inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Wee kaoe tu, wenyewe hawana time naoWacha nije nitafute shombe la kiarabu nilioe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee kaoe tu, wenyewe hawana time naoWacha nije nitafute shombe la kiarabu nilioe.
Kama Ni hivyo then Kinana yeye alikuaje Ni Waziri wa ulinzi akiwa msomali?Walisema kaka yake ni ofisa wa jeshi la huko uarabuni
Rais Samia amekutana na mjomba wake Oman ambaye ni mwarabu
View attachment 2260683
Samia anazidi kufunika legacy umesikia huko Bungeni??Ha ha ha.
Mnalazimisha sana Undugu.
Ahsante kwa hilo kwani unadhihirisha kuwa yaliyokuwa yanasemwa kuhusu Hayati J.P.M kuwa katoka urundi ulikuwa uzushi.
Mtajirudi tu.
Mjomba ni Mama! Full stop
Mkuu Chris lukos anaendeleaje huko? Bado ana misifa ya kijinga?Tumekwisha Kabisa kwisha Habari yetu
Acha kuleta hisia zako za hovyo na chuki dhidi ya Chadema.Nasubiri comments za chuki kutoka kwa wafuasi wa Mwenaazake na wafuasi wa Chadema, hawa ni mapacha wawili kama Cain na Abel
propaganda za kuwa tunaongozwa na Mwarabu
It does not matter.Kwani mimi ni mwana CCM?
Mjomba ni mama ila huenda pia wakawaRais Samia akutana na mjomba wake ambaye ni Mwarabu je Samia naye ni mwaarabu?
Na mukiambiwa mukashikia lazima wawe wabongo......Ohooo! Kumbe ndiyo maana Wazanzibari wengi wanajiona kama Wa Oman vile, badala ya Watanzania! Kumbe mna ndugu zenu wa damu huko Oman! 🤔
Wewe ni hatari aisee!Tuonesheni na mjomba wa Mwendazake huko Burundi
Hilo la Legacy sitalijadili manake, siwezi kuwa mshabiki wa makabila.Samia anazidi kufunika legacy umesikia huko Bungeni??
Kumbe ndio maana Wamasai wanafukuzwa kukaribisha wajomba
Kwani ulikuwa hujui wewe,Ohooo! Kumbe ndiyo maana Wazanzibari wengi wanajiona kama Wa Oman vile, badala ya Watanzania! Kumbe mna ndugu zenu wa damu huko Oman! 🤔