Rais Samia, akina Museveni na Kagame 'wameshajipambanua' kuwa wanamkubali Raila Odinga Uchaguzi Mkuu wa Kenya. Je, wewe upo kwa nani?

Rais Samia, akina Museveni na Kagame 'wameshajipambanua' kuwa wanamkubali Raila Odinga Uchaguzi Mkuu wa Kenya. Je, wewe upo kwa nani?

Halafu nasikia hata Rais wa Burundi nae (nchi inayopenda Kujibebisha sana kwa Tanzania) mpaka hivi sasa nae hajasema wala kuonyesha anamtaka nani mpaka Tanzania (Watanzania) wajipambanue kati ya Raila Odinga na Wiliiam Ruto wanamuunga mkono nani.

Nawapongeza sana Marais wangu Wapendwa Afrika Mashariki akina Mzee Yoweri Museveni na Shujaa Paul Kagame kwa kutopepesa macho wala kutikisa masikio au kuwa Wanafiki kwa hao bila Kuficha au Kuogopa kusema kuwa Wao wanaenda na Mzee Raila Odinga.

Na hata wenye Akili tunajua / tulishajua tu kuwa Raila Odinga anaenda kuwa Kenya's Next Head of State mwezi August.
Ni mambo ya utoto kuchagua upande kwenye nchi ya wengine. Atakayeshinda ndiye atakayepongezwa, waafrika mnapenda ugomvi. Sasa itamsaidia nini rais Samia kuchagua rais asiyemhusu? Wakati mwingine mnabidi mkue na muwe na akili japo kidogo. Hiyo michezo ya kitoto isiyo na akili, nashangaa moderator ameweka hiyo thread yako.
 
NIKIWA NIMELALA MUNGU AKANITOKEA NAKUMWONA RAILA ODINGA AKIAPISHWA KAMA RAIS WA KENYA BAADA YA UHURU KENYATA , MAONO HAYA NILIYAONA WIKI MBILI ZILIZOPITA , NAWATAKIA WAKENYA UCHAGUZI HURU NA WA HAKI AMINA >>>>>>>
Unabii wako wa uongo muda sio mrefu itathibitika kuwa wewe ni nabii wa uongo
 
Hatuwezi kuwa na madikteta kama role models.

1. Museven ni MZEE MPUMBAFU ambaye anakaribia kuaga dunia. HANA JIPYA.

2. Kagame ni DIKTETA MNAFIKI anayeendesha magenge ya uhalifu East Africa kwa faida ya mabeberu. HAFAI.

Nafikiri tuko juu kuliko hao. Tuna njia yetu iliyo salama zaidi.

Halafu pia uache KIHEREHERE.
Mungu ibariki Tanzania
 
Nitawashangaa wakenya wakimtangaza raila...ambae mwakani anaenda miaka 80.
Mzee kama huyu hata akili na maamuzi yameshazeheka...
Hata kujieleza kwenye ni shida.
 
Ulimwengu usioonekana Kwa muono wako ni Utawala unaotawala Kutokea CHINI, GIZANI au KUZIMU.

Weka Akili I hili. Ulimwengu usioonekana upo wa NURU pia, wa Kutoka JUU MBINGUNI.

Siku hizi za mwisho wanakuja Watawala walizopata KIBALI kuongoza Serikali Kutoka JUU Ili kuwalinda watu wa Mungu dhidi ya tawala Kutoka CHINI GIZANI.

Tusubiri.
Kuna wa juu na wa chini.
Vita Kati ya utawala wa Nuru na giza wahanga ni sisi
 
Ni mambo ya utoto kuchagua upande kwenye nchi ya wengine. Atakayeshinda ndiye atakayepongezwa, waafrika mnapenda ugomvi. Sasa itamsaidia nini rais Samia kuchagua rais asiyemhusu? Wakati mwingine mnabidi mkue na muwe na akili japo kidogo. Hiyo michezo ya kitoto isiyo na akili, nashangaa moderator ameweka hiyo thread yako.
Achana nae huyo bwege, anadhani kila nchi ina wajinga wajinga wa chadema kama huku Tz
 
Samia sio mpumbavu kama wewe

Nyie wapumbavu Team Mwendazake ndo mlikuwa na huyo babu Odinga
 
Halafu nasikia hata Rais wa Burundi nae (nchi inayopenda Kujibebisha sana kwa Tanzania) mpaka hivi sasa nae hajasema wala kuonyesha anamtaka nani mpaka Tanzania (Watanzania) wajipambanue kati ya Raila Odinga na Wiliiam Ruto wanamuunga mkono nani.

Nawapongeza sana Marais wangu Wapendwa Afrika Mashariki akina Mzee Yoweri Museveni na Shujaa Paul Kagame kwa kutopepesa macho wala kutikisa masikio au kuwa Wanafiki kwa hao bila Kuficha au Kuogopa kusema kuwa Wao wanaenda na Mzee Raila Odinga.

Na hata wenye Akili tunajua / tulishajua tu kuwa Raila Odinga anaenda kuwa Kenya's Next Head of State mwezi August.
Mshindi ambaye katangazwa na tume ya uchaguzi hadi na mahakama ni William Ruto.

Unasemaje sasa? Wewe mpiga filimbi wa Hamelini.?
 
Halafu nasikia hata Rais wa Burundi nae (nchi inayopenda Kujibebisha sana kwa Tanzania) mpaka hivi sasa nae hajasema wala kuonyesha anamtaka nani mpaka Tanzania (Watanzania) wajipambanue kati ya Raila Odinga na Wiliiam Ruto wanamuunga mkono nani.

Nawapongeza sana Marais wangu Wapendwa Afrika Mashariki akina Mzee Yoweri Museveni na Shujaa Paul Kagame kwa kutopepesa macho wala kutikisa masikio au kuwa Wanafiki kwa hao bila Kuficha au Kuogopa kusema kuwa Wao wanaenda na Mzee Raila Odinga.

Na hata wenye Akili tunajua / tulishajua tu kuwa Raila Odinga anaenda kuwa Kenya's Next Head of State mwezi August.
Nabii wa uongo wewe
Ruto ndie Raisi
 
Nabii wa uongo wewe
Ruto ndie Raisi
Hiyo inaitwa kupindua meza, taasisi zote nyeti duniani zilikuwa zinajua anapita odii, bt Mungu ana KAZI na Tanganyika.

Rejea mipaka ya Tanganyika kabla ya WAKOLONI, unaweza ona jinsi Gani watu walivyofurahi kumpata Walomtaka.

Huku kwetu ni kutishana tu, haipo furaha.

Baada ya huyu hapa kwetu anakuja wa aina ya Rutttow.

Tusubiri.
 
Halafu nasikia hata Rais wa Burundi nae (nchi inayopenda Kujibebisha sana kwa Tanzania) mpaka hivi sasa nae hajasema wala kuonyesha anamtaka nani mpaka Tanzania (Watanzania) wajipambanue kati ya Raila Odinga na Wiliiam Ruto wanamuunga mkono nani.

Nawapongeza sana Marais wangu Wapendwa Afrika Mashariki akina Mzee Yoweri Museveni na Shujaa Paul Kagame kwa kutopepesa macho wala kutikisa masikio au kuwa Wanafiki kwa hao bila Kuficha au Kuogopa kusema kuwa Wao wanaenda na Mzee Raila Odinga.

Na hata wenye Akili tunajua / tulishajua tu kuwa Raila Odinga anaenda kuwa Kenya's Next Head of State mwezi August.
Hitimisho limefanyika hapa unaeleza kitu gani hapa?
 
NIKIWA NIMELALA MUNGU AKANITtKEA NAKUMWONA RAILA ODINGA AKIAPISHWA KAMA RAIS WA KENYA BAADA YA UHURU KENYATA , MAONO HAYA NILIYAONA WIKI MBILI ZILIZOPITA , NAWATAKIA WAKENYA UCHAGUZI HURU NA WA HAKI AMINA >>>>>>>
Ndugu Mungu yupi alikutokea??

Kuanzia sasa ukitokewa na mtu ktk Roho, mwapishe umwambie nakuapisha Kwa Jina la Yesu kama ni PEPO dhihirika, utaona uhalisia wake.

Mara nyingi shetani amewahi igiza na kuwatokea watu amevaa mavazi meupe kama Malaika wa Nuru!!!
 
Halafu nasikia hata Rais wa Burundi nae (nchi inayopenda Kujibebisha sana kwa Tanzania) mpaka hivi sasa nae hajasema wala kuonyesha anamtaka nani mpaka Tanzania (Watanzania) wajipambanue kati ya Raila Odinga na Wiliiam Ruto wanamuunga mkono nani.

Nawapongeza sana Marais wangu Wapendwa Afrika Mashariki akina Mzee Yoweri Museveni na Shujaa Paul Kagame kwa kutopepesa macho wala kutikisa masikio au kuwa Wanafiki kwa hao bila Kuficha au Kuogopa kusema kuwa Wao wanaenda na Mzee Raila Odinga.

Na hata wenye Akili tunajua / tulishajua tu kuwa Raila Odinga anaenda kuwa Kenya's Next Head of State mwezi August.

Mmmmm! Ya kweli hayo anaenda kuwa rais wa tano wa Kenya?
 
yaani hili popoma kila linachosema kinaenda op,kitu kinachofanya azidi kudharaulika na kibaya zaidi hataki kukosolewa,yaani ni kabishi kweli haka kazee
 
Ndugu Mungu yupi alikutokea??

Kuanzia sasa ukitokewa na mtu ktk Roho, mwapishe umwambie nakuapisha Kwa Jina la Yesu kama ni PEPO dhihirika, utaona uhalisia wake.

Mara nyingi shetani amewahi igiza na kuwatokea watu amevaa mavazi meupe kama Malaika wa Nuru!!!
Amuogope Mungu na technolojia
 
Ndugu Mungu yupi alikutokea??

Kuanzia sasa ukitokewa na mtu ktk Roho, mwapishe umwambie nakuapisha Kwa Jina la Yesu kama ni PEPO dhihirika, utaona uhalisia wake.

Mara nyingi shetani amewahi igiza na kuwatokea watu amevaa mavazi meupe kama Malaika wa Nuru!!!
Mambo ya kenya sidhani kama yameisha!!

Ngoja TUONE!!
 
Back
Top Bottom