Rais Samia akipokea Kombe la Dunia, Ikulu, Dar es Salaam Mei 31, 2022

Rais Samia akipokea Kombe la Dunia, Ikulu, Dar es Salaam Mei 31, 2022

Sema we jamaa ndiyo maana huwa unachezea sana ban, hujawahi jibugi post zako bila kejeli na vidharau [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndiyo tabia zangu za Asili na sitozuacha. Labda nikuulizeni Swali kama mnajua mnanichukia na nimekuwa Chukizo Kuu Kwenu ni kwanini hamuachani na Mimi na 24/7 huwa mnanifuatilia tu hapa JamiiForums? Nasubiri jibu lako tafadhali.
 
The original is permanently housed at the FIFA World Football Museum in Zurich. It will only leave there when it goes on its FIFA World Cup Trophy Tour, and it is also present at Final draw for the next World Cup, and on the pitch and stands at the World Cup Final.
 
Are you okay upstairs?
yes boss! niko sawa, jamaa kauliza lini tutalibeba kombe la dunia huku Mbeya nikasema "very soon" maana wa Dar tayari wamelibeba wakiongozwa na Bimkubwa nasisi tunalisubiri tulibebe na selfie za kutosha!
 
yes boss! niko sawa, jamaa kauliza lini tutalibeba kombe la dunia huku Mbeya nikasema "very soon" maana wa Dar tayari wamelibeba nasisi tunalisubiri tulibebe na selfie za kutosha!
Umeniewa vibaya nilikuwa namaanisha kulibeba kwa kwa kushinda michuano ya Kabumbu ya Dunia.

Sikia na maana hili feki la Cocacola.
 
Umeniewa vibaya nilikuwa namaanisha kulibeba kwa kwa kushinda michuano ya Kabumbu ya Dunia.

Sikia na maana hili feki la Cocacola.
nilikuelewa vizuri tu ila nikachomeka utani wa kisoka zaidi ili tujiongezee siku za kuishi!
 
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Ujinga tu badala yakupambania Lako unashika la wenzako
 
Umeniewa vibaya nilikuwa namaanisha kulibeba kwa kwa kushinda michuano ya Kabumbu ya Dunia.

Sikia na maana hili feki la Cocacola.
Hili sio feki mleta mada ni kilaza anajifanya anajua wakati hajui lolote kuna mtu humu kaleta majibu sahihi kuhusu hii zira ya kombe la dunia nashangaa bado mnaendelea kung'ang'ania kuwa kombe ni feki.
 
Back
Top Bottom