Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #141
Uwe unatumia akili dogo.Shetani kabisa hili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwe unatumia akili dogo.Shetani kabisa hili
Tutolee ujinga wako humu na modem na kuazimaUwe unatumia akili dogo.
Jinga sana wewe dogoTutolee ujinga wako humu na modem na kuazima
Nimependezewa na utembeajivwao.!Ndugu zangu Watanzania,
Ukimuangalia Rais Samia Unagundua ya kuwa Muda wote amejaa ari,nguvu na hamasa kubwa sana ya kufanya kazi. Unaona muda wote akiwa na morali na utayari wa kuwatumikia watanzania.unaona muda wote mawazo,akili,fikira na kiu yake ni kuwatumikia na kuwawazia watanzania.
Unaona Mungu akiendelea kumjalia afya njema na nguvu za kuendelea kututumikia watanzania.yupo imara kila muda na mwenye nguvu Utafikiri kijana wa miaka 30.Huyu Mama na Rais ni Bahati sana kuwa naye na kuongozwa naye.yupo imara kiakili na kimwili.
Embu angalia Alivyoingia na kuelekea katika kuongoza kikao cha Baraza la Mawaziri ikulu ndogo ya Tunguu visiwani Zanzibar hii leo.Hatua zake na mwendo wake na hata muonekano wake ni wakuleta matumaini kwa watanzania.Ni wakuleta tabasamu katika maisha ya watanzania.unaona wazi kwa jicho la tatu kuwa Huyu ni kiongozi tuliyemhitaji watanzania kutuongozaView attachment 3135089
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Uwe na adabu na siyo kuropoka tu kama mlevi wa gongoHuyu MSWAHILI zero brain anakwenda kwao kuamulia vitu vyetu?
Mnaandikisha marehemu kwenda kupiga kura. Kweli kijani chama mfuShida ipo na unayo wewe na siyo CCM
Mwaka kesho atakuwa na kampeni kuzunguka nchi nzima kuomba kura kwa watanzania wamchague kuwaongoza, tunamtakia afya njema na nguvu tele kuweza kufanya kampeni vema
Monday utakuwa hupatikani wewe mjinga mwenye modem atakuwepoJinga sana wewe dogo
Ushaelewa we chawa ndiyo maana ume quote.Ikuku ndio Nini
Unaona Mungu akiendelea kumjalia afya njema na nguvu za kuendelea kututumikia watanzania.y
Sub wa Hafidh AmeirHuyu jamaa wa kulia anaitwa nani?
Kama alianza kuwa Chawa wangu Mimi Mwalimu wake nikiwa namfundisha Chuoni Ilala ili nimpe Marks za bure unategemea nini jipya labda kutoka Kwake Mkuu? Tena najilaumu kweli kweli kwanini alivyokuwa akijipendekeza vile Kwangu 'sikumpididi' kabisa ili aniheshimu hadi sasa.Akiingia nayo ni story 😄 🤣 😂 😆 😄 Lucas Mwashambwa kwanini umekuwa chawa promax?
Kwa hiyo huyo ndio Mungu wako?View attachment 3135978
Janabi ana wasiwasi na uzito unaozidi kila siku wa raisi wetu wewe unasema anaendelea kujaliwa afya njema, uko sawa wewe? Hebu mtafute Janabi akueleweshe.
Wewe hunaga akili kichwani mwako, ndio maana huwa nakupuuza tu na sioni sababu ya kubishana na mtu mjinga jinga.Kama alianza kuwa Chawa wangu Mimi Mwalimu wake nikiwa namfundisha Chuoni Ilala ili nimpe Marks za bure unategemea nini jipya labda kutoka Kwake Mkuu? Tena najilaumu kweli kweli kwanini alivyokuwa akijipendekeza vile Kwangu 'sikumpididi' kabisa ili aniheshimu hadi sasa.
Wewe umesema, kwa sababu ya ufupi wa mawazo yako. Janabi ni mtaalamu wa afya na Mkurugenzi wa taasisiKwa hiyo huyo ndio Mungu wako?
Anawatumikia watanzania au anafanya kazi ya urais ili alipwe mshahara wake? Kuwatumikia kwani anafanya kwa kujitolea?Ndugu zangu Watanzania,
Ukimuangalia Rais Samia Unagundua ya kuwa Muda wote amejaa ari,nguvu na hamasa kubwa sana ya kufanya kazi. Unaona muda wote akiwa na morali na utayari wa kuwatumikia watanzania.unaona muda wote mawazo,akili,fikira na kiu yake ni kuwatumikia na kuwawazia watanzania.
Unaona Mungu akiendelea kumjalia afya njema na nguvu za kuendelea kututumikia watanzania.yupo imara kila muda na mwenye nguvu Utafikiri kijana wa miaka 30.Huyu Mama na Rais ni Bahati sana kuwa naye na kuongozwa naye.yupo imara kiakili na kimwili.
Embu angalia Alivyoingia na kuelekea katika kuongoza kikao cha Baraza la Mawaziri ikulu ndogo ya Tunguu visiwani Zanzibar hii leo.Hatua zake na mwendo wake na hata muonekano wake ni wakuleta matumaini kwa watanzania.Ni wakuleta tabasamu katika maisha ya watanzania.unaona wazi kwa jicho la tatu kuwa Huyu ni kiongozi tuliyemhitaji watanzania kutuongozaView attachment 3135089
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Anawatumikia watanzania kwa moyo wa upendo, unyenyekevu, uzalendo na ukarimu wa hali ya juu sanaAnawatumikia watanzania au anafanya kazi ya urais ili alipwe mshahara wake? Kuwatumikia kwani anafanya kwa kujitolea?
Halipwi mshahara?Anawatumikia watanzania kwa moyo wa upendo, unyenyekevu, uzalendo na ukarimu wa hali ya juu sana