Rais Samia, akili za kuambiwa changanya na za kwako

Rais Samia, akili za kuambiwa changanya na za kwako

Kumbuka madaraka uliyo nayo sasa kwa mujibu wa katiba kuna watu hawakupendezwa uwe nayo.

Kama ujuavyo, watu hao wala si wa upinzani bali wa kijani wenzako.

Walisema waswahili kikulacho ki ngumu mwako.

Au unadhani walishakuridhia sasa na kila kitu wewe na wao ni shwari?

Hadi sasa kuna mengi umefanya. Hata hivyo tambua wanaokupongeza na kukukosoa kwa dhati ni watu kutokea upinzani peke yao. Kuwa macho na wanao kupaka mafuta kwa mgongo wa chupa.

"Akili za kuambiwa Changanya na za kwako." -- JK.

Tulipo sasa tunaelekea kwenye kimbembe cha katiba mpya. Wapinzani wanakwambia ukweli kuhusu hili. Heri kwako ungewasikiliza.

Kujaribu kuzuia au kuuchelewesha ujio wa katiba mpya kutakugharimu wewe binafsi kisiasa, kinyume na wanavyo kushauri. Bado kuizuia haitakuwa rahisi.

Mivutano na ujanja vya nini? Kama watu wanataka katiba mpya si uwasikilize?

Utawalazimisha kinyume na matakwa yao kwa gharama ipi?
Salute mingi sana Mkuu...
 
Kumbuka madaraka uliyo nayo sasa kwa mujibu wa katiba kuna watu hawakupendezwa uwe nayo.

Kama ujuavyo, watu hao wala si wa upinzani bali wa kijani wenzako.

Walisema waswahili kikulacho ki ngumu mwako.

Au unadhani walishakuridhia sasa na kila kitu wewe na wao ni shwari?

Hadi sasa kuna mengi umefanya. Hata hivyo tambua wanaokupongeza na kukukosoa kwa dhati ni watu kutokea upinzani peke yao. Kuwa macho na wanao kupaka mafuta kwa mgongo wa chupa.

"Akili za kuambiwa Changanya na za kwako." -- JK.

Tulipo sasa tunaelekea kwenye kimbembe cha katiba mpya. Wapinzani wanakwambia ukweli kuhusu hili. Heri kwako ungewasikiliza.

Kujaribu kuzuia au kuuchelewesha ujio wa katiba mpya kutakugharimu wewe binafsi kisiasa, kinyume na wanavyo kushauri. Bado kuizuia haitakuwa rahisi.

Mivutano na ujanja vya nini? Kama watu wanataka katiba mpya si uwasikilize?

Utawalazimisha kinyume na matakwa yao kwa gharama ipi?
Mkuu mimi naomba walau mapungufu matano ya katiba hii yanayomuathiri moja kwa moja Mwananchi wa hali ya chini
 
Mkuu mimi naomba walau mapungufu matano ya katiba hii yanayomuathiri moja kwa moja Mwananchi wa hali ya chini

Post #11 na #27 kwenye uzi huu ziko na mapungufu zaidi ya matano ya unayoyataka.

Labda kama unataka yapunguzwe mkuu?
 
Kumbuka madaraka uliyo nayo sasa kwa mujibu wa katiba kuna watu hawakupendezwa uwe nayo.

Kama ujuavyo, watu hao wala si wa upinzani bali wa kijani wenzako.

Walisema waswahili kikulacho ki nguoni mwako.

Au unadhani walishakuridhia sasa na kila kitu wewe na wao ni shwari?

Hadi sasa kuna mengi umefanya. Hata hivyo tambua wanaokupongeza na kukukosoa kwa dhati ni watu kutokea upinzani peke yao. Kuwa macho na wanao kupaka mafuta kwa mgongo wa chupa.

"Akili za kuambiwa Changanya na za kwako." -- JK.

Tulipo sasa tunaelekea kwenye kimbembe cha katiba mpya. Wapinzani wanakwambia ukweli kuhusu hili. Heri kwako ungewasikiliza.

Kujaribu kuzuia au kuuchelewesha ujio wa katiba mpya kutakugharimu wewe binafsi kisiasa, kinyume na wanavyo kushauri. Bado kuizuia haitakuwa rahisi.

Mivutano na ujanja ujanja vya nini? Kama watu wanataka katiba mpya si uwasikilize?

Utawalazimisha kinyume na matakwa yao kwa gharama ipi?
Urais ni cheo cha juu kabisa, huwezi kutumia huu ujanja wake wa maongezi katika kumshawishi juu ya uwepo wa katiba mpya.

Kila anachokifanya anashauriwa kwa kina na washauri wenye utaalam wa suala husika.
 
Urais ni cheo cha juu kabisa, huwezi kutumia huu ujanja wake wa maongezi katika kumshawishi juu ya uwepo wa katiba mpya.

Kila anachokifanya anashauriwa kwa kina na washauri wenye utaalam wa suala husika.

Hakuna asiyejua kuwa urais ni cheo cha juu kabisa. Hata hivyo hawakukosea waliomtambua mdharau mwiba mguu kumuota tende.

Kwamba kila afanyacho ni matokeo ya ushauri wa kina? Hapo si ndipo penye kuchanganya na za kwake?

Kwani kinaponuka watakaoruka kimanga K kama hawakupata kuwapo huwa ni kina nani?

Kwani huyu wa hawa akishauriwa na kina nani?

IMG_20220325_093700_020.jpg


Akili za kuambiwa hamtaki achanganye na za kwake?
 
Hawa watawala waliokuwa kwenye lile bunge la katiba wakalamba mpunga mwingi tu halafu sasa hawataki hata kusikia tu kuhusu katiba mpya....kwanza ni wasaliti, wanafiki, walafi.....inafaa warudishe hela yote waliyokomba kwenye mchakato ambao hawautaki. . .
 
Urais ni cheo cha juu kabisa, huwezi kutumia huu ujanja wake wa maongezi katika kumshawishi juu ya uwepo wa katiba mpya.

Kila anachokifanya anashauriwa kwa kina na washauri wenye utaalam wa suala husika.
Hao washauri wenye utaalam siyo Mungu kwamba watakosa hila, na vipi waliomshauri kikwete walitumia huo utaalam kuiingizia nchi hasara kwa kitu ambacho hakikutakiwa?!
 
Kumbuka madaraka uliyo nayo sasa kwa mujibu wa katiba kuna watu hawakupendezwa uwe nayo.

Kama ujuavyo, watu hao wala si wa upinzani bali wa kijani wenzako.

Walisema waswahili kikulacho ki nguoni mwako.

Au unadhani walishakuridhia sasa na kila kitu wewe na wao ni shwari?

Hadi sasa kuna mengi umefanya. Hata hivyo tambua wanaokupongeza na kukukosoa kwa dhati ni watu kutokea upinzani peke yao. Kuwa macho na wanao kupaka mafuta kwa mgongo wa chupa.

"Akili za kuambiwa Changanya na za kwako." -- JK.

Tulipo sasa tunaelekea kwenye kimbembe cha katiba mpya. Wapinzani wanakwambia ukweli kuhusu hili. Heri kwako ungewasikiliza.

Kujaribu kuzuia au kuuchelewesha ujio wa katiba mpya kutakugharimu wewe binafsi kisiasa, kinyume na wanavyo kushauri. Bado kuizuia haitakuwa rahisi.

Mivutano na ujanja ujanja vya nini? Kama watu wanataka katiba mpya si uwasikilize?

Utawalazimisha kinyume na matakwa yao kwa gharama ipi?
Katiba Mpya huko mbeleni Mama itamsaidia sana.
 
Back
Top Bottom