Walnut Creek
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 5,830
- 6,315
Tukiwa wazi Nyerere ni Baba wa kuchakachua matokea ya chaguzi. 1995 CCM haikushinda uchaguzi Zanzibar.CCM kiuhalali uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi 1995 ilikuwa kicked to the touch,President Nyerere wakati alishastaafu siasa akaingilia kati uchaguzi ule kuanzia ccm hadi uchaguzi mkuu akauvuruga mno(kuna watanzania walitaka atangazwe mtakatifu!!);NCCR M ilishinda uchaguzi ule na ccm kwa makusudi mazima walivuruga uchaguzi wa Dar es Salaam bila soni ,makaratasi ya kupigia kura yamefika mapema huku Lingusenguse ila yamechelewa kufika pale kariakoo!!
Siyo kweli. Magufuli aliiba kura lakini alikuwa ana base kubwa. Lisu hata hiyo 20% hakupata kule kanda ya ziwa.Uchaguzi wa 2020 ungekuwa halali na huru, mwendazake asingepata hata 20% ya kura
CCM siyo chama Cha siasa Sasa hivi, siasa zimewashinda wanatumia dola kubaki madarakani. Wakisema tunataka serikali za mitaa nchi nzima, dola inatekeleza inasimamia hachaguliwi wa chama kingine. Uchaguzi mkuu CCM wakataka bunge la kijani, dola wanatekeleza mawakala wa upinzani wanazuiliwa. Hii ndio njia pekee ya CCM kubaki, lakini hayo yana mwisho, hata Sudan ilikuwa hivi, machafuko hata jeshi na vifaru vyao hawakuweza, CCM kwa Sasa watajiona vidume kwa kuringia dola, lakini huko mbele watatuletea shida Kama ya Sudan.Chama ni CCM tu Tanzania
Ujinga mtupu===
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi ( CCM ) Tanzania na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan katika hotuba yake Mkoani Mara yalikofanyika maazimisho ya miaka 45 ya Chama Cha Mapinduzi ( CCM ) kitaifa,
Pamoja na mambo mengine Rais Samia Suluhu Hassan amekiri CCM kubakia imara ndani ya kipindi cha Vyama vingi haikuwa jambo rahisi,
Aidha, Ndg Samia Suluhu Hassan amejivunia imani kubwa waliyonayo Watanzania kwa Chama Chao cha Mapinduzi na ndio imekuwa siri ya mafanikio ya ccm-tanzania wakati wote wa Uhai wake,
Ndg Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania waendelee kuiamini na kuichagua CCM katika kila Uchaguzi kwani ndio Chama kinchojibu maswali yao yote,
Zaidi,Soma hii taarifa ya Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Ndg Shaka Hamdu Shaka aliyeitoa kwa Watanzania muda mchache baada ya kumalizika kwa maadhimisho hayo ya 45,
View attachment 2109211
View attachment 2109217
Daaah mkuu iweje ujinga?Ujinga mtupu
Unajidanganya mkuu wangu, CCM yenye wanachama 12M inategemeaje polisi?Uimara wa CCM usitegemee TISS na Polisi, wakiacha kutegemea TISS na Polisi ndo tutaona uimara wao. Kwa Sasa CCM siyo chama Cha siasa, chama Cha siasa hutegemea sanduku la kura. CCM wakitegemea sanduku la kura kesho tu asubuhi hawapo.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Naungana na wewe kwa 100%Upinzani tutawashinda tu wakati wote,
wanatamaa tu wale, wasaka tonge wakubwa Wale,
watanzania msidanganywe kwa hawa
Mafii ya kunguni!Uchaguzi wa 2020, ungekuwa halali na huru, Tundu Lissu angemuacha mbali sana Magufuli na ndio ingekuwa kifo cha ccm
DaaahMafii ya kunguni!
Shaka jembe===
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi ( CCM ) Tanzania na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan katika hotuba yake Mkoani Mara yalikofanyika maazimisho ya miaka 45 ya Chama Cha Mapinduzi ( CCM ) kitaifa,
Pamoja na mambo mengine Rais Samia Suluhu Hassan amekiri CCM kubakia imara ndani ya kipindi cha Vyama vingi haikuwa jambo rahisi,
Aidha, Ndg Samia Suluhu Hassan amejivunia imani kubwa waliyonayo Watanzania kwa Chama Chao cha Mapinduzi na ndio imekuwa siri ya mafanikio ya ccm-tanzania wakati wote wa Uhai wake,
Ndg Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania waendelee kuiamini na kuichagua CCM katika kila Uchaguzi kwani ndio Chama kinachojibu maswali ya maisha yao yote,
Zaidi,Soma hii taarifa ya Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Ndg Shaka Hamdu Shaka aliyeitoa kwa Watanzania muda mchache baada ya kumalizika kwa maadhimisho hayo ya 45,
View attachment 2109211
View attachment 2109217
DaaahNdio ukweli japo mchungu.A bunch of opportunists leaders hawawezi kuleta upinzani wenye tija.Kuna gap kubwa sana ya viongozi mahiri upande wa upinzani.Baada ya baadhi yao kupata umaarufu wanaingia CCM.
KivipiTukiwa wazi Nyerere ni Baba wa kuchakachua matokea ya chaguzi. 1995 CCM haikushinda uchaguzi Zanzibar.
upo slowKivipi
Slow au Slow slow?upo slow
DaaahTukiwa wazi Nyerere ni Baba wa kuchakachua matokea ya chaguzi. 1995 CCM haikushinda uchaguzi Zanzibar.
Huyu Mwamba kapotea sana,Slow au Slow slow?
😍😍Hakika Rais Samia ameletwa Tanzania kuliponya Taifa,
Kitendo cha kukutana na Tundu Lissu Brussels Ubelgiji ni kiwango cha juu kabisa cha Uzalendo kwa Taifa,
Tumuunge mkono Rais wetu kwa haya kwani anastahili sana,
Nzuri Sana===
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi ( CCM ) Tanzania na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan katika hotuba yake Mkoani Mara yalikofanyika maazimisho ya miaka 45 ya Chama Cha Mapinduzi ( CCM ) kitaifa,
Pamoja na mambo mengine Rais Samia Suluhu Hassan amekiri CCM kubakia imara ndani ya kipindi cha Vyama vingi haikuwa jambo rahisi,
Aidha, Ndg Samia Suluhu Hassan amejivunia imani kubwa waliyonayo Watanzania kwa Chama Chao cha Mapinduzi na ndio imekuwa siri ya mafanikio ya ccm-tanzania wakati wote wa Uhai wake,
Ndg Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania waendelee kuiamini na kuichagua CCM katika kila Uchaguzi kwani ndio Chama kinachojibu maswali ya maisha yao yote,
Zaidi,Soma hii taarifa ya Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Ndg Shaka Hamdu Shaka aliyeitoa kwa Watanzania muda mchache baada ya kumalizika kwa maadhimisho hayo ya 45,
View attachment 2109211
View attachment 2109217