Stan Mashamba
JF-Expert Member
- Apr 22, 2020
- 3,183
- 2,479
Na chato ndiyo basi tena. Tutayakumbuka maneno ya Mhe. Lisu.Kuna uwezekano mkubwa, Ikulu ya Chamwino haitaendelea kutumika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na chato ndiyo basi tena. Tutayakumbuka maneno ya Mhe. Lisu.Kuna uwezekano mkubwa, Ikulu ya Chamwino haitaendelea kutumika.
neverAfadhali,, cement itashuka bei, maana walimfanyia figisu mwanzoni, wakati ule cement ya dangote imeshamili mtaani, tulinunua mfuko wa saruji hadi Tsh 10,000 kutoka 15000.
Dikteta alimfanyia figisu za kutisha.
Inawezekana haijamalizika kujengwa.Kuna uwezekano mkubwa, Ikulu ya Chamwino haitaendelea kutumika.
Hakika mkuu, bila ajira au mazingira mazuri ya kujiajiri maisha yanakuwa magumu sanaKodi pia ziangaliwe upya unakuta product moja inalipiwa kodi mpaka mara tatu au Nne
Katika hotuba za Raisi Samia ameongelea sana jinsi ya utitiri wa Kodi na Urasimu ulivyojaa
Kwa sisi Watu wa kawaida tunachoomba ni Ajira ili twende Choo kwa amani
Wawekezaji wanazidi kumiminika Tanzania kufuatia uwepo wa mazingira rafiki na ya kuvutia yatakayofaidisha pande zote mbili mwekezaji mgeni na nchi ya Tanzania.
Juzi pia wawezeshaji European Business Group Tanzania forum European Union Business Group Tanzania – European Union Business Group Tanzania walifanikisha kongamano la European Investors Dialogue Tanzania walikuwa na kikao na wizara mbalimbali na kongamano la kujadili uwekezaji Tanzania
Mambo yanazidi kunoga ktk awamu ya sita upande wa kuwapa imani, mazingira na sera za kiushawishi za uwekezaji pamoja na diplomasia ya uchumi kuanza kuzaa matunda.
Angemsaidia dangote asingelalamika CBS kwamba serikali yake inachukua 16% undiluted share kwenye kampuni zaoMagufuli alimsaidia sana Dangote katika uwekazaji. Alimsaidia sana. Naona watu msiofuatilia mambo mnamchafua Magufuli. Hebu ingieni hata You-tube tu huko mtaona mazungumzo yake na Rais Magufuli. Muacheni Mama Samia afanye kazi na mmuache Hayati John Pombe Magufuli apumzike kwa amani.
Kwisha habari yako.Sijifaragui ninasema ukweli mtupu
Hamna hata moja.[emoji3][emoji3]kazi ipi amechapa
Yeye ndio chanzo cha Dangote kupunguza uwekezaji Nchini,,Magufuli alimsaidia sana Dangote katika uwekazaji. Alimsaidia sana. Naona watu msiofuatilia mambo mnamchafua Magufuli. Hebu ingieni hata You-tube tu huko mtaona mazungumzo yake na Rais Magufuli. Muacheni Mama Samia afanye kazi na mmuache Hayati John Pombe Magufuli apumzike kwa amani.
Never kivipi Sasa???? Eti bintinever
Soo far She seem to be strategic and serious in revamping the current business and economical situation.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani amekutana na kufanya mazungumzo na Mfanyabiashara maarufu kutokea Nigeria Alhaji Aliko Dangote
Mazungumzo hayo muhimu yalifanyika leo Mei 24, 2021 Ikulu Jijini Dar es salaam
Alhaji Dangote ni mfanyabiashara mkubwa duniani aliyewekeza nchini Tanzania kwenye sekta mbalimbali ikiwemo Kiwanda cha kuzalisha Saruji Mkoani Mtwara
Alhaji Dangote amemshukuru sana Rais Samia kws kuboresha mazingira ya Uwekezaji nchini na ameahidi kuwa ataendelea kuwekeza Tanzania kwenye maeneo tofauti ikiwamo ujenzi wa Kiwanda cha Mbolea
Rais Samia aliahidi kuwa Serikali yake itaendelea kuboresha mazingira ya uwekezaji nchini kwa faida ya pande zote na alwaagiza Mawaziri husika kushughulikia changamoto zinazoikabili Kampuni ya Dangote
Taarifa zaidi kutolewa na Mamlaka husika
Kazi Iendelee
Ikulu ni popote ... Halafu sasa Ikulu ambayo ilikuwa imepoteza matumizi angalau itapata matumizi na hakuna haja kusumbua watu kwenda Dodoma, biashara ya mahoteli itaanza kufufuka .. Kazi iendelee.Kuna uwezekano mkubwa, Ikulu ya Chamwino haitaendelea kutumika.
Ndio maana wale jkt walioijenga wamefukuzwaKuna uwezekano mkubwa, Ikulu ya Chamwino haitaendelea kutumika.
Na bado ana teuzi kibao mkononiMama anachapa kazi aise.
Sijui anapumzikaga siku gani
itamalizikaje kujengwa wakati vibarua walikuwa ni vijana wa JKT waliokuwa wanafanyishwa kazi usiku na mchana kwa ahadi kwamba wangepewa ajira jeshini?....mwisho wakaishia kuwafurusha bila huruma.Inawezekana haijamalizika kujengwa.
Ukute ndo maana kafaMaamuz ya kuhamia Dodoma yalikuwa ni moja ya maamuz ya hovyo mno kuwah kufanywa ......!!!
Ma DC wajiandae
Zulumati ni laanakumitamalizikaje kujengwa wakati vibarua walikuwa ni vijana wa JKT waliokuwa wanafanyishwa kazi usiku na mchana kwa ahadi kwamba wamgepewa ajira jeshini?.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani amekutana na kufanya mazungumzo na Mfanyabiashara maarufu kutokea Nigeria Alhaji Aliko Dangote
Mazungumzo hayo muhimu yalifanyika leo Mei 24, 2021 Ikulu Jijini Dar es salaam
Alhaji Dangote ni mfanyabiashara mkubwa duniani aliyewekeza nchini Tanzania kwenye sekta mbalimbali ikiwemo Kiwanda cha kuzalisha Saruji Mkoani Mtwara
Alhaji Dangote amemshukuru sana Rais Samia kws kuboresha mazingira ya Uwekezaji nchini na ameahidi kuwa ataendelea kuwekeza Tanzania kwenye maeneo tofauti ikiwamo ujenzi wa Kiwanda cha Mbolea
Rais Samia aliahidi kuwa Serikali yake itaendelea kuboresha mazingira ya uwekezaji nchini kwa faida ya pande zote na alwaagiza Mawaziri husika kushughulikia changamoto zinazoikabili Kampuni ya Dangote
Taarifa zaidi kutolewa na Mamlaka husika
Kazi Iendelee