SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Ulitukosea sana ungempaka wese akili zingemkaa sawa tusingepata usumbufu wake hapa jukwaani.Kama alianza kuwa Chawa wangu Mimi Mwalimu wake nikiwa namfundisha Chuoni Ilala ili nimpe Marks za bure unategemea nini jipya labda kutoka Kwake Mkuu? Tena najilaumu kweli kweli kwanini alivyokuwa akijipendekeza vile Kwangu 'sikumpididi' kabisa ili aniheshimu hadi sasa.
Taahira mkubwa wewe bora hata ungefia tumboni.Wewe ni laana Duniani na mbinguni.
Utakufa na ushetani wako na kuniacha nikilindwa na Mwenyezi MunguTaahira mkubwa wewe bora hata ungefia tumboni.
Akakae kule porini .nazani amna sehemu uyu bibi haipendi kama Ikulu ya DodomaGharama za kupeleka watu wote hao na wakati Ikulu ipo Dodoma, matumizi mabaya ya fedha za umma.
Mungu hajishughulishi na kibwengo kama wewe.Utakufa na ushetani wako na kuniacha nikilindwa na Mwenyezi Mungu
Huyu jamaa wa kulia anaitwa nani?
Ndugu zangu Watanzania,
Ukimuangalia Rais Samia Unagundua ya kuwa Muda wote amejaa ari,nguvu na hamasa kubwa sana ya kufanya kazi. Unaona muda wote akiwa na morali na utayari wa kuwatumikia watanzania.unaona muda wote mawazo,akili,fikira na kiu yake ni kuwatumikia na kuwawazia watanzania.
Unaona Mungu akiendelea kumjalia afya njema na nguvu za kuendelea kututumikia watanzania.yupo imara kila muda na mwenye nguvu Utafikiri kijana wa miaka 30.Huyu Mama na Rais ni Bahati sana kuwa naye na kuongozwa naye.yupo imara kiakili na kimwili.
Embu angalia Alivyoingia na kuelekea katika kuongoza kikao cha Baraza la Mawaziri ikulu ndogo ya Tunguu visiwani Zanzibar hii leo.Hatua zake na mwendo wake na hata muonekano wake ni wakuleta matumaini kwa watanzania.Ni wakuleta tabasamu katika maisha ya watanzania.unaona wazi kwa jicho la tatu kuwa Huyu ni kiongozi tuliyemhitaji watanzania kutuongozaView attachment 3135089
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Tunajadili gharama na siyo serikali ipo wapi?Serekali inakaa popote pale mradi kuna amani!!
Dar si anapiga deal mwanae Abdul ndiyo dalali wa nchiAkakae kule porini .nazani amna sehemu uyu bibi haipendi kama Ikulu ya Dodoma
Mjinga wewe ulidhani sitakuona?Huyo uliyemjibu huwa hajitambui na hayupo sawa kichwani na wala hawezi kukuelewa hata ungemfundisha vipi maana ni 0 kichwani mwake.
SoonNa yeye itamfyekelea mbali tuzidishe dua tu.
Acha ujinga wa kujipa mamlaka ya kuhukumu watu kama vile wewe ni MunguWewe ni laana Duniani na mbinguni.
Hata mimi nina taarifa zake huyu tapeliMkuu nasikia una kesi ya utapeli hapo vwawa na mlowo?
Acha ujinga wako hapa na moshi wako kichwaniDar si anapiga deal mwanae Abdul ndiyo dalali wa nchi
Tumia vizuri modem kesho siyo mbaliAcha ujinga wako hapa na moshi wako kichwani
Acha ulevi wako hapa.Tumia vizuri modem kesho siyo mbali
Haya usijilaumuAcha ulevi wako hapa.