Rais Samia akutana na kufanya mazungumzo mfanyabiashara Alhaj Aliko Dangote

Rais Samia akutana na kufanya mazungumzo mfanyabiashara Alhaj Aliko Dangote

Madereva wake wameajiriwa kama contractors badala ya kupewa full time employment, hilo linawakosesha haki zao za kisheria nyingi ikiwemo uhakika wa kazi zao, kuingizwa kwenye pension schemes, kwenda likizo ya malipo, sick pay na faida wanazopewa wafanyakazi wenzao; bila ya kusahau kupoteza PAYE za TRA.

Hayo ndio mambo ya kumkubusha na yeye. Juzi tu madereva wa Dangote walikuwa kwenye mgomo kisa kuchukuliwa kama vibarua wakati watu wanafanya kazi sehemu moja zaidi ya miaka miwili, hakuna madereva wenye mkataba wa kudumu na kampuni; kuna middleman anaewapa ajira na kuwapunja kwa kuwakata kilicho chao, bila ya ulazima.

Wafanyabiashara sio kuja kuomba mazingira mazuri tu, bali na wao waweke mazingira mazuri kwa waajiriwa, sakata lote la mgomo limeenda karibu week nzima Mhagama kama alikuwa aoni vile na nina uhakika wale madereva madai yao ya msingi ayajatatuliwa.
Atafanyaje mikataba wakati aliona kabisa biashara atafunga? Aliteswa mno mpaka akaanza taratibu za kufunga kiwanda na ilitangazwa. Hakuna mfanyabiasha mjinga kwenye biashara yake. Hata Rais wa nchi akiwa mjinga kwenye kazi yake anbayo ndiyo biashara yake basi mambo yanakuwa ya hovyo kama ya nchi moja hivi ambayo Mungu aliwaonea huruma akafanya pindua meza. Mungi ni fundi mno apigiwe makofi na vigelegele.
 
December 2020 walikomba 500M kutoka kwenye account yake ya CRDB Mtwara branch, wanauliza wakaambiwa ni maelekezo kutoka juu. Jamaa wakachukia wakaona hizi Bank za kibongo hawafuati sheria wakahamishia account yao Bank Of Africa.

Mwendazake zake alikuwa akifanya ujambazi wa kimadaraka,kisha anajisifia mapato ya kodi yameongezeka kumbe ni unyang'anyi tu.
Whaaat? Aiseeee. Hakika hivi Mwendazake alikuwa ni mzaliwa wa Tanzania mwenye uchungu na hii nchi? Tungeingizwa shimo refu tusingeweza kuchomoka tena. Kumbe kweli yanayosemwa na wabunge wizi au ujambazi usiotumia silaha ni kweli?
 
Unadhani ni kwanini Dangote amesema kuna mabadiliko Tanzania,na watu waje kuwekeza wakati alipokuwa ikulu leo?
Unafikiri hayo maneno alikuwa hasemi wakati anakuja kumwona Magufuli?

maneno ni hayohayo ndugu yangu, hawa ni wafanyabiashara na sana lugha hizohizo,hawezi kutoka hapo na akaponda mazungumzo yaliyofanyika
 
Enzi za Prof. Palamagamba Kabudi kuhodhi na kuleta ukiritimba wa habari kupitia kutusimulia kwa (kiSwahili) huku akiwazuia wawekezaji kuzungumza zimepita.

Leo tumemsikia mwenyewe bilionea mwekezaji Aliko Dangote (chungulia utajiri wake hapa : Aliko Dangote ) akipewa fursa kusema yake moja kwa moja na wasikilizaji / watazamaji wa tv / video kuwa anaridhishwa na kuwa kuna mabadiliko makubwa.


Dangote atakuwa balozi wetu maalum kuitangaza Tanzania kwa klabu za mabilionea wawekezaji kuwa Tanzania sasa mambo yamenoga na kuna fursa nzuri za uwekezaji.
Naomba media zote leo Wahariri mtoe habari ya Dangote vizuri. Mtangazeni mama kwa mazuri na makubwa anafanya kwa nchi kwa muda mfupi mno mwanga umerudi kwa speed ya radi. Mungu mlinde Rais wetu, #The Madam President#HerExcellency
 
Msemaji wa serikali Bwana Gerson Msigwa aposti katika ukurasa wake wa twitter kauli hiyo ambayo imezua maswali mengi kwa wananchi.Ametoa kauli hii hivi leo baada ya Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan kufanya mazungumzo na mwekezaji Dangote.

Wengi wamejiuliza kwani hali ilikuwaje kabla?Wengine wakijiuliza ni nani huyo ambae aliharibu nchi kiasi hicho?
View attachment 1796261
Hahahaha Msigwa account imekuwa hacked au? Team Mwendambio
 
itamalizikaje kujengwa wakati vibarua walikuwa ni vijana wa JKT waliokuwa wanafanyishwa kazi usiku na mchana kwa ahadi kwamba wangepewa ajira jeshini?....mwisho wakaishia kuwafurusha bila huruma.
Serikali haiwezi kuwategemea hao vibarua pekee waliokaidi amri halali ya viongozi wa jeshi kitu ambacho ni usaliti. Naamini ujenzi utaendelea kwa njia nyingine.
 
Afadhali,, cement itashuka bei, maana walimfanyia figisu mwanzoni, wakati ule cement ya dangote imeshamili mtaani, tulinunua mfuko wa saruji hadi Tsh 10,000 kutoka 15000.

Dikteta alimfanyia figisu za kutisha.
Hujui chochote kuhusu hill Dogo. Katika mambo ambayo JPM alikuwa smart lilikuwa ni jinsi alivyo deal na Dangote. Utanielewa kesho!
 
Haya ndiyo majukumu ya Rais sasa, siyo kutafuta cheap popularity kwa watu wenye upeo finyu (Machinga, bodaboda, mamantilie na wauza nyanya wa Dumila), matokeo yake unaenda hadi kuzindua vyoo na kuwaambia watu waache mavi yao nyumbani. Hongera Mother
Umeongea ushuzi mtupu
 
Hawezi akawa na PR kama ya Mkapa na Kikwete ambapo migodi ya Tanzania, serikali ilimiliki % ndogo sana na ushuru kiduchu. Wakati Magufuli share na kodi vilipanda exponentially!
Kama hatupigwi mahali popote sawa, lakini kama ni mtindo wa zile awamu 3&4 we are finished!
Huyu mama hopeless kabisa,ndo maana hata akaolewa mke wa tatu,yaani rahisi sana kumpiga fix🤣🤣🤣
 
Madereva wake wameajiriwa kama contractors badala ya kupewa full time employment, hilo linawakosesha haki zao za kisheria nyingi ikiwemo uhakika wa kazi zao, kuingizwa kwenye pension schemes, kwenda likizo ya malipo, sick pay na faida wanazopewa wafanyakazi wenzao; bila ya kusahau kupoteza PAYE za TRA.

Hayo ndio mambo ya kumkubusha na yeye. Juzi tu madereva wa Dangote walikuwa kwenye mgomo kisa kuchukuliwa kama vibarua wakati watu wanafanya kazi sehemu moja zaidi ya miaka miwili, hakuna madereva wenye mkataba wa kudumu na kampuni; kuna middleman anaewapa ajira na kuwapunja kwa kuwakata kilicho chao, bila ya ulazima.

Wafanyabiashara sio kuja kuomba mazingira mazuri tu, bali na wao waweke mazingira mazuri kwa waajiriwa, sakata lote la mgomo limeenda karibu week nzima Mhagama kama alikuwa aoni vile na nina uhakika wale madereva madai yao ya msingi ayajatatuliwa.
Siro mpatie urinzi wa nguvu huyu jamaa.
 
Kuna uwezekano mkubwa, Ikulu ya Chamwino haitaendelea kutumika.
Kutoka Dar kwenda Zanzibar inachukua muda mfupi kuliko kutoka Dodoma, hali ya hewa ya Dar inashabihiana sana na ya Zanzibar, upepo mwanana wa marashi ya karafuu husikika vema ukiwa Dar. Vumbi la Dodoma lenye ukwasi wa harufu ya samli linakera sana.
 
Huyu Dangote wakati anapigania kupata gas ya Mtwara, ni Magufuli aliyempigania mpaka kuagiza ajengewe bomba lake mpaka kiwandani,

alipoona vile vile wanamzingua kuhusu makaa ya mawe alimruhusu mpaka awe na eneo lake mwenyewe achimbe,

leo mnamsema kwamba alikuwa anamfanyie mizengwe,?!

kweli kama umemchoka mbwa mpe jina baya.

nyie watu man roho mbaya sana.
Waandikie watoto wako ujinga huu!
 
Whaaat? Aiseeee. Hakika hivi Mwendazake alikuwa ni mzaliwa wa Tanzania mwenye uchungu na hii nchi? Tungeingizwa shimo refu tusingeweza kuchomoka tena. Kumbe kweli yanayosemwa na wabunge wizi au ujambazi usiotumia silaha ni kweli?
Ukichunguza sana, Mwendazake wala hakuwa na asili ya Tanzania.
Wanaosema msukuma nakataa kabisa, hana hata dalili ya usukuma ndani yake!
 
Back
Top Bottom