Mwanahabari wa Taifa
JF-Expert Member
- May 27, 2020
- 1,588
- 956
===
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi ( CCM ) Tanzania na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan katika hotuba yake Mkoani Mara yalikofanyika maazimisho ya miaka 45 ya Chama Cha Mapinduzi ( CCM ) kitaifa,
Pamoja na mambo mengine Rais Samia Suluhu Hassan amekiri CCM kubakia imara ndani ya kipindi cha Vyama vingi haikuwa jambo rahisi,
Aidha, Ndg Samia Suluhu Hassan amejivunia imani kubwa waliyonayo Watanzania kwa Chama Chao cha Mapinduzi na ndio imekuwa siri ya mafanikio ya ccm-tanzania wakati wote wa Uhai wake,
Ndg Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania waendelee kuiamini na kuichagua CCM katika kila Uchaguzi kwani ndio Chama kinachojibu maswali ya maisha yao yote,
Zaidi,Soma hii taarifa ya Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Ndg Shaka Hamdu Shaka aliyeitoa kwa Watanzania muda mchache baada ya kumalizika kwa maadhimisho hayo ya 45,
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi ( CCM ) Tanzania na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan katika hotuba yake Mkoani Mara yalikofanyika maazimisho ya miaka 45 ya Chama Cha Mapinduzi ( CCM ) kitaifa,
Pamoja na mambo mengine Rais Samia Suluhu Hassan amekiri CCM kubakia imara ndani ya kipindi cha Vyama vingi haikuwa jambo rahisi,
Aidha, Ndg Samia Suluhu Hassan amejivunia imani kubwa waliyonayo Watanzania kwa Chama Chao cha Mapinduzi na ndio imekuwa siri ya mafanikio ya ccm-tanzania wakati wote wa Uhai wake,
Ndg Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania waendelee kuiamini na kuichagua CCM katika kila Uchaguzi kwani ndio Chama kinachojibu maswali ya maisha yao yote,
Zaidi,Soma hii taarifa ya Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Ndg Shaka Hamdu Shaka aliyeitoa kwa Watanzania muda mchache baada ya kumalizika kwa maadhimisho hayo ya 45,