IPTL muda wao huu...kuwasha mitambo...Rais Samia akiwa mkoani Mwanza amesema anatambua uwepo wa upungufu wa umeme ikimaanisha vyanzo vilivyopo havikidhi mahitaji yaliyopo. Waziri wetu wa nishati aliliongelea suala la kukatikatika kwa umeme chanzo chake ni marekebisho ya mfumo wa zamani.
Tunaandaliwa kwa umeme wa dharura?
Mbona joto limezidi hivi Tanzania au mjambiani kajamba moto nini?Rais Samia akiwa mkoani Mwanza amesema anatambua uwepo wa upungufu wa umeme ikimaanisha vyanzo vilivyopo havikidhi mahitaji yaliyopo. Waziri wetu wa nishati aliliongelea suala la kukatikatika kwa umeme chanzo chake ni marekebisho ya mfumo wa zamani.
Tunaandaliwa kwa umeme wa dharura?
Huu ndiyo ukweliAjiuzulu tu yeye na CCM yake waondoke madarakani.
Huyo usimsikilize huwa anapuyanga tu🐒PM Arusha leo......huyu katoawapi haya?View attachment 2015276
Hasara tupu.Hapo amna kiongozi. Tumepigwaa.
Njia ya muongo na mnafiki ni fupi. Wote tusiwaamini maana kwanza inaonesha ni jinsi gani rahisi hawasiliani na watendaji wake ndio maana wanapishana kwenye kutoa information.Makamba: Hakuna mgao wa umeme bali ni matengenezo ya kawaida.
Samia: Kuna upungufu mkubwa kwenye vyanzo vya maji hali inayopelekea mgao wa umeme na maji kutoepukika.
Tumwamini nani kati ya mkuu wa Nchi na Waziri wake?!
Juzi niliuliza humu hivi Makamba anatufanya sisi ni mapunguani na hadi muda huu anasubiri nini ofisini?!
Hiki hapa ndicho TANESCO wanasema. Swali: Kwa nini iwe ghafa namna hii? Kipi kilichotokea ambacho kwa miaka 5 mfululizo ya Jiwe hakikuweza kutokea? Eti hydropower plants zetu zote zimekaukiwa maji. Ndicho sasa Tanesco wanasema.Rais Samia akiwa mkoani Mwanza amesema anatambua uwepo wa upungufu wa umeme ikimaanisha vyanzo vilivyopo havikidhi mahitaji yaliyopo. Waziri wetu wa nishati aliliongelea suala la kukatikatika kwa umeme chanzo chake ni marekebisho ya mfumo wa zamani.
Tunaandaliwa kwa umeme wa dharura?
View attachment 2015320
Na wewe unachomekea siasa....Mtanikumbuka si kwa mabaya yangu bali kwa machache mema [emoji26]
Umeme utaletwa na ilani ya chama.Tanzania sio nchi ya kuwa na mgao wa umeme...
Mazingira yana support tuwe na umeme wa kutosha kabisa... unless akili ndogo za viongozi...
Watu walitengeneza ardhi zenye rutuba na wanalima mboga na matunda jangwani, sisi tunashindwa nini??
Hakuna maendeleo yatakuja eti umejiandaa vyema kabisa, yaani upo perfect, hayo ni mawazo ya watu wenye uwezo duni wa kufikiri... start with what you have to get where you want to go...
Unaogopa miradi mikubwa kisa nini, tumefuta miaka 60 na hatujafanya cha maana kwa sababu ya huu ujinga...
Ngoja tuwaache waendelee kusubiri Tanzania iwe na pesa nyiiingiiiii, iwe na matrilioni ndipo wafanye miradi mikubwa....
Wakati tunavaa viatu vya matairi ya gari, Magufuli na CCM walikuwepo, na sabuni za kupika, ilikuwa na umri gani?CCM BILA YA MAGUFULI NI MAFII YA KUKU
Rais Samia akiwa mkoani Mwanza amesema anatambua uwepo wa upungufu wa umeme ikimaanisha vyanzo vilivyopo havikidhi mahitaji yaliyopo. Waziri wetu wa nishati aliliongelea suala la kukatikatika kwa umeme chanzo chake ni marekebisho ya mfumo wa zamani.
Tunaandaliwa kwa umeme wa dharura?
View attachment 2015320
Tumepigwa kidogo sasaHapo amna kiongozi. Tumepigwaa.
Kwa sisi tuliofanya kazi serikalini ninakubaliana na wewe. Uzembe, ulevi, uzinzi, wizi wa kudanganya, nepotisma na uvivu vimetawala sana kwenye ofisi za serikali na mashirika ya umma. Si unasikia siku hizi kwenye mitando wakisema kama mke wako ameajiriwa huko jiandae kisaikoloji maana watampitia tu. Hukijaribu kuwa muungwana either ufanyiwe majungu ufukuzwe kazi au upewe demotion. Hayo yalinikuta. Kuweka mtoto wa dada na wa shemeji bila kuangalia vigezo vinaua hii nchi sana. Hi nchi inatakiwa kuundwa upya na kugeuza mind set ya watanzania kuwa na uzalendo wa nchi yao.Huwa nasikitika Sana wanapolaumiwa wachezaji football wa Tanzania kuwa hawajui au hawapo serious pale timu yetu ya taifa inapofanya vibaya. Vijana hawa hulaumiwa sbb kazi yao hufanyikia hadharani ambapo na mashabiki hualikwa kushuhudia matokeo ya kazi yao.
Naamini kama na watendaji wa ofisi za umma wangekuwa wanafanyia kazi zao za kitaalam ktk majukwaa ya wazi na si ktk vi ofisi tena vyenye mafaili yaliyoandikwa SIRI wallah Watanzania tungeitisha mjadala wa kitaifa kutafuta suluhu ya matatizo ya uwajibikaji kati yetu. Serikalini kuna watendaji wabovu zaidi ya hawa wacheza football tunao watukana kila uchao.
Ni watendaji hawahawa wameshindwa kutengeneza miundombinu ya kuandaa wachezaji watetezi wa taifa wa kesho. Badala yake huishia kufanya mipango ya zimamoto kutaka matokeo ambayo wenzetu wamewekeza akili, maarifa, pesa na utaalam kuyapata.