Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 37,630
- 47,434
Lakini hakuufanya urais wake kuwa wa wakenya.Safi. Roots. Hata Obama alifika Kenya kumwona Mama Mdogo na Dada yake.
Hapa naona hao uncles wanapewa wanyama hai wote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini hakuufanya urais wake kuwa wa wakenya.Safi. Roots. Hata Obama alifika Kenya kumwona Mama Mdogo na Dada yake.
Kuna historia ambayo watanzania wengi hawajui! Oman mpaka miaka ya 70 hivi, ilikuwa masikini na ilikuwa na watu wachache-mara baada ya kuanza biashara ya kuuza mafuta (1967) na uchumi kuanza kupanda, ilijikuta haina watu wa kuendesha shughuli za maendeleo. Ndipo ika fanya operation ya kuwaita watu kutoka Africa Mashariki hasa Tanzania wenye damu ya uarabu hata kama ni tone tu! Wengi walikuwa wamemaliza form 4&6 na hata la saba! Walikwenda kwa mamia na maelfu kutoka Zanzibar na Bara. (ndiyo maana Kulikuwa na Sheikh Tigusikanilwa'Omugisha al Khatoum - aliezaliwa Katoma Bukoba, wakati wa ufunguzi wa msikiti wa Bukoba). Hivyo tunao ndugu zetu wa damu huko Oman. Wengi walipofika kule walipewa scholarship mpaka ulaya na nchi nyingi za nje mpaka PhD. Lugha yao huko ughaibuni walikuwa wanaongea kiswahili fasaha kuliko hata sisi watanzania wa bara. Pia wengine walikuwa wanaongea kiha, kisukuma, kisambaa, kichanga, kihaya etc.Rais Samia amekutana na mjomba wake Oman ambaye ni mwarabu
View attachment 2260683
Ndio kikwao hicho. Hivyo hivyo yaani.Kwa hiyo hata kuandika Suluhu wameshindwa?. au hivyo walivyoandika ni kikwao?.
Wapo vizazi na vizazi wote waarabu pure. Siongelei shombeshombeHakuna cha uarabu hapo. Hao ni watoto wa nje waliozaliwa na housegirls wahudumu wa familia za kiarabu enzi hizo.......wamekulia kwa embe za kuokota.
Wamasai kama Watanzania wengine hawana ardhi. Nyerere alipora yote ya nchi ili ajenge Ujamaa wake.Sasa mnashangaa nini kuona ardhi ya wamasai inapewa watu wa Oman.
Oman sio UAENdio mana wazanzibar wanajiona hao ni UAE.
Haya tena, wataalamu wetu wa mambo ya uhamiaji wana kauli gani? Huko magharibi kauli za "wewe sio raia" zimetawala kwa miaka mingi..... Ningependa kusikia ufafanuzi wa kamishna wa uhamiaji angalau kwenye hili. 🤔
Uko nyuma ya wakati sana,wake up!!!!Hiyo katiba mpya haitaruhusu rais kukutana na nduguze?!
Mimi jirani yetu ana mtoto Oman na ana wajukuu. Kila mwaka huwa anakwenda kuona familia. Yeye mme wake ni wale waarabu waliokuwa wanafata pembe za ndovu au watumwa, wanaamua kuzamia na kupata vimwana wa kibantu. Wengi waliokuwa na pua ndefu halafu weupe. na wowowo .Kuna historia ambayo watanzania wengi hawajui! Oman mpaka miaka ya 70 hivi, ilikuwa masikini na ilikuwa na watu wachache-mara baada ya kuanza biashara ya kuuza mafuta (1967) na uchumi kuanza kupanda, ilijikuta haina watu wa kuendesha shughuli za maendeleo. Ndipo ika fanya operation ya kuwaita watu kutoka Africa Mashariki hasa Tanzania wenye damu ya uarabu hata kama ni tone tu! Wengi walikuwa wamemaliza form 4&6 na hata la saba! Walikwenda kwa mamia na maelfu kutoka Zanzibar na Bara. (ndiyo maana Kulikuwa na Sheikh Tigusikanilwa'Omugisha al Khatoum - aliezaliwa Katoma Bukoba, wakati wa ufunguzi wa msikiti wa Bukoba). Hivyo tunao ndugu zetu wa damu huko Oman. Wengi walipofika kule walipewa scholarship mpaka ulaya na nchi nyingi za nje mpaka PhD. Lugha yao huko ughaibuni walikuwa wanaongea kiswahili fasaha kuliko hata sisi watanzania wa bara. Pia wengine walikuwa wanaongea kiha, kisukuma, kisambaa, kichanga, kihaya etc.
Point yangu hapa ni kwamba siyo Samia tu mwenye ndugu huko, huenda na wewe ila hujui.
Kwa hiyo waoman wana haki zadi kwenye ardhi ya Tanzania kuliko wamasai?Wamasai kama Watanzania wengine hawana ardhi. Nyerere alipora yote ya nchi ili ajenge Ujamaa wake.
Kwa hiyo waoman wana haki zadi kwenye ardhi ya Tanzania kuliko wamasai?