Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweliMbona ni kawaida tu kwa Wazanzibari kwani wengi wao wana ndugu wa damu huko Oman hata huku bara nawajua watu kadhaa wana ndugu wengine hadi baba zao wapo huko Oman ni raia kabisa na wao ni Watanzania.
Walisema kaka yake ni ofisa wa jeshi la huko uarabuni2005 mlitoa na kumkashifu Salim Ahmed Salim kwa sababu hiyo, Leo ni sawa?
kwa comment hii sasa nimethibitisha pasipo shaka kwamba jf wamejaa watu wenye IQ ndogo mno!Tumekwisha. Jamani tuungane kudai Katiba Mpya
Hao ni kokoHivi uarabu ni Issue sana eenh? Njoo huku kwetu kijiji cha tura wilaya ya sikonge Tabora mkutane nao wanazungumza kinyamwezi kuliko hata wazawa.
Sasa wanazuia nini uraia pacha.....bure kabisa!!!!Mbona ni kawaida tu kwa Wazanzibari kwani wengi wao wana ndugu wa damu huko Oman hata huku bara nawajua watu kadhaa wana ndugu wengine hadi baba zao wapo huko Oman ni raia kabisa na wao ni Watanzania.
Tuonesheni na mjomba wa Mwendazake huko BurundiRais Samia amekutana na mjomba wake Oman ambaye ni mwarabu
View attachment 2260683
Kwani kuna shida? Wewe ni kabila gani tuanzie hapo unaweza Kuta ni Mkongo.Tukisemaga humu huyu bibi Oman ni kwao comments zetu zinafutwa....
Sema kweli kabisaKwa itakao wauma
Chukua alksusu+sumu ya panya ujipooze