Rais Samia akutana na kufanya Mazungumzo na Danieli Fransisco Chapo Mgombea Urais wa Msumbiji Kupitia FRELIMO

Huyo mgombea kaja kujieleza Sera zake za nje na Tanzania akishika zitakuwaje hamna shida

Joyce Banda WA Malawi alisumbua kudai mpaka sijui ilikosewa Ziwa nyasa uchaguzi ulipofika mpinzani wake akaja Tanzania kujieleleza sera za nje na Tanzania zitakuwaje tukamwelewa tukamsaidia ashike Uraisi Joyce Banda akapigwa chini hakuamini jinsi alivyoshindwa vibaya sanduku la kura ..Malawi na Tanzania hatuna tatizo Tena marafiki damu damu baada ya Joyce Banda kupigwa chini
 
Tanzania ndio nguzo ya amani na usalama katika ukanda huu.na ni ngumu sana kuiepuka na kuikwepa Tanzania kidiplomasia
 
Nimegundua wewe ni mchanga sana katika masuala ya kisiasa. Unahitaji Elimu pana sana kusaidiwa. Nitajitahidi kuelimisha vyema tu.
Mwanasiasa hoya hoya hawezi kumuelimisha mtaalamu kama mimi.Unachokiita siasa ni upumbavu hakuna siasa ya namna hiyo kwa watu wenye akili.Jiulize ni nini kinafanya recognition of Palestine as a state inakuwa issue kubwa? Ukipata jibu La hilo utakuwa umepiga hatua kubwa cognitively
 
Ok
 
Kwann kuna mtu wa kutafsiri hapo kwani huyo bwana ngeli haipandi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…