Rais Samia akutana na mjomba wake ambaye ni Mwarabu

Kama Obama tu alivyokutana na Shangazi zake Kenya!!

Lkn rais wa US ni rahisi sana kumdhibiti asikiuke sheria za nchi kupendelea ndugu katika nchi nyingine.
Tatizo sisi ni nchi masikini wa mengi, tunaweza kujinasua kutoka katika mtego wa kujilegeza kwa mjomba?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…