Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jiwe alikuwa na roho chafu ya uharibufu. roho yake haikupenda kuona vitu vipo stable.Afadhali,, cement itashuka bei, maana walimfanyia figisu mwanzoni, wakati ule cement ya dangote imeshamili mtaani, tulinunua mfuko wa saruji hadi Tsh 10,000 kutoka 15000.
Dikteta alimfanyia figisu za kutisha.
Yawezekana awamu ya tano hawakwenda sawa na huyu billionea !! Mama tunakusikuliza weye!! Mwendazake akitaka kuingia hadi uvunguni mwa hawa watu ili awakombe pesa zao.
Hawezi akawa na PR kama ya Mkapa na Kikwete ambapo migodi ya Tanzania, serikali ilimiliki % ndogo sana na ushuru kiduchu. Wakati Magufuli share na kodi vilipanda exponentially!... huyu Mama PR iko juu sana kuliko mtangulizi! Chama kingekuwa makini, kama ilikuwa ni lazima wawili hawa washike madaraka ya juu, basi mtangulizi aliitakiwa awe msaidizi wa Mama toka mwanzo kabisa.
Maamuz ya kuhamia Dodoma yalikuwa ni moja ya maamuz ya hovyo mno kuwah kufanywa ......!!!Kuna uwezekano mkubwa, Ikulu ya Chamwino haitaendelea kutumika.
Jamaaa Lina Mihela kudadadeki........!!!!, kama ambavyo sina!Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani amekutana na kufanya mazungumzo na Mfanyabiashara maarufu kutokea Nigeria Alhaji Aliko Dangote
Mazungumzo hayo muhimu yalifanyika leo Mei 24, 2021 Ikulu Jijini Dar es salaam
Alhaji Dangote ni mfanyabiashara mkubwa duniani aliyewekeza nchini Tanzania kwenye sekta mbalimbali ikiwemo Kiwanda cha kuzalisha Saruji Mkoani Mtwara
Alhaji Dangote amemshukuru sana Rais Samia kws kuboresha mazingira ya Uwekezaji nchini na ameahidi kuwa ataendelea kuwekeza Tanzania kwenye maeneo tofauti ikiwamo ujenzi wa Kiwanda cha Mbolea
Rais Samia aliahidi kuwa Serikali yake itaendelea kuboresha mazingira ya uwekezaji nchini kwa faida ya pande zote na alwaagiza Mawaziri husika kushughulikia changamoto zinazoikabili Kampuni ya Dangote
Taarifa zaidi kutolewa na Mamlaka husika
Kazi Iendelee
Unawachokoza wakazi wa dodoma na kanda ya ziwa sasaMaamuz ya kuhamia Dodoma yalikuwa ni moja ya maamuz ya hovyo mno kuwah kufanywa ......!!!
Mkuu..yani yule Meko alikua anataka kuizika Nchi ya Tanzania katika kila sekta.. lakini MUNGU ashukuriwe sana tumemzika yeye kabla hajaendelea kuharibu zaidi.View attachment 1796166
Safi sana Samia Suluhu Wafanyabiashara sio maadui kama walivyofanywa na Utawala wa Mwendazake.
kazi ipi amechapaMama anachapa kazi aise.
Sijui anapumzikaga siku gani
Kwahivo kwenye Mafuvu yenu magumu ya kimataga mnafikiri Wafanyabiashara ni Maadui wa Tanzania?Kamanda unaendelea kujifariji
Kamchape viboko au mkaripie aache kudeka mkuu.Hivi Kwa nini hawa wafanya biashara wakubwa huwa wanakaa kudekadeka saana!!!
Huyu jamaa anaongoza Kwa kudeka, haishiwi kulalama kama litoto Fulani hivi, Mo, na Bakhlesa, sjawahi kuona wakideka hivyo
Safi sana MAMA. Mungu akulinde
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani amekutana na kufanya mazungumzo na Mfanyabiashara maarufu kutokea Nigeria Alhaji Aliko Dangote
Mazungumzo hayo muhimu yalifanyika leo Mei 24, 2021 Ikulu Jijini Dar es salaam
Alhaji Dangote ni mfanyabiashara mkubwa duniani aliyewekeza nchini Tanzania kwenye sekta mbalimbali ikiwemo Kiwanda cha kuzalisha Saruji Mkoani Mtwara
Alhaji Dangote amemshukuru sana Rais Samia kws kuboresha mazingira ya Uwekezaji nchini na ameahidi kuwa ataendelea kuwekeza Tanzania kwenye maeneo tofauti ikiwamo ujenzi wa Kiwanda cha Mbolea
Rais Samia aliahidi kuwa Serikali yake itaendelea kuboresha mazingira ya uwekezaji nchini kwa faida ya pande zote na alwaagiza Mawaziri husika kushughulikia changamoto zinazoikabili Kampuni ya Dangote
Taarifa zaidi kutolewa na Mamlaka husika
Kazi Iendelee
Ni bora Zimwi litujualo (CCM asilia)halituli likatumaliza kuliko Zimwi lile la Mataga ambalo lilikuwa linafurahia kuchinja na kumwaga Damu ya UpinzaniNaona upinzani silaha chini...mmebaki kudemka.
Imetoka hiyo. Mpemba akafanye nini Dodoma?Kuna uwezekano mkubwa, Ikulu ya Chamwino haitaendelea kutumika.
Hakika....Mama anachapa kazi aise.
Sijui anapumzikaga siku gani