Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Yeah nikweli hata mm nimewahi kusikia hilo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa ushahidi gani ulioweka kuwa lile ni fake? Najua lengo lako ni kumjemgea image mbaya Mama Samia wewe Sukuma Gang Bin MatagaNami nawasubiri kwa hamu sana Mkuu.
Nililitegemea hili kwani kuna Mazuzu mnadhani Rais akikosolewa au Serikali yake basi Mtu ana Chuki nae / nao.Kwa ushahidi gani ulioweka kuwa lile ni fake? Najua lengo lako ni kumjemgea image mbaya Mama Samia wewe Sukuma Gang Bin Mataga
Wapi huko[emoji3]Waliwahi kutembeza original wahuni wakapita nalo sema kuna wabongo hawajui hili
Walijua wanawapelekea Wapumbavu hivyo hamtalishtukia.Najiuliza mbona kadogo vile? Hata halisi wamelipunguza hivyo?
Halafu what a motive behind ya kulipokea hilo kombe?Walijua wanawapelekea Wapumbavu hivyo hamtalishtukia.
Lete evidence POPOMAHoja yangu ambayo Mpumbavu ( Popoma ) Wewe na hao ( hawa ) Wote waliokupa Likes kamwe hamuwezi Kuielewa ni kwamba FIFA hutembeza Kombe la la Dunia 'Replica' na kamwe siyo lile 'Original' lenyewe hivyo Wizara husika, Rais Samia na Rais wa TFF watuombe Radhi Watanzania wenye Akili Kubwa kwa Kutudanganya kuwa lile la Juzi ndiyo lenyewe.
Nasubiri mnibishie.
Liliibiwa London mwaka 1966 ambapo michuano ya mwaka huo ilikuwa inafanyika England, shujaa akawa Mbwa aliyelipata vichakaniKuna miaka lile kombe liliwahi ibwa.
Sikumbuki ilikuwa nchi ipi.
Naona wamejiongeza.
Tuwekee hiyo Sheria tuisome.Kombe la dunia original lipo kwa bingwa wa dunia wa football ambaye kwa sasa ni France,kisheria Fifa hawana uwezo wa kulichukua kombe hilo toka kwa France mpaka pale watakapovuliwa ubingwa,hilo kombe linalotembezwa kwa sasa ni mfano tuu siyo kombe halisi.
Wewe ni Zuzu Mkuu wa JFNililitegemea hili kwani kuna Mazuzu mnadhani Rais akikosolewa au Serikali yake basi Mtu ana Chuki nae / nao.
Huyo ni Popoma sana,anapenda sana attentions za kipumbavu.Nabisha, naomba ulete ushahidi wa hili!
Kombe la dunia linalotembezwa ni Og, kwa taarifa yako nadhani hujui hili!
Lile kombe wanalopewa wachezaji kwenye fainali ndiyo replica sasa, Og huwa linaingizwa uwanjani siku ya kwanza kabisa ya ufunguzi wa fainali na mechi ya mwishi ya fainali, baada ya hapo linarudi kuifadhiwa makao makuu ya Fifa na halitoki pale hadi wakati wa tour kama ilivyo hivi sasa.
Mwisho wa mashindano wachezaji wanaoshinda wanapewa Og pale uwanjani wanalishika na kusherea nalo ushindi, baada ya hapo wanapewa replica ambayo imetengenezwa na madini ya shaba then ikafunikwa na gold kwa juu, ambalo ndio hukaa nalo na og kuchukuliwa kwenda kuhifadhia makao makuu ya Fifa.
So kama ulikuwa hujui ni kwamba hata hao mabingwa watetezi hawako na kombe la dunia Original.
Wakati wa tout kama ilivyo sasa basi kombe Og linazungushwa dunia kwa baadhi ya nchi na si zote.
Kama una ushahidi usio na shaka pamoja na kuleta vyanzo kwamba hili linalozunguwa ni replica leta, otherwise wewe utakuwa ndiye popoma square kwa kuleta habari za kuokotq mtaani.
![]()
FIFA World Cup™ Trophy Tour by Coca-Cola kicks off global journey in Dubai
FIFA World Cup™ winners Iker Casillas and Kaká send original FIFA World Cup™ Trophy on global journey that will include all 32 qualifying countries for the first timewww.fifa.com
Kombe la dunia original lipo kwa bingwa wa dunia wa football ambaye kwa sasa ni France,kisheria Fifa hawana uwezo wa kulichukua kombe hilo toka kwa France mpaka pale watakapovuliwa ubingwa,hilo kombe linalotembezwa kwa sasa ni mfano tuu siyo kombe halisi.
Kwa hiyo wewe unataka kutuaminisha kuwa mama alikuwa hajui siyo !Kuliko maelezo na kumfanya hamnazo.