Rais Samia akiingia katika kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu ndogo Tunguu Zanzibar

Nimependezewa na utembeajivwao.!
Wote wametanguliza mguu wa kulia mbele na mguu wa kushoto nyuma.
Mkono wa kushoto mbele na mkono wa kulia nyuma.
 
Hahaha hivyo ni vikao vya ndani vya ccm , na mambo yao ccm na mikakati yao ya kupika takwimu, lazima wakajifiche huko nchi za nje.
 
Mwaka kesho atakuwa na kampeni kuzunguka nchi nzima kuomba kura kwa watanzania wamchague kuwaongoza, tunamtakia afya njema na nguvu tele kuweza kufanya kampeni vema


..tumuombee apone kikohozi chake.

..ana laana ya kumcheka Jiwe kwamba alikufa kwa Korona.

Cc Etwege
 
Akiingia nayo ni story πŸ˜„ 🀣 πŸ˜‚ πŸ˜† πŸ˜„ Lucas Mwashambwa kwanini umekuwa chawa promax?
Kama alianza kuwa Chawa wangu Mimi Mwalimu wake nikiwa namfundisha Chuoni Ilala ili nimpe Marks za bure unategemea nini jipya labda kutoka Kwake Mkuu? Tena najilaumu kweli kweli kwanini alivyokuwa akijipendekeza vile Kwangu 'sikumpididi' kabisa ili aniheshimu hadi sasa.
 
Wewe hunaga akili kichwani mwako, ndio maana huwa nakupuuza tu na sioni sababu ya kubishana na mtu mjinga jinga.
 
Anawatumikia watanzania au anafanya kazi ya urais ili alipwe mshahara wake? Kuwatumikia kwani anafanya kwa kujitolea?
 
Anawatumikia watanzania au anafanya kazi ya urais ili alipwe mshahara wake? Kuwatumikia kwani anafanya kwa kujitolea?
Anawatumikia watanzania kwa moyo wa upendo, unyenyekevu, uzalendo na ukarimu wa hali ya juu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…