Rais Samia, akili za kuambiwa changanya na za kwako

Rais Samia, akili za kuambiwa changanya na za kwako

Hivi Kinachotakiwa ni Katiba Mpya au Katiba Bora ?

Na kama ni Bora unadhani itakuwa ni ya Warioba na Sio ya Sitta

Ukizingatia aliyekataa Serikali tatu alikuwa Samia huyu huyu aliyewageuka Wanzibar wenzake

Ni nadra kipya kutokuwa bora. Kwamba kitu cha 1977 kulinganisha na cha 2022?

1977 hata Nokia kitochi haikuwapo sembuse simu janja?

Katiba ya 1977 iliundwa na timu ya watu wasiozidi 20 bila kuhusisha maoni ya wananchi dhidi ya katiba ya Warioba?

Labda jiridhishe hapa mkuu:

Katiba Mpya: Kwanini CCM hawataridhia kirahisi
 
Mengele mtu mdogo sana nchi hii, waliomng'oa ni wadau wenzake wa muziki. Ukitaka kujua rais ni mkubwa kiasi gani muulize Ndugai atakuelezea kwa kirefu ili uondokane na haya mawazo ya kitoto.

Kufanana ni kuwa wadau muhimu wamemkataa.

Wadau muhimu tunayo nafasi yetu muhimu kwenye uendeshaji wa nchi hii.

Nchi si shamba la bibi. Nchi huendeshwa kwa matakwa ya wananchi.
 
Kufanana ni kuwa wadau muhimu wamemkataa.

Wadau muhimu tunayo nafasi yetu muhimu kwenye uendeshaji wa nchi hii.

Nchi si shamba la bibi. Nchi huendeshwa kwa matakwa ya wananchi.
Unatumia wingi ambao ni wa kinadharia tu. Kazi inaendelea muda huu.
 
Back
Top Bottom