Huyo mgombea kaja kujieleza Sera zake za nje na Tanzania akishika zitakuwaje hamna shida
Joyce Banda WA Malawi alisumbua kudai mpaka sijui ilikosewa Ziwa nyasa uchaguzi ulipofika mpinzani wake akaja Tanzania kujieleleza sera za nje na Tanzania zitakuwaje tukamwelewa tukamsaidia ashike Uraisi Joyce Banda akapigwa chini hakuamini jinsi alivyoshindwa vibaya sanduku la kura ..Malawi na Tanzania hatuna tatizo Tena marafiki damu damu baada ya Joyce Banda kupigwa chini
Joyce Banda WA Malawi alisumbua kudai mpaka sijui ilikosewa Ziwa nyasa uchaguzi ulipofika mpinzani wake akaja Tanzania kujieleleza sera za nje na Tanzania zitakuwaje tukamwelewa tukamsaidia ashike Uraisi Joyce Banda akapigwa chini hakuamini jinsi alivyoshindwa vibaya sanduku la kura ..Malawi na Tanzania hatuna tatizo Tena marafiki damu damu baada ya Joyce Banda kupigwa chini