Rais Samia akutana na kufanya Mazungumzo na Danieli Fransisco Chapo Mgombea Urais wa Msumbiji Kupitia FRELIMO

Rais Samia akutana na kufanya Mazungumzo na Danieli Fransisco Chapo Mgombea Urais wa Msumbiji Kupitia FRELIMO

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,amekutana na kufanya mazungumzo na mgombea Urais wa Msumbiji Kupitia FRELIMO Mheshimiwa Danieli Fransisco Chapo,Ikulu ya Dodoma hii leo June 12.

Hii ni katika kuonyesha ushawishi wa Mheshimiwa Rais na Taifa letu katika diplomasia na masuala ya kimataifa. Ikumbukwe ya kuwa sisi na Msumbiji ni kama ndugu na tuna historia ndefu sana na Taifa hilo tokea wakati wa Hayati Samora ,ambaye tumempa heshima kubwa sana hapa Nchini ikiwa ni pamoja na baadhi ya viwanja vya mpira na shule kuitwa kwa jina lake.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

Samia_Frelimo.jpg
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi amekutana na kufanya mazungumzo na mgombea Urais wa Msumbiji Mheshimiwa Danieli Fransisco Chapo,Ikulu ya Dodoma hii leo June 12.

Hii ni katika kuonyesha ushawishi wa Mheshimiwa Rais na Taifa letu katika diplomasia na masuala ya kimataifa. Ikumbukwe ya kuwa sisi na Msumbiji ni kama ndugu na tuna historia ndefu sana na Taifa hilo tokea wakati wa Hayati Samora ,ambaye tumempa heshima kubwa sana hapa Nchini ikiwa ni pamoja na baadhi ya viwanja vya mpira na shule kuitwa kwa jina lake.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kidiplomasia haijakaa sawa,kwanini achague upande? Huyo ndugu yake Nyuchi akishindwa itakuwaje? Basi aongee na wagombea wa vyama vyote.
 
Kidiplomasia haijakaa sawa,kwanini achague upande? Huyo ndugu yake Nyuchi akishindwa itakuwaje? Basi aongee na wagombea wa vyama vyote.
Usitupangie cha kufanya .Mbona ninyi CHADEMA mlikuwa mnakwenda hadi kenya ,mkamtumaga hadi hayati Edward lowassa kuwawakilisha? Au mmeshasahau kama kawaida yenu ya usahaulifu kama kuku?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi amekutana na kufanya mazungumzo na mgombea Urais wa Msumbiji Mheshimiwa Danieli Fransisco Chapo,Ikulu ya Dodoma hii leo June 12.

Hii ni katika kuonyesha ushawishi wa Mheshimiwa Rais na Taifa letu katika diplomasia na masuala ya kimataifa. Ikumbukwe ya kuwa sisi na Msumbiji ni kama ndugu na tuna historia ndefu sana na Taifa hilo tokea wakati wa Hayati Samora ,ambaye tumempa heshima kubwa sana hapa Nchini ikiwa ni pamoja na baadhi ya viwanja vya mpira na shule kuitwa kwa jina lake.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
na hata chuo chetu cha Center for Foreign Relations, maarufu sana kama chuo cha diplomasia pale kurasini tuna utaratibu wa kubadilishana wanafunzi na msumbiji ili kukuza na kuendeleza uhusiano wa kitaaluma, elimu na mafunzo mbalimbali ya ukombozi barani Africa...

Inafurahisha, inatia moyo sana Mama anaendeleza vizur sana uhusiano huu muhimu sana wa kihistoria wa kichama na kiserikali baina ya nchi zetu mbili...

well done Rais, comrade Dr Samia Suluhu Hassan...
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Mgombea Urais wa Msumbiji kupitia Chama cha FRELIMO Ndugu Daniel Fransisco Chapo wakati alipofika Ikulu Mkoani Dodoma tarehe 12 Juni, 2024.

20240612_141553.jpg
20240612_141551.jpg
20240612_141549.jpg
 
Usitupangie cha kufanya .Mbona ninyi CHADEMA mlikuwa mnakwenda hadi kenya ,mkamtumaga hadi hayati Edward lowassa kuwawakilisha? Au mmeshasahau kama kawaida yenu ya usahaulifu kama kuku?
Kuna wakati fulani lazima unaonekana hata kwenye chama chako kama mzigo.
 
Usitupangie cha kufanya .Mbona ninyi CHADEMA mlikuwa mnakwenda hadi kenya ,mkamtumaga hadi hayati Edward lowassa kuwawakilisha? Au mmeshasahau kama kawaida yenu ya usahaulifu kama kuku?
Siku hizi una makasiriko sanaa naogopa hata kukuongelesha😣
 
na hata chuo chetu cha Center for Foreign Relations, maarufu sana kama chuo cha diplomasia pale kurasini tuna utaratibu wa kubadilishana wanafunzi na msumbiji ili kukuza na kuendeleza uhusiano wa kitaaluma, elimu na mafunzo mbalimbali ya ukombozi barani Africa...

Inafurahisha, inatia moyo sana Mama anaendeleza vizur sana uhusiano huu muhimu sana wa kihistoria wa kichama na kiserikali baina ya nchi zetu mbili...

well done Rais, comrade Dr Samia Suluhu Hassan...
Unaweza shangaa CHADEMA wakapinga wakasema chuo hicho hakipo.maana akili zao wanazijuwa wao wenyewe .maana nimesikia katibu wao anaomba eti ushauri kama aende au asiende kwenye mualiko wa kujadili masuala mbalimbali hususani ya uchaguzi wa serikali za mitaa . Sasa hapo unaona kuna kiongozi kweli? Sasa nani anamuongoza mwenzake? Viongozi waliochaguliwa kwa kazi gani?

ephen njoo umalizie huku kuandika.
 
Siku hizi una makasiriko sanaa naogopa hata kukuongelesha😣
Wala usiogope hata kidogo ephen wangu.wewe ndio waridi wa ❤️ wangu.Nakupenda sana ephen. wewe ndio furaha yangu,wewe ndiye mboni yangu,wewe ndiye giza likizama moyoni mwangu wewe huinuka kama nuru machoni pangu. Nakupenda sana ephen.nikupe nini ujuwe nakupenda sana ephen? Au nikushonee Madera ya CCM yanayoburuza mpaka chini halafu mimi niwe nayashika kwa nyuma yasichafuke?
 
Wala usiogope hata kidogo ephen wangu.wewe ndio waridi wa ❤️ wangu.Nakupenda sana ephen. wewe ndio furaha yangu,wewe ndiye mboni yangu,wewe ndiye giza likizama moyoni mwangu wewe huinuka kama nuru machoni pangu. Nakupenda sana ephen.nikupe nini ujuwe nakupenda sana ephen? Au nikushonee Madera ya CCM yanayoburuza mpaka chini halafu mimi niwe nayashika kwa nyuma yasichafuke?
Asante Lucas
 
Usitupangie cha kufanya .Mbona ninyi CHADEMA mlikuwa mnakwenda hadi kenya ,mkamtumaga hadi hayati Edward lowassa kuwawakilisha? Au mmeshasahau kama kawaida yenu ya usahaulifu kama kuku?
Wanakuandika Mara nyingi ha pa kwamba ni kilaza na nyumbu kumbe ni kweli aliyekwambia mimi ni chadema ni nani? Pili,Wakati chadema wanachagua upande Kenya kama unavyosema ,walikuwa na raisi wa nchi gani? Kumbe inaoekana wanaojiunga upande wenu hawatakiwi kufikiri.Katika sheria za kimataifa na mahusiano ya kimataifa na diplomasia kwa ujumla state actor anawakilisha dola.Hawakilishi Chama cha siasa.Huyo rais ni wa watanzania wote,chadema kinawakilisha wanachama wa chadema na siyo dola.Rais akisema ni Tanzania imesema ,chama kikisema ni wanachama was cha ma hicho wamesema.
 
Wanakuandika Mara nyingi ha pa kwamba ni kilaza na nyumbu kumbe ni kweli aliyekwambia mimi ni chadema ni nani? Pili,Wakati chadema wanachagua upande Kenya kama unavyosema ,walikuwa na raisi wa nchi gani? Kumbe inaoekana wanaojiunga upande wenu hawatakiwi kufikiri.Katika sheria za kimataifa na mahusiano ya kimataifa na diplomasia kwa ujumla state actor anawakilisha dola.Hawakilishi Chama cha siasa.Huyo rais ni wa watanzania wote,chadema kinawakilisha wanachama wa chadema na siyo dola.Rais akisema ni Tanzania imesema ,chama kikisema ni wanachama was cha ma hicho wamesema.
Nimegundua wewe ni mchanga sana katika masuala ya kisiasa. Unahitaji Elimu pana sana kusaidiwa. Nitajitahidi kuelimisha vyema tu.
 
na hata chuo chetu cha Center for Foreign Relations, maarufu sana kama chuo cha diplomasia pale kurasini tuna utaratibu wa kubadilishana wanafunzi na msumbiji ili kukuza na kuendeleza uhusiano wa kitaaluma, elimu na mafunzo mbalimbali ya ukombozi barani Africa...

Inafurahisha, inatia moyo sana Mama anaendeleza vizur sana uhusiano huu muhimu sana wa kihistoria wa kichama na kiserikali baina ya nchi zetu mbili...

well done Rais, comrade Dr Samia Suluhu Hassan...
Mambo ya kina mondlane 😄

Ova
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,amekutana na kufanya mazungumzo na mgombea Urais wa Msumbiji Kupitia FRELIMO Mheshimiwa Danieli Fransisco Chapo,Ikulu ya Dodoma hii leo June 12.

Hii ni katika kuonyesha ushawishi wa Mheshimiwa Rais na Taifa letu katika diplomasia na masuala ya kimataifa. Ikumbukwe ya kuwa sisi na Msumbiji ni kama ndugu na tuna historia ndefu sana na Taifa hilo tokea wakati wa Hayati Samora ,ambaye tumempa heshima kubwa sana hapa Nchini ikiwa ni pamoja na baadhi ya viwanja vya mpira na shule kuitwa kwa jina lake.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wewe chawa tu. Sasa hiyo ndio habari ya maana umeona utuletee jf? Huku hatupendi uchawa. Tuko wengi constructive critics sio wasifiaji uongo kutafuta uteuzi. Ndio maana hatuhitaji majina yetu halisi na anuani kujulikana maana binafsi hatutafuti uteuzi au umashuhuri binafsi wala matata na mtu.
...Eti mama anatosha kuliongoza taifa letu kwa muhula wa pili. Kwani nani alimchagua mama kwa muhula wa kwanza kama sio kurithi muhula wa pili wa magufuli aliyekua tumempa ridhaa yetu kwa asilimia zaidi ya 84. Acheni unafiki nyie. Ingekua japo mama amefuata tangu mwanzo njia ya kimagufuli japo tungeweza kumuamini. Yeye alianza kupiga vijembe magufuli na njia ya kimagufuli na kuanza kujipendekeza kwa mabeberu wanaozengea mali asili za nchi yetu. Kwa wananchi wengi ilikua kama vile kiongozi tuliyempa ridhaa kwa kauli moja amepinduliwa.
 
Wanakuandika Mara nyingi ha pa kwamba ni kilaza na nyumbu kumbe ni kweli aliyekwambia mimi ni chadema ni nani? Pili,Wakati chadema wanachagua upande Kenya kama unavyosema ,walikuwa na raisi wa nchi gani? Kumbe inaoekana wanaojiunga upande wenu hawatakiwi kufikiri.Katika sheria za kimataifa na mahusiano ya kimataifa na diplomasia kwa ujumla state actor anawakilisha dola.Hawakilishi Chama cha siasa.Huyo rais ni wa watanzania wote,chadema kinawakilisha wanachama wa chadema na siyo dola.Rais akisema ni Tanzania imesema ,chama kikisema ni wanachama was cha ma hicho wamesema.
pointi kubwa sana hii
 
Back
Top Bottom