Kapwil
JF-Expert Member
- Apr 3, 2018
- 2,625
- 3,735
Katiba ya nn?Tumekwisha. Jamani tuungane kudai Katiba Mpya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katiba ya nn?Tumekwisha. Jamani tuungane kudai Katiba Mpya
Wewe maskani yako tu kesho akipewa mndengereko au mchaga achia mchina na muomani utalalama sna na familia yako mpaka basi
Duh.Alivumbua nani sasa? Watu wa bara walivukaje bahari mpaka Zanzibar?
Kumbe mama ake na raisi wetu alikuwa/ni mwarabu!Rais Samia amekutana na mjomba wake Oman ambaye ni mwarabu
View attachment 2260683
Maelfu mmeshapewa uraia wa Tanzania mkuu, au wewe walikuruka?Ila sisi warundi tunaozungumza kiswahili hmtutaki
Ohooo! Kumbe ndiyo maana Wazanzibari wengi wanajiona kama Wa Oman vile, badala ya Watanzania! Kumbe mna ndugu zenu wa damu huko Oman! [emoji848]
Na mzee shamte ni chama gani?Nasubiri comments za chuki kutoka kwa wafuasi wa Mwendazake na wafuasi wa Chadema, hawa ni mapacha wawili kama Cain na Abel
propaganda za kuwa tunaongozwa na Mwarabu
Japo hanyonyeshiInapendeza....mjomba pia ni 'mama'
Asalaam Alaykum Warahmatullah Taallah wabarakatuh.Ashukuriwe Allah alyeumba Kiumeni na Kikeni.Rais Samia amekutana na mjomba wake Oman ambaye ni mwarabu
View attachment 2260683
Ohooo! Kumbe ndiyo maana Wazanzibari wengi wanajiona kama Wa Oman vile, badala ya Watanzania! Kumbe mna ndugu zenu wa damu huko Oman! [emoji848]
Na Kihaya na Kisukuma na Kiha wanaongea vizuri kuliko wazawa waliobaki TZ kama ambavyo unadai wanaongea Kiswahili fasaha kuliko sisi tuliobaki TZ ????Lugha yao huko ughaibuni walikuwa wanaongea kiswahili fasaha kuliko hata sisi watanzania wa bara. Pia wengine walikuwa wanaongea kiha, kisukuma, kisambaa, kichanga, kihaya etc