Rais Samia akipokea Kombe la Dunia, Ikulu, Dar es Salaam Mei 31, 2022

Rais Samia akipokea Kombe la Dunia, Ikulu, Dar es Salaam Mei 31, 2022

Kombe la dunia original lipo kwa bingwa wa dunia wa football ambaye kwa sasa ni France,kisheria Fifa hawana uwezo wa kulichukua kombe hilo toka kwa France mpaka pale watakapovuliwa ubingwa,hilo kombe linalotembezwa kwa sasa ni mfano tuu siyo kombe halisi.
Kwa mfano France akiibiwa ilo kombe inakuaje?
 
Unataka kusema Hilo NI TOY.?
haya tuambie Hilo kombe lililokuja Tanzania limetengenezwa na madini gani!?
Kombe la dunia original lipo kwa bingwa wa dunia wa football ambaye kwa sasa ni France,kisheria Fifa hawana uwezo wa kulichukua kombe hilo toka kwa France mpaka pale watakapovuliwa ubingwa,hilo kombe linalotembezwa kwa sasa ni mfano tuu siyo kombe halisi.
 
Hebu Tusomeni wote Hapa[emoji116]
Screenshot_20220602-124625.jpg
 
sawa mtuambie Sasa hyo replica imetengenezwa kwa madini gani?
Yaani dunia nzima inajua Lile NI kombe la dunia halisi ana tokea mmakonde mmoja anakwambia Lile NI replica.
Sasa Kama sio lenyewe kulikuwa na haja gani ya kutembeza Hilo toy?
Kwa kutumia gharama kubwa
Neno zuri alilotumia Gentamicin ni replica,ukisema toy inamaanisha kitu cha kuchezea watoto.
 
Nabisha, naomba ulete ushahidi wa hili!

Kombe la dunia linalotembezwa ni Og, kwa taarifa yako nadhani hujui hili!
Lile kombe wanalopewa wachezaji kwenye fainali ndiyo replica sasa, Og huwa linaingizwa uwanjani siku ya kwanza kabisa ya ufunguzi wa fainali na mechi ya mwishi ya fainali, baada ya hapo linarudi kuifadhiwa makao makuu ya Fifa na halitoki pale hadi wakati wa tour kama ilivyo hivi sasa.
Mwisho wa mashindano wachezaji wanaoshinda wanapewa Og pale uwanjani wanalishika na kusherea nalo ushindi, baada ya hapo wanapewa replica ambayo imetengenezwa na madini ya shaba then ikafunikwa na gold kwa juu, ambalo ndio hukaa nalo na og kuchukuliwa kwenda kuhifadhia makao makuu ya Fifa.
So kama ulikuwa hujui ni kwamba hata hao mabingwa watetezi hawako na kombe la dunia Original.
Wakati wa tout kama ilivyo sasa basi kombe Og linazungushwa dunia kwa baadhi ya nchi na si zote.

Kama una ushahidi usio na shaka pamoja na kuleta vyanzo kwamba hili linalozunguwa ni replica leta, otherwise wewe utakuwa ndiye popoma square kwa kuleta habari za kuokotq mtaani.

Ningeshangaa sana kana Fools niliokuwa nawangojea na nawatamani kama Wewe msingejitokeza.

GENTAMYCINE kwa Kujiamini kabisa naendelea Kusisitiza kuwa FIFA huwa hawatembezi Kombe la Dunia 'Original' bali hutembeza 'Replica' tu.

Nimemaliza.
 
Kombe la dunia original lipo kwa bingwa wa dunia wa football ambaye kwa sasa ni France,kisheria Fifa hawana uwezo wa kulichukua kombe hilo toka kwa France mpaka pale watakapovuliwa ubingwa,hilo kombe linalotembezwa kwa sasa ni mfano tuu siyo kombe halisi.
Lakini pia huwa linaguswa na rais wa nchi tu na siyo mwengine ye yote
 
Uhuru alilipokea na akaongea nao ofisini dakika chache akaondoka, sisi hadi sherehe limefanyiwa na hotuba juu,
Mkuu usimfananishe Uhuru Kenyatta na Marais ( Viongozi ) wengine 'Hopeless' hasa Barani Afrika Kwetu.
 
Wewe hata hujui, France hana kombe original!
Hiyo sheria unayozungumzia kuwa Fifa hawana uwezo wa kulichikua kombe hilo kutoka France ni ipi?
Ilete tafadhali…
Kwa taarifa yako France alipewa pale uwanjani siku anashinda kombe Og, baada ya hapo lilichukuliwa akapewa replica ambayo lipo kwenye kabati lao, og ikarudi kwenye makao makuu ya Fifa, ndilo linazunguka hivi sasa!
Sikumbuki ni lini umewahi kuwa na Akili hapa JamiiForums.
 
Back
Top Bottom