Rais Samia akutana na kufanya mazungumzo mfanyabiashara Alhaj Aliko Dangote

Rais Samia akutana na kufanya mazungumzo mfanyabiashara Alhaj Aliko Dangote

Ukitaka manufaa ya cement iwe Tshs. 10,000 kwa mfuko lazima kazi zingine zifanyike na macontractors waliopewa kazi kama za usafirishaji, payroll iwe sub contracted kwa watu wengine n.k ili menejimenti ya Dangote Cement ijikite katika core duties uzalishaji na kuhakikisha mashine mitambo ya viwanda inakwenda sawa.

Masuala mengi ya human resources, maduka ya cement waachiwe wengine wafanye. Huu ndiyo mtindo wa kisasa wa ku - run operesheni za viwanda vikubwa ktk dunia hii ya mapinduzi ya viwanda ya nne.

Hutakiwi kufuatilia sijui likizo, off ya kuumwa, kutazama watoto, kufiwa / msiba, mishahara ya madereva na wafanyakazi wengine wasio wataalamu wa cementi au wa uendeshaji kiwanda haya yote unawapatia ma contractor waumize vichwa masuala yasiyohusisha uzalishaji.

Hapa inatakiwa serikali izibane kampuni hizi zinazofanya kazi ya u contract wa madereva , payroll n.k kuwapa wafanyakazi wake wote wanaopelekwa kufanya kazi za Dangote Cement mishahara, stahili, likizo, mikataba na marupurupu, posho kufuatana na sheria za kazi za Tanzania.

Kuilaumu kampuni ya Dangote Cement ambayo haihusiki na uajiri wa hawa madereva na wafanyakazi wengine wa agency ni kupoteza muda. Serikali iwabane ma contractor waliobeba majukumu ya ajira za wafanyakazi hawa.
Nakubaliana na wewe partly serikali izibane kampuni zote zinazochukua contacts za mashirika na kuajiri watu wengine kufanya hizo kazi. Kampuni husika lazima wafuate sheria za kazi na kuhakikisha agency workers wa muda wanapata entitlement zote.

Huo nduo utakuwa mwarobaini, utakaofanya watu kama kina Dangote waajiri badala ya kutoa contracts zisizo na lazima ili kukwepa majukumu ya kisheria.

Utakuta kwa sasa Dangote wanalipa mishahara tu kwa contractors ivyo vigezo vikiwekwa na contractor nao wataongeza charge, will that be worth it to Dangote maana hao watu wanahitaji for full time and for many years too.

Je wakiwa nje ya control zao watakuwa motivated kutokana na uhusiano wao na huyo contractor wakati Dangote wanalipa kila kitu, hayo sasa ndio yatabaki maswali kwa Dangote kama waajiri au waendelee na mfumo wa kutoa contracts kwa third parties.

Lakini haki za wafanyakazi lazima ziheshemiwe wawe wanaajiri kupitia contractor au moja kwa moja.
 
Atafanyaje mikataba wakati aliona kabisa biashara atafunga? Aliteswa mno mpaka akaanza taratibu za kufunga kiwanda na ilitangazwa. Hakuna mfanyabiasha mjinga kwenye biashara yake. Hata Rais wa nchi akiwa mjinga kwenye kazi yake anbayo ndiyo biashara yake basi mambo yanakuwa ya hovyo kama ya nchi moja hivi ambayo Mungu aliwaonea huruma akafanya pindua meza. Mungi ni fundi mno apigiwe makofi na vigelegele.
Magufuli is dead elewa hilo ata watu wafanyaje he is never coming back.

Halafu it is never about Samia vs Magufuli; it’s about sustainability ya serikali katika majukumu yake. Hapo ndipo watu wanapokosoa baadhi ya mambo.

Lakini Magu is dead sio kwamba mstaafu labda kesho utamsikia akitetea maamuzi yake kama JK au Mwinyi, yeye ni marehemu he is dead utokaa umsikie tena akiongea.

Mwacheni apumzike kwa amani sio kumsakama huko halipo.
 
Huyu Dangote wakati anapigania kupata gas ya Mtwara, ni Magufuli aliyempigania mpaka kuagiza ajengewe bomba lake mpaka kiwandani,

alipoona vile vile wanamzingua kuhusu makaa ya mawe alimruhusu mpaka awe na eneo lake mwenyewe achimbe,

leo mnamsema kwamba alikuwa anamfanyie mizengwe,?!

kweli kama umemchoka mbwa mpe jina baya.

nyie watu man roho mbaya sana.

Mwendazake hayati rais John Pombe Joseph Magufuli, mwenyewe alilalamikia watu wake serikalini kwa kukwamisha malengo ya Dangote kule kusini:
10 Dec 2016
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 10 Desemba 2016, amekutana na kufanya mazungumzo na Mmiliki wa Kiwanda cha Saruji cha Dangote kilichopo Mtwara, Alhaji Aliko Dangot
 
Hujui chochote kuhusu hill Dogo. Katika mambo ambayo JPM alikuwa smart lilikuwa ni jinsi alivyo deal na Dangote. Utanielewa kesho!
We bint kula kulala usiejua hata bei ya tofali au nondo,
Ni upuuzi kubishana nawewe,
Subiri makande yaive ule ulalwe
 
Madereva wake wameajiriwa kama contractors badala ya kupewa full time employment, hilo linawakosesha haki zao za kisheria nyingi ikiwemo uhakika wa kazi zao, kuingizwa kwenye pension schemes, kwenda likizo ya malipo, sick pay na faida wanazopewa wafanyakazi wenzao; bila ya kusahau kupoteza PAYE za TRA.

Hayo ndio mambo ya kumkubusha na yeye. Juzi tu madereva wa Dangote walikuwa kwenye mgomo kisa kuchukuliwa kama vibarua wakati watu wanafanya kazi sehemu moja zaidi ya miaka miwili, hakuna madereva wenye mkataba wa kudumu na kampuni; kuna middleman anaewapa ajira na kuwapunja kwa kuwakata kilicho chao, bila ya ulazima.

Wafanyabiashara sio kuja kuomba mazingira mazuri tu, bali na wao waweke mazingira mazuri kwa waajiriwa, sakata lote la mgomo limeenda karibu week nzima Mhagama kama alikuwa aoni vile na nina uhakika wale madereva madai yao ya msingi ayajatatuliwa.
Hizo ni loopholes za sheria zetu. Huwezi kubana mtu ambaye anafanya provided that havunji sheria za nchi. Kama hiyo sheria ni mbaya basi ibadilishwe.

Kwa kawaida wafanyabiashara hufanya mambo ambayo yatawapunguzia gharama za uendeshaji au kuepusha migogoro na wafanyakazi.
 
Waandikie watoto wako ujinga huu!
Ujinga upi kama hujui kitu kaa kimya wewe ndio mjinga,una mtukana mwenazako wakati kasema kweri alipewa kabisa eneo achimbe makaa mwenyewe akashindwa mpaka leo eneo lipo tu mm mwenyewe nalifahamu lilipo unajiona mjanja kutukana wenzako?
 
Whaaat? Aiseeee. Hakika hivi Mwendazake alikuwa ni mzaliwa wa Tanzania mwenye uchungu na hii nchi? Tungeingizwa shimo refu tusingeweza kuchomoka tena. Kumbe kweli yanayosemwa na wabunge wizi au ujambazi usiotumia silaha ni kweli?
Jiwe alikuwa ni jambazi la nyumba nyeupe
 
Hizo ni loopholes za sheria zetu. Huwezi kubana mtu ambaye anafanya provided that havunji sheria za nchi. Kama hiyo sheria ni mbaya basi ibadilishwe.

Kwa kawaida wafanyabiashara hufanya mambo ambayo yatawapunguzia gharama za uendeshaji au kuepusha migogoro na wafanyakazi.
Inawezekana ni loophole ya kisheria inawezekana contractor afuati sheria (kwa sababu sheria wote atujaisoma inavyoonekana based on our post) tuna generalise tu.

Either way Dangote should be concerned madereva wanaosafirisha bidhaa zake, kwa kutumia ma lorry ya kampuni yake hawaridhiki na mazingira yao ya kazi.
 
Magufuli is dead elewa hilo ata watu wafanyaje he is never coming back.

Halafu it is never about Samia vs Magufuli; it’s about sustainability ya serikali katika majukumu yake. Hapo ndipo watu wanapokosoa baadhi ya mambo.

Lakini Magu is dead sio kwamba mstaafu labda kesho utamsikia akitetea maamuzi yake kama JK au Mwinyi, yeye ni marehemu he is dead utokaa umsikie tena akiongea.

Mwacheni apumzike kwa amani sio kumsakama huko halipo.
Tutamsakama na kumsimanga mpaka ifanyike miujiza afufuke akatupwe Ukonga :-*😎
 
Nakubaliana na wewe partly serikali izibane kampuni zote zinazochukua contacts za mashirika na kuajiri watu wengine kufanya hizo kazi. Kampuni husika lazima wafuate sheria za kazi na kuhakikisha agency workers wa muda wanapata entitlement zote.

Huo nduo utakuwa mwarobaini, utakaofanya watu kama kina Dangote waajiri badala ya kutoa contracts zisizo na lazima ili kukwepa majukumu ya kisheria.

Utakuta kwa sasa Dangote wanalipa mishahara tu kwa contractors ivyo vigezo vikiwekwa na contractor nao wataongeza charge, will that be worth it to Dangote maana hao watu wanahitaji for full time and for many years too.

Je wakiwa nje ya control zao watakuwa motivated kutokana na uhusiano wao na huyo contractor wakati Dangote wanalipa kila kitu, hayo sasa ndio yatabaki maswali kwa Dangote kama waajiri au waendelee na mfumo wa kutoa contracts kwa third parties.

Lakini haki za wafanyakazi lazima ziheshemiwe wawe wanaajiri kupitia contractor au moja kwa moja.
Kilatha mwekezaji anachotaka ni ku-maximize profit kadiri awezevyo. Tukubali tu kuwa ukishaamua ''kukumbatia'' wawekezaji huwezi tena kumpa vi-sharti vyako uchwara. Wengi namna wanashangalia sana hapa lakini hawajui ''marupurupu yanayokuja na uwekezaji wa kunyeyea. Naomba nieleweke kuwa sikai uwekezaji lakini nataka kutahadharisha tu mambo siyo plain kama watu wanavyodhani. Watanzania walivyo walalamishi nina uhakika soon zitasikika sauti za kulaani wawekezaji na kusema ni bora waondoke.
 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani amekutana na kufanya mazungumzo na Mfanyabiashara maarufu kutokea Nigeria Alhaji Aliko Dangote

Mazungumzo hayo muhimu yalifanyika leo Mei 24, 2021 Ikulu Jijini Dar es salaam

Alhaji Dangote ni mfanyabiashara mkubwa duniani aliyewekeza nchini Tanzania kwenye sekta mbalimbali ikiwemo Kiwanda cha kuzalisha Saruji Mkoani Mtwara

Alhaji Dangote amemshukuru sana Rais Samia kws kuboresha mazingira ya Uwekezaji nchini na ameahidi kuwa ataendelea kuwekeza Tanzania kwenye maeneo tofauti ikiwamo ujenzi wa Kiwanda cha Mbolea

Rais Samia aliahidi kuwa Serikali yake itaendelea kuboresha mazingira ya uwekezaji nchini kwa faida ya pande zote na alwaagiza Mawaziri husika kushughulikia changamoto zinazoikabili Kampuni ya Dangote

Taarifa zaidi kutolewa na Mamlaka husika

Kazi Iendelee
Shida kubwa ya Dangote ni mtu anaeamini in monopoly. Sehemu zote anapowekeza huwa ana bad reputation ya ku corrupt viongozi wa kisiasa ili kuua competition nahisi ndio maana hawakuwezana na mwendazake.
 
Hatimaye makamanda uchwara waukubali muziki wa chama tawala.
Acceptance ya mama SSH kwa watanzania inawauma sana nyie MATAGA! Chuki yenu kwa Rais Samia ni kwa sababu ya yeye kuleta utulivu, upendo na amani kwa wananchi. Kwendraa zenu na milegacy yenu.
 
Acceptance ya mama SSH kwa watanzania inawauma sana nyie MATAGA! Chuki yenu kwa Rais Samia ni kwa sababu ya yeye kuleta utulivu, upendo na amani kwa wananchi. Kwendraa zenu na milegacy yenu.

Hata wanaoporwa na kuibiwa huwa wametulia na wana amani hivyohivyo. Tuko zako kule na utulivu na amani uchwara
 
Back
Top Bottom