GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Mkuu unapata wapi muda wa Kupoteza Kujibizana na Mapopoma ( Morons ) kama huyo uliyemjibu?Neno zuri alilotumia Gentamicin ni replica,ukisema toy inamaanisha kitu cha kuchezea watoto.
Ndiyo tabia zangu za Asili na sitozuacha. Labda nikuulizeni Swali kama mnajua mnanichukia na nimekuwa Chukizo Kuu Kwenu ni kwanini hamuachani na Mimi na 24/7 huwa mnanifuatilia tu hapa JamiiForums? Nasubiri jibu lako tafadhali.Sema we jamaa ndiyo maana huwa unachezea sana ban, hujawahi jibugi post zako bila kejeli na vidharau [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kama ninavyomchomeka aliyekuzaa.Nakufuatilia sababu nataka nikuchomeke
Hiyo kawaida kwake,lakini Mimi nataka nionyeshe ulimwengu maajabu jinsi ninavyolichomeka janaume mipasho kutokea Mara.Kama ninavyomchomeka aliyekuzaa.
very soon!@Sujui ni lini na sisi tutalibeba Kombe la Dunia.
Are you okay upstairs?very soon!@
yes boss! niko sawa, jamaa kauliza lini tutalibeba kombe la dunia huku Mbeya nikasema "very soon" maana wa Dar tayari wamelibeba wakiongozwa na Bimkubwa nasisi tunalisubiri tulibebe na selfie za kutosha!Are you okay upstairs?
Umeniewa vibaya nilikuwa namaanisha kulibeba kwa kwa kushinda michuano ya Kabumbu ya Dunia.yes boss! niko sawa, jamaa kauliza lini tutalibeba kombe la dunia huku Mbeya nikasema "very soon" maana wa Dar tayari wamelibeba nasisi tunalisubiri tulibebe na selfie za kutosha!
poaUmeniewa vibaya nilikuwa namaanisha kulibeba kwa kwa kushinda michuano ya Kabumbu ya Dunia.
Sikia na maana hili feki la Cocacola.
Kama ninavyomchomeka aliyekuzaa.
nilikuelewa vizuri tu ila nikachomeka utani wa kisoka zaidi ili tujiongezee siku za kuishi!Umeniewa vibaya nilikuwa namaanisha kulibeba kwa kwa kushinda michuano ya Kabumbu ya Dunia.
Sikia na maana hili feki la Cocacola.
Hili sio feki mleta mada ni kilaza anajifanya anajua wakati hajui lolote kuna mtu humu kaleta majibu sahihi kuhusu hii zira ya kombe la dunia nashangaa bado mnaendelea kung'ang'ania kuwa kombe ni feki.Umeniewa vibaya nilikuwa namaanisha kulibeba kwa kwa kushinda michuano ya Kabumbu ya Dunia.
Sikia na maana hili feki la Cocacola.