzibar. Tutatokaje hapa tulipo wajameni tumeshaliwa. huku Tanganyika hakuna mradi wowote ila Zanzibar kuna mamia ya miradi inazinduliwa kila siku. Huku kwetu miradi imesimama karibu yote. Barabara zilizosainiwa Juni 2023 mpaka leo hakuna mradi umeanza. wakati wa Mwinyi lilijitokeza kundi la wabunge 55 (G55) kuidai Tanganyika, wakati ule tulikuwa na Nyerere sahivi nani anamzuia huyu mama, amemweka mnyiramba wizara ya fedha, pesa zinahamishwa Zanzibar bila ht huruma. Maskini Tanganyika.
 
Niseme nilikuwa namtetea huyu Samia ila nimekuja kumchukia sana sahivi. Huyu mama ni mabguzi kuliko Magu, sahivi anazindua skuli za mabilioni Zanzibar, pesa za Tanganyika zinaliwa bila huruma. huku Tanganyika shule za sekondari madarasa hayajapigwa hata plasta. Zanzaibar skuli moja inajengwa kwa Tshs 6,100,000,000/. Maghorofa yanajengwa km uyoga. Zanzibar imepata wapi hela yote kipindi hiki Rais wa jamhuri akiwa Mzanzibari?

watanganyika Samia ndiyo mwisho wa muungano, huyu mama hana hata aibu wala hofu anaijenga Zanzibar kwa pesa za watangabyika, mpaka 2030 sijui nchi itakuwa wapi. Huyu alitakiwa apinduliwe akiwa kule kwao Zanzibar asirudi kwetu. Ukweli ni kwamba Samia yupo kwa ajili ya Zanzibar. Tanganyika haikuwa na shughuli yoyote hakutaka hata sherehe ya uhuru wa Tanganyika, ila Zanzibar ni uzinduzi wa miradi na sherehe kubwa Zanzibar. Tutatokaje hapa tulipo wajameni tumeshaliwa. Huyu mama ni zaidi ya kaburu. huku Tanganyika hakuna mradi wowote ila Zanzibar kuna mamia ya miradi inazinduliwa kila siku. Huku kwetu miradi imesimama karibu yote. Barabara zilizosainiwa Juni 2023 mpaka leo hakuna mradi umeanza. wakati wa Mwinyi lilijitokeza kundi la wabunge 55 (G55) kuidai Tanganyika, wakati ule tulikuwa na Nyerere sahivi nani anamzuia huyu mama, amemweka mnyiramba wizara ya fedha, pesa zinahamishwa Zanzibar bila ht huruma. Maskini Tanganyika.
Mtu kwao bwana.... unataka apende kwa watu kama anavyofanya Lissu kila siku yupo Ubeleji??

Zanzibar ni eneo la Jamhuri ya muungano wa Tanzania!!
 
Kuna ubaya gani wakati ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Zanzibar kuna Ikulu ya Tunguu kama ilivyo Magogoni na Chamwino?
 
Niseme nilikuwa namtetea huyu Samia ila nimekuja kumchukia sana sahivi. Huyu mama ni mabguzi kuliko Magu, sahivi anazindua skuli za mabilioni Zanzibar, pesa za Tanganyika zinaliwa bila huruma. huku Tanganyika shule za sekondari madarasa hayajapigwa hata plasta. Zanzaibar skuli moja inajengwa kwa Tshs 6,100,000,000/. Maghorofa yanajengwa km uyoga. Zanzibar imepata wapi hela yote kipindi hiki Rais wa jamhuri akiwa Mzanzibari?

watanganyika Samia ndiyo mwisho wa muungano, huyu mama hana hata aibu wala hofu anaijenga Zanzibar kwa pesa za watangabyika, mpaka 2030 sijui nchi itakuwa wapi. Huyu alitakiwa apinduliwe akiwa kule kwao Zanzibar asirudi kwetu. Ukweli ni kwamba Samia yupo kwa ajili ya Zanzibar. Tanganyika haikuwa na shughuli yoyote hakutaka hata sherehe ya uhuru wa Tanganyika, ila Zanzibar ni uzinduzi wa miradi na sherehe kubwa Zanzibar. Tutatokaje hapa tulipo wajameni tumeshaliwa. Huyu mama ni zaidi ya kaburu. huku Tanganyika hakuna mradi wowote ila Zanzibar kuna mamia ya miradi inazinduliwa kila siku. Huku kwetu miradi imesimama karibu yote. Barabara zilizosainiwa Juni 2023 mpaka leo hakuna mradi umeanza. wakati wa Mwinyi lilijitokeza kundi la wabunge 55 (G55) kuidai Tanganyika, wakati ule tulikuwa na Nyerere sahivi nani anamzuia huyu mama, amemweka mnyiramba wizara ya fedha, pesa zinahamishwa Zanzibar bila ht huruma. Maskini Tanganyika.
Wivu wivu roho mbaya Zazibar ni sehemu ya Tanzania Samia ni raisi wa JMT sasa kosa gani kuenda sehemu ya nchi anao tawala mbona JPM alikaa chato zaidi ya miezi 3 hamkusema na Ikulu akaihamishia Chato mlikua kimya acheni fitna, acha Raisi afanye alicho pangia kufanya.
 
Niseme nilikuwa namtetea huyu Samia ila nimekuja kumchukia sana sahivi. Huyu mama ni mabguzi kuliko Magu, sahivi anazindua skuli za mabilioni Zanzibar, pesa za Tanganyika zinaliwa bila huruma. huku Tanganyika shule za sekondari madarasa hayajapigwa hata plasta. Zanzaibar skuli moja inajengwa kwa Tshs 6,100,000,000/. Maghorofa yanajengwa km uyoga. Zanzibar imepata wapi hela yote kipindi hiki Rais wa jamhuri akiwa Mzanzibari?

watanganyika Samia ndiyo mwisho wa muungano, huyu mama hana hata aibu wala hofu anaijenga Zanzibar kwa pesa za watangabyika, mpaka 2030 sijui nchi itakuwa wapi. Huyu alitakiwa apinduliwe akiwa kule kwao Zanzibar asirudi kwetu. Ukweli ni kwamba Samia yupo kwa ajili ya Zanzibar. Tanganyika haikuwa na shughuli yoyote hakutaka hata sherehe ya uhuru wa Tanganyika, ila Zanzibar ni uzinduzi wa miradi na sherehe kubwa Zanzibar. Tutatokaje hapa tulipo wajameni tumeshaliwa. Huyu mama ni zaidi ya kaburu. huku Tanganyika hakuna mradi wowote ila Zanzibar kuna mamia ya miradi inazinduliwa kila siku. Huku kwetu miradi imesimama karibu yote. Barabara zilizosainiwa Juni 2023 mpaka leo hakuna mradi umeanza. wakati wa Mwinyi lilijitokeza kundi la wabunge 55 (G55) kuidai Tanganyika, wakati ule tulikuwa na Nyerere sahivi nani anamzuia huyu mama, amemweka mnyiramba wizara ya fedha, pesa zinahamishwa Zanzibar bila ht huruma. Maskini Tanganyika.
janga hili linaweza kukomeshwa kwa njia moja tu, kubadilisha katiba na kuanzisha serikali za majimbo
 
Niseme nilikuwa namtetea huyu Samia ila nimekuja kumchukia sana sahivi. Huyu mama ni mabguzi kuliko Magu, sahivi anazindua skuli za mabilioni Zanzibar, pesa za Tanganyika zinaliwa bila huruma. huku Tanganyika shule za sekondari madarasa hayajapigwa hata plasta. Zanzaibar skuli moja inajengwa kwa Tshs 6,100,000,000/. Maghorofa yanajengwa km uyoga. Zanzibar imepata wapi hela yote kipindi hiki Rais wa jamhuri akiwa Mzanzibari?

watanganyika Samia ndiyo mwisho wa muungano, huyu mama hana hata aibu wala hofu anaijenga Zanzibar kwa pesa za watangabyika, mpaka 2030 sijui nchi itakuwa wapi. Huyu alitakiwa apinduliwe akiwa kule kwao Zanzibar asirudi kwetu. Ukweli ni kwamba Samia yupo kwa ajili ya Zanzibar. Tanganyika haikuwa na shughuli yoyote hakutaka hata sherehe ya uhuru wa Tanganyika, ila Zanzibar ni uzinduzi wa miradi na sherehe kubwa Zanzibar. Tutatokaje hapa tulipo wajameni tumeshaliwa. Huyu mama ni zaidi ya kaburu. huku Tanganyika hakuna mradi wowote ila Zanzibar kuna mamia ya miradi inazinduliwa kila siku. Huku kwetu miradi imesimama karibu yote. Barabara zilizosainiwa Juni 2023 mpaka leo hakuna mradi umeanza. wakati wa Mwinyi lilijitokeza kundi la wabunge 55 (G55) kuidai Tanganyika, wakati ule tulikuwa na Nyerere sahivi nani anamzuia huyu mama, amemweka mnyiramba wizara ya fedha, pesa zinahamishwa Zanzibar bila ht huruma. Maskini Tanganyika.
Halafu mazombie ya CCM yanataka kumpa mitano tena.
 
Tulia wewe, leo hii Samia amekuwa ni kero kwenu na wakati hapo awali mlimuona kama mleta faraja baada ya miaka sita ya maumivu?

Kwani nyie si mlihitaji raisi atakayewapa mwanya wa nyie kuiba pasipokuwachukulia hatua yoyote au?

Sasa hauoni kwamba huu muda ambao Samia Yuko bize na kuijenga Kizimkaz huko Zanzibar ndio muda ambao na wewe unatakiwa uwe bize na kuiba pesa za umma huku Tanganyika kadri uwezavyo?

Na pia tangu lini nyie mkamuhitaji raisi mzalendo anayeipenda Tanganyika?
 
Back
Top Bottom