No haipo hiyo, set up ya mshahara inaanza pale chini kwenye kima cha chin, kutokana na hilo nyongeza itakuwa kati 60000_ 80000 kulingana na daraja uliopo ili kuepuka utofauti mkubwa was mishahara kwa kutumia formula ya % ya mshaharaHapo mwenye basic 940000 zidisha mara 23.3 gawanya kwa 100 ndipo utapata alichoongezewa
Yule Shetani aliwahi kukuongezeeni mshahara?Msipende ongea ovyo angalia na dhamani ya pesa yako
Utofauti wa Mshahara unakuwa adjusted na Kodi, usikaze ubongo.No haipo hiyo, set up ya mshahara inaanza pale chini kwenye kima cha chin, kutokana na hilo nyongeza itakuwa kati 60000_ 80000 kulingana na daraja uliopo ili kuepuka utofauti mkubwa was mishahara kwa kutumia formula ya % ya mshahara
Mtaa gani huko? Mbona hukuniambia Dhalimu wenu aajiri hao vijana?Ela za nyongeza ya mishahara angeajili vijana wanaotapakaa mtaani
Kwanini itamkwe ikiwemo kima cha chini. Kwani wao sio watumishi wa Umma ?KISWAHILI sio lelemama ndugu....yani kichwa cha habari ya barua ile ni kupanda kwa mshahara ..... na pale chini kwenye maelezo sasa wameweka neno IKIWEMO na kima cha chini..
Hawa wanaokaza shingo hapa kuwa 23.3% ni ya kima cha chini tu ndio wale waliosema watumishi wa umma walie tu nyongeza mwaka huu hakuna.
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Kuna Nchi isiyo na dira? Huwa unasikiliza hata Hotuba za viongozi wa serikali wewe kweli?Taifa lisipokua na dira na sera imara ni rahisi kutetereka
sio kwel hio kevel ni ya km hukoSamahani mkuu, unafanya kazi TCRA? Maana niliona wajuvi humu wakisema huo ndo mshahara wa afisa wa kawaida huko TCRA.
Kama ni serikali kuu, kwa hilo lifiga, unapaswa kuwa unajua kinachoendelea au utumbuliwe tu, hamna namna.
Kimya cha chini kina implications kubwa zaidi kwenye hesabu za mishahara.Kwanini itamkwe ikiwemo kima cha chini. Kwani wao sio watumishi wa Umma ?
Hizi lugha ni za ubabaishaji.
Lugha rafiki ni kusema watumishi wa uma wataongezewa kiasi kadha au la kama miaka hii ya karibuni.
Wengine tulijipambambanua kutokubaliana aye akiwa hai ,vipi nyie mliolamba nyayo zake na leo mnananga vibayaYule Shetani aliwahi kukuongezeeni mshahara?
Ni la kushangaza,usichikielewa wewe ni kwamba hiyo nyongeza haitajwi tuu ilimradi bali ni kulingana na uwezo wa kifedha wa serikali na tija ..Kwa Mujibu wa Sheria za Tanzania , nyongeza ya mshahara wa wafanyakazi kila mwaka ni takwa la kisheria , limo ndani ya Katiba ya Nchi ambayo kila kiongozi mwenye akili timamu anapaswa kuifuata , hii ni kwa sababu aliapa kuilinda na kuitii .
Kwa Hiyo kwa Mama kuongeza mshahara kwa hizo 23.3 % si ajabu na wala si jambo la kushangaza , Kwa vile amefuata matakwa ya Katiba ya nchi kama inavyomuelekeza , nyongeza ya mshahara si mapendo ya Rais , amelazimishwa ndani ya Katiba , hakuna haja ya kumsifia as if Mshahara huo ameongeza kutoka nyumbani kwake , sana sana apongezwe kwa kuanza kuijua vizuri Katiba ya nchi .
Ikumbukwe kwamba sipingi nyongeza ya mshahara kwa Wafanyakazi wa Tanzania makapuku , waliosomeshwa namba kwa miaka 7 , isipokuwa nanyoosha tu maelezo kwamba KUPANDA KWA MSHAHARA SI HISANI YA RAIS , BALI NI MATAKWA YA KATIBA YA NCHI .
Naomba kuwasilisha .
Yakipanda wewe utakuwa sayari gani....fuata yako.Mnaacha kujiajiri mnahangaika kuwa watumwa serilalini. Halafu mnashangilia nyongeza ya kimshahara wakati maisha nayo yanapanda. Mindless
Sukuma gang haoHili taifa lina shida na linahitaji uponyaji!?? Hizi chuki kali kabisa na wivu maana yake nini!???
Wewe ni kina cha chini inakuhusuDu,inamaana Mimi ninayepata 420000,hiyo 23.3% hainihusu
Ni sawa ila inaendana na dhamana ambayo Katiba imempa...Swadakta ! Unajua kuna ule uzushi kwamba "Mama katoa hela ya barabara au sijui ya mradi fulani , au sijui hela ya mama hailiwi " kiukweli mama hana hata shilingi na wala halipi hata kodi , hii ni hela ya Nchi , na hata yeye mwenyewe analipwa Mshahara na marupurupu kutokana na hela hii hii ya Umma , inakuwaje tunaambiwa ni hela yake ? hatutakubali hata kwa bunduki .
Hapo kuna sentensi mbili zinazo jitegemea.Ni kweli ila umekosea ku quote kidogo barua inasema "...amekubali ongezeko la mshahara IKIWEMO kima cha chini kwa 23%... ". Yaani neno ongezeko limeanza halafu wakamalizia na IKIWEMO kima cha chini then asilimia ikafuata.
Zuhura Yunus amejua kuleta mjadala kwa maneno yake aliyotumia
MIREMBE kuko wazi...mngeenda kuchekiwaNashangaa mijitu inashangilia. Inamaana kuwa wale wenye mishahara ya laki mbili wataongezewa hiyo asilimia ila wenye mishahara mingine hakuna nyongeza
Povu hili πAchana na Hilo zezete,ni majitu ambayo hayajielewi kazi ni kushangilia Kila kitu kinachotokea,sukuma gang sijui linamanisha Nini,Mimi nayaonaga masenge tu,ndo hayo yanayolalamika maisha magumu Kila siku,yanategemea serikali iwape chakula bila kufanyakazi,siku serikali ikisema hailipi kabisa mshahara utaona wanashawishi maandamano,
Unaongea kimhemko tu.Sahihi kabisa, japo Kuna watakaokubishia Ila huo ndo ukweli, anaebisha either si mtumishi, au mwl wa kiswahili au pengine sukuma gang
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Povu la chuki,aongezewe mtumishi ikuume wewe π¬π¬Wewe ni likapuku la wapi,unategemea hicho kimshahara chako ujenge nyumba,ya tope au? Jiongeze na wewe,fanya na shuguli zingine ,hicho kimshahara chako Kila mwisho wa mwezi unamadeni eti 23.3% ndo ikukomboe,inawezekana hata card Yako ya benki Huwa unaicha Kwa wafanyabiashara mwisho wa mwezi unagawana Nao,ndo maana unasema sukuma gang,Acha ujinga jishugulishe,uza hata mchicha kama shugulizi zingine huwezi usibaki kusubiria mwisho wa mwezi huku ukilaumu sukuma gang mjinga wewe