Rais Samia akutana na kufanya mazungumzo mfanyabiashara Alhaj Aliko Dangote

Rais Samia akutana na kufanya mazungumzo mfanyabiashara Alhaj Aliko Dangote

Ujinga upi kama hujui kitu kaa kimya wewe ndio mjinga,una mtukana mwenazako wakati kasema kweri alipewa kabisa eneo achimbe makaa mwenyewe akashindwa mpaka leo eneo lipo tu mm mwenyewe nalifahamu lilipo unajiona mjanja kutukana wenzako?
Kumbe wajinga mko wengi.
 
Msemaji wa serikali Bwana Gerson Msigwa aposti katika ukurasa wake wa twitter kauli hiyo ambayo imezua maswali mengi kwa wananchi.Ametoa kauli hii hivi leo baada ya Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan kufanya mazungumzo na mwekezaji Dangote.

Wengi wamejiuliza kwani hali ilikuwaje kabla?Wengine wakijiuliza ni nani huyo ambae aliharibu nchi kiasi hicho?
View attachment 1796261
Unadhani hawajui kwamba yule kichaa mwendazake ndio aliharibu nchi mpaka wawekezaji wakakimbia?!
 
🤣🤣🤣🤣🤣......hamtaki tena amani na utulivu siku hizi?

I'm not sure whether you can read or anything!??? Which school did you go, even!??? Are you stressful, ama!??? Read everything I wrote ^key-car-me-leaf-u,^ sawa!???
 
Kilatha mwekezaji anachotaka ni ku-maximize profit kadiri awezevyo. Tukubali tu kuwa ukishaamua ''kukumbatia'' wawekezaji huwezi tena kumpa vi-sharti vyako uchwara. Wengi namna wanashangalia sana hapa lakini hawajui ''marupurupu yanayokuja na uwekezaji wa kunyeyea. Naomba nieleweke kuwa sikai uwekezaji lakini nataka kutahadharisha tu mambo siyo plain kama watu wanavyodhani. Watanzania walivyo walalamishi nina uhakika soon zitasikika sauti za kulaani wawekezaji na kusema ni bora waondoke.
Hakuna mtu anaetaka Dangote au mwekezaji yeyote aondoke. Sanasana tunataka kuona na wengine wakivutiwa kuja.

Lakini kuwa mwekezaji aina maana usiheshimu sheria za kazi za nchi husika au uachwe utumie mbinu za kukwepa na kupoka haki za wafanyakazi; hayo sio mambo ya kuvumiliana.
 
Hawezi akawa na PR kama ya Mkapa na Kikwete ambapo migodi ya Tanzania, serikali ilimiliki % ndogo sana na ushuru kiduchu. Wakati Magufuli share na kodi vilipanda exponentially!
Kama hatupigwi mahali popote sawa, lakini kama ni mtindo wa zile awamu 3&4 we are finished!
Kweny madini mdomo, hujui chochote. Mlilishwa ujinga, nanyi mkaamini.
 
Acceptance ya mama SSH kwa watanzania inawauma sana nyie MATAGA! Chuki yenu kwa Rais Samia ni kwa sababu ya yeye kuleta utulivu, upendo na amani kwa wananchi. Kwendraa zenu na milegacy yenu.
Ha ha ha acha kujibaraguza kamanda.
 
Hujui chochote kuhusu hill Dogo. Katika mambo ambayo JPM alikuwa smart lilikuwa ni jinsi alivyo deal na Dangote. Utanielewa kesho!
Yap!! Very smart indeed, Tutaelewa tu kwa hakika. Ni kama alivyo deal na ATCL
 
I'm not sure whether you can read or anything!??? Which school did you go, even!??? Are you stressful, ama!??? Read everything I wrote ^key-car-me-leaf-u,^ sawa!???
What you are asking here has nothing to do with false tirelessly fabricated legacy with idiots of your kind! Take your time TAGA. Right?
 
I'm not sure whether you can read or anything!??? Which school did you go, even!??? Are you stressful, ama!??? Read everything I wrote ^key-car-me-leaf-u,^ sawa!???
What you are asking here has nothing to do with false tirelessly fabricated legacy with idiots of your kind! Take your time TAGA. Right?
 
Hahahahah........Polepole tutaelewana Kamanda! Siku hizi sioni wanajeshi wakifanya mazoezi na usafi kwenye viunga vya miji hapa nchini. Daah! Tulitoka mbali kama nchi.
Wewe ni kamanda uchwara. Endelea kujibaraguza.
 
Magufuli alikuwa janga, yeye hakujua namna ya kutafuta, yeye alisubiri zitafutwe zipelekwe bank akapore
 
safi sana mhe. Rais.
tunategema Dangote ata wekeza zaidi tzn.
 
Pls if possible Tupe SABABU ZA MSINGI,KWA NINI ALISITISHA UZALISHAJI HAPA TANZANIA.
ILI NDUGUZO TUFAHAMU.
Sijawahi sikia uzalishaji umesimama,
Ninachojua kulikuwa na tatizo la kupata nishati ya kutosha kuendesha kiwanda,
Na ndio maana Magu akaingilia kati kumjengea bomba la gasi mpaka kiwandani kwake,

lakini kumbuka kumbuka huyu bwana hata wale sub contractor wake wanakuwa kama na wenyewe wanataka kumpiga huko humo, na hiki hata Magu mwenyewe alishawahi kulizungumzia.

kingine kumbuka biashara yake hayupo mwenyewe hapa Tanzania ya cement , kuna viwanda vingine, sasa unafuu am so yeye anautaka amass Haule kuna wenzake na wenyewe wapo hawawezi kukaa kimya yeye apewe kipaumbele peke yake,

kwa hiyo serikali vile vile inawasikia wenzake,

mbona viwanda vingine hawalii lii kama yeye,

may walesio wawekezaji na wapo hapa wanafanya biashara zaidi ya miaka 40
 
Alipewa Gas karibu na buree. Na JPM na bado wanalalamika kuwa biashara alikuwa............... sijui anataka wasilipe kodi au nini jamani
 
Madereva wake wameajiriwa kama contractors badala ya kupewa full time employment, hilo linawakosesha haki zao za kisheria nyingi ikiwemo uhakika wa kazi zao, kuingizwa kwenye pension schemes, kwenda likizo ya malipo, sick pay na faida wanazopewa wafanyakazi wenzao; bila ya kusahau kupoteza PAYE za TRA.

Hayo ndio mambo ya kumkubusha na yeye. Juzi tu madereva wa Dangote walikuwa kwenye mgomo kisa kuchukuliwa kama vibarua wakati watu wanafanya kazi sehemu moja zaidi ya miaka miwili, hakuna madereva wenye mkataba wa kudumu na kampuni; kuna middleman anaewapa ajira na kuwapunja kwa kuwakata kilicho chao, bila ya ulazima.

Wafanyabiashara sio kuja kuomba mazingira mazuri tu, bali na wao waweke mazingira mazuri kwa waajiriwa, sakata lote la mgomo limeenda karibu week nzima Mhagama kama alikuwa aoni vile na nina uhakika wale madereva madai yao ya msingi ayajatatuliwa.
Safi sana mkuu...lakini ata Serikali inafanya hivyo kwenye baadhi ya wizara na miradi mbali mbali kwa madereva.
 
Shida kubwa ya Dangote ni mtu anaeamini in monopoly. Sehemu zote anapowekeza huwa ana bad reputation ya ku corrupt viongozi wa kisiasa ili kuua competition nahisi ndio maana hawakuwezana na mwendazake.
Watu kama Dangote wanahitaji serikali zenye watu wenye akili sana na ujuzi wa namna wafanyabiashara wakubwa walivyo. I bet if we have that brain NOW
 
Afadhali,, cement itashuka bei, maana walimfanyia figisu mwanzoni, wakati ule cement ya dangote imeshamili mtaani, tulinunua mfuko wa saruji hadi Tsh 10,000 kutoka 15000.

Dikteta alimfanyia figisu za kutisha.
Kama mtu hakujenga kipindi kile hatakaa aje ajenge tena
 
Back
Top Bottom