Rais Samia, akina Museveni na Kagame 'wameshajipambanua' kuwa wanamkubali Raila Odinga Uchaguzi Mkuu wa Kenya. Je, wewe upo kwa nani?

Rais Samia, akina Museveni na Kagame 'wameshajipambanua' kuwa wanamkubali Raila Odinga Uchaguzi Mkuu wa Kenya. Je, wewe upo kwa nani?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Halafu nasikia hata Rais wa Burundi nae (nchi inayopenda Kujibebisha sana kwa Tanzania) mpaka hivi sasa nae hajasema wala kuonyesha anamtaka nani mpaka Tanzania (Watanzania) wajipambanue kati ya Raila Odinga na Wiliiam Ruto wanamuunga mkono nani.

Nawapongeza sana Marais wangu Wapendwa Afrika Mashariki akina Mzee Yoweri Museveni na Shujaa Paul Kagame kwa kutopepesa macho wala kutikisa masikio au kuwa Wanafiki kwa hao bila Kuficha au Kuogopa kusema kuwa Wao wanaenda na Mzee Raila Odinga.

Na hata wenye Akili tunajua / tulishajua tu kuwa Raila Odinga anaenda kuwa Kenya's Next Head of State mwezi August.
 
Hatuwezi kuwa na madikteta kama role models.

1. Museven ni MZEE MPUMBAFU ambaye anakaribia kuaga dunia. HANA JIPYA.

2. Kagame ni DIKTETA MNAFIKI anayeendesha magenge ya uhalifu East Africa kwa faida ya mabeberu. HAFAI.

Nafikiri tuko juu kuliko hao. Tuna njia yetu iliyo salama zaidi.

Halafu pia uache KIHEREHERE.
 
Halafu nasikia hata Rais wa Burundi nae ( nchi inayopenda Kujibebisha sana kwa Tanzania ) mpaka hivi sasa nae hajasema wala kuonyesha anamtaka nani mpaka Tanzania ( Watanzania ) wajipambanue kati ya Raila Odinga na Wiliiam Ruto wanamuunga mkono nani.

Nawapongeza sana Marais wangu Wapendwa Afrika Mashariki akina Mzee Yoweri Museveni na Shujaa Paul Kagame kwa kutopepesa macho wala kutikisa masikio au kuwa Wanafiki kwa hao bila Kuficha au Kuogopa kusema kuwa Wao wanaenda na Mzee Raila Odinga.

Na hata wenye Akili tunajua / tulishajua tu kuwa Raila Odinga anaenda kuwa Kenya's Next Head of State mwezi August..
Usitowe mfano wa viogozi wa hovyo na Raisi wetu, kwa kweli kwa m7 ujifunze nini
 
Sera ya Tanzania ni kutoingilia mambo ya ndani ya nchi nyingine.

Sera za hao MSEVENI na KAGAME hazielewekagi. Maana wao ndio wenye nchi wakati Tanzania wenyenchi ni wananchi.
Wenye nchi ni sisiem ndiomaana wanaweza kuwatoa maasai loliondo na kuwapeleka tanga, ushauri wawatoe wazanzibari wote pale stone town ili kuhifadhi mji wa kihistoria kufanikisha nia njema ya rais kuinua utalii
 
Sera ya Tanzania ni kutoingilia mambo ya ndani ya nchi nyingine.

Sera za hao MSEVENI na KAGAME hazielewekagi. Maana wao ndio wenye nchi wakati Tanzania wenyenchi ni wananchi.
Assume CCM ni mtu kwa hiyo kama akina Kagame na Museveni ni nchi zao basi hapa ni nchi ya CCM.
 
Halafu nasikia hata Rais wa Burundi nae (nchi inayopenda Kujibebisha sana kwa Tanzania) mpaka hivi sasa nae hajasema wala kuonyesha anamtaka nani mpaka Tanzania (Watanzania) wajipambanue kati ya Raila Odinga na Wiliiam Ruto wanamuunga mkono nani.

Nawapongeza sana Marais wangu Wapendwa Afrika Mashariki akina Mzee Yoweri Museveni na Shujaa Paul Kagame kwa kutopepesa macho wala kutikisa masikio au kuwa Wanafiki kwa hao bila Kuficha au Kuogopa kusema kuwa Wao wanaenda na Mzee Raila Odinga.

Na hata wenye Akili tunajua / tulishajua tu kuwa Raila Odinga anaenda kuwa Kenya's Next Head of State mwezi August.
Kwani wao ndiyo wapiga kura?
 
Halafu nasikia hata Rais wa Burundi nae (nchi inayopenda Kujibebisha sana kwa Tanzania) mpaka hivi sasa nae hajasema wala kuonyesha anamtaka nani mpaka Tanzania (Watanzania) wajipambanue kati ya Raila Odinga na Wiliiam Ruto wanamuunga mkono nani.

Nawapongeza sana Marais wangu Wapendwa Afrika Mashariki akina Mzee Yoweri Museveni na Shujaa Paul Kagame kwa kutopepesa macho wala kutikisa masikio au kuwa Wanafiki kwa hao bila Kuficha au Kuogopa kusema kuwa Wao wanaenda na Mzee Raila Odinga.

Na hata wenye Akili tunajua / tulishajua tu kuwa Raila Odinga anaenda kuwa Kenya's Next Head of State mwezi August.
Kwani lazima?
 
Sera ya Tanzania ni kutoingilia mambo ya ndani ya nchi nyingine.

Sera za hao MSEVENI na KAGAME hazielewekagi. Maana wao ndio wenye nchi wakati Tanzania wenyenchi ni wananchi.
Ww kweli unajihesabu ni mwenye inchi? Je au na ww una lamba ASALI?
 
Halafu nasikia hata Rais wa Burundi nae (nchi inayopenda Kujibebisha sana kwa Tanzania) mpaka hivi sasa nae hajasema wala kuonyesha anamtaka nani mpaka Tanzania (Watanzania) wajipambanue kati ya Raila Odinga na Wiliiam Ruto wanamuunga mkono nani.

Nawapongeza sana Marais wangu Wapendwa Afrika Mashariki akina Mzee Yoweri Museveni na Shujaa Paul Kagame kwa kutopepesa macho wala kutikisa masikio au kuwa Wanafiki kwa hao bila Kuficha au Kuogopa kusema kuwa Wao wanaenda na Mzee Raila Odinga.

Na hata wenye Akili tunajua / tulishajua tu kuwa Raila Odinga anaenda kuwa Kenya's Next Head of State mwezi August.
Hiyo ya kujibebisha ... HAHAHAH! --IENIACHA MDOMO WAZI
 
Halafu nasikia hata Rais wa Burundi nae (nchi inayopenda Kujibebisha sana kwa Tanzania) mpaka hivi sasa nae hajasema wala kuonyesha anamtaka nani mpaka Tanzania (Watanzania) wajipambanue kati ya Raila Odinga na Wiliiam Ruto wanamuunga mkono nani.

Nawapongeza sana Marais wangu Wapendwa Afrika Mashariki akina Mzee Yoweri Museveni na Shujaa Paul Kagame kwa kutopepesa macho wala kutikisa masikio au kuwa Wanafiki kwa hao bila Kuficha au Kuogopa kusema kuwa Wao wanaenda na Mzee Raila Odinga.

Na hata wenye Akili tunajua / tulishajua tu kuwa Raila Odinga anaenda kuwa Kenya's Next Head of State mwezi August.
Bro wewe nu nchambuzi mzuri tu but kumbula museveni alikuwa anampinga raila na hajawahi kusema anamuunga mkono raila bali anamtuma mwanae kurekebisha uhusiano wa raila na yeye
 
Ulitakaje Sasa wasifate mlengo ukijua Kenya ndo mwenyekiti wasasa kiti Cha mwenyekiti afrika mashariki

Wakatae ili mradi wao kivu na goma uchukuliwe hatua Kali lazima waunge juhudi
 
Ulitakaje Sasa wasifate mlengo ukijua Kenya ndo mwenyekiti wasasa kiti Cha mwenyekiti afrika mashariki

Wakatae ili mradi wao kivu na goma uchukuliwe hatua Kali lazima waunge juhudi
Sahihi kabisa. Hao jamaa ni matapeli sana
 
Sera ya Tanzania ni kutoingilia mambo ya ndani ya nchi nyingine.
Uko sahihi .Kama ni Kweli Museveni na Kagame wameunga mkono Odinga wamefanya vibaya mno kuingilia mambo ya ndani ya nchi ingine

Fikiria mfano kwenye uchaguzi Kagame alipogombea halafu Raisi wa Tanzania atangaze kuwa kama nchi tunamuunga mkono mpinzani wake kwenye uchaguzi wao.Au tungetangaza kama nchi uchaguzi wa Uganda kuwa tunamuunga mkono Bob Wine

Chukulia itokee Rutto uraisi uhusiano wa Kenya na Rwanda utakuwaje?
Hawa wazee nao kama kweli wametamka hivyo wamekosea.

Acha wachagueni huko wenyewe
 
Back
Top Bottom