majibu 200%Muulize Maza na CCM huko kwenye Bunge la Katiba walikuwa wanataka kurekebisha nini ...... Akikujibu, urudi tujadiliane!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
majibu 200%Muulize Maza na CCM huko kwenye Bunge la Katiba walikuwa wanataka kurekebisha nini ...... Akikujibu, urudi tujadiliane!!
Katiba Mpya huko mbeleni Mama itamsaidia sana.
Thank youccm tumbo mnajulikana tu. Katiba mpya hailete ugali
Thank you
Ndio upeo wako ulipoishia
Mgumu sana kuelewa beyond your nose
Wako pia wachama pinzani hawampendi huyu mama, hawa viumbe ni wadini na wakabila haswaa.Kumbuka madaraka uliyo nayo sasa kwa mujibu wa katiba kuna watu hawakupendezwa uwe nayo.
Kama ujuavyo, watu hao wala si wa upinzani bali wa kijani wenzako.
Walisema waswahili kikulacho ki nguoni mwako.
Au unadhani walishakuridhia sasa na kila kitu wewe na wao ni shwari?
Hadi sasa kuna mengi umefanya. Hata hivyo tambua wanaokupongeza na kukukosoa kwa dhati ni watu kutokea upinzani peke yao. Kuwa macho na wanao kupaka mafuta kwa mgongo wa chupa.
"Akili za kuambiwa Changanya na za kwako." -- JK.
Tulipo sasa tunaelekea kwenye kimbembe cha katiba mpya. Wapinzani wanakwambia ukweli kuhusu hili. Heri kwako ungewasikiliza.
Kujaribu kuzuia au kuuchelewesha ujio wa katiba mpya kutakugharimu wewe binafsi kisiasa, kinyume na wanavyo kushauri. Bado kuizuia haitakuwa rahisi.
Mivutano na ujanja ujanja vya nini? Kama watu wanataka katiba mpya si uwasikilize?
Utawalazimisha kinyume na matakwa yao kwa gharama ipi?
Wako pia wachama pinzani hawampendi huyu mama, hawa viumbe ni wadini na wakabila haswaa.
Kuhusu katiba mpya, navyoona zaidi ni chama pinzani/kaskazini ndiyo wanaodai katiba , na wachache kutoka chama tawala.
Vigezo vyako vya kuona kwako viko wapi?
Vinaonekana kwa macho mkuu
Katiba iliyolopo si ya wananchi na ilianzishwa wakati wa chama kimoja.Matokeo yake mfumo sugu wa taasisi za ulinzi na "Tumee" kufanya kazi kwa niaba ya Chama kimoja badala ya Taifa zima.Naomba niambie tatizo la katiba iliyopo?
Nilifikiri anaitolea tamko ccm kumbe anamtolea tamko mti binafsi?
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Hata maiti haiwezi kuuliza swali hilo! Taifa limetumia mabilioni ya fedha kugharimia Tume ya Warioba kuandika katiba mpya halafu punguani fulani anajitokeza kutokuona tatizo!Naomba niambie tatizo la katiba iliyopo?
Nguchiro bibi yakoMti binafsi ndyo nn we nguchiro????
Siku ukikua na kuanza kujitegemea utajua,Naomba niambie tatizo la katiba iliyopo?
Mimi nimemaliza mkuu.Viweke hapa, usije kuwa umevaa miwani ya mbao.
Mimi nimemaliza mkuu.
Nahamia kwako,, je una uhakika gani ama kigezo gani umetumia kama wengi wao wanahitaji katiba?
Kwamba umemaliza? Bila shaka umeshindwa kuweka vigezo vyovyote.
Kwa hali hiyo ninakuribisha kwangu kwa mikono miwili, uhamie kabisa.
Matatizo ya katiba iliyopo ni kama yalivyo ainishwa kwenye post #11 na #27 kwenye uzi huu.
Nani asiyetaka katiba mpya kwenye hali ambapo:
View attachment 2163954
Nani asiyetaka kutendewa haki?
Yumkini hata wewe unataka katiba mpya ila hujijui tu.