Rais Samia akutana na mjomba wake ambaye ni Mwarabu

Rais Samia akutana na mjomba wake ambaye ni Mwarabu

Wamasai kama Watanzania wengine hawana ardhi. Nyerere alipora yote ya nchi ili ajenge Ujamaa wake.
Uwongo kama huo ni hatari. Weka picha ya Nyerere na mjomba wake tujue "alipora" na nani?

Wewe ni mtu hatari kwenye Jamii ya wanaJamii.

Nitakusitiri
 
Uhamiaji useme kwa nini Nyerere alipeleka majeshi ya uvamizi Zanzibar na kuhamishia watu wa bara ili abadilishe demographics na Uislam wa Zanzibar.
Wacha uongo we mharamia!

Waarabu ndio waliovamia Zanzibar, tena wa Omani.

Usitafute usiyoyataka.

Tutawafufua kina Okello uone
 
Mwenye haki ni serikali, siyo mtu wa Oman, siyo muEmirati, siyo Mtanzania. Kesho anaweza akaingia Rais mwingine akawapa Ngorongo Warusi. Hao Waemirati watakula chini.
Mlishindwa 1400's ,mkashindwa 1800's na Mtashindwa tuu!
 
Uwongo kama huo ni hatari. Weka picha ya Nyerere na mjomba wake tujue "alipora" na nani?

Wewe ni mtu hatari kwenye Jamii ya wanaJamii.

Nitakusitiri

Alipora na Wajamaa wenzake na alianza na vijiji vya ujamaa. Kahamisha watu kinguvu ardhi walizoachiwa na mababu zao ili wakajenge ujamaa wake. Kwani weye hujui au unajitia ufyatu tuu?
 
Mlishindwa 1400's ,mkashindwa 1800's na Mtashindwa tuu!
Tutashindwa nini mbona hueleweki? Nimeandika serikali ndiyo ina haki na ardhi, ikiamua kesho Ngorongoro apewe Mchina wanaweza. Wakiamua keshokutwa apewe MuEmirati wanaweza. Mmasai kama watanzania wengine wote hana ardhi.
 
Alipora na Wajamaa wenzake na alianza na vijiji vya ujamaa. Kahamisha watu kinguvu ardhi walizoachiwa na mababu zao ili wakajenge ujamaa wake. Kwani weye hujui au unajitia ufyatu tuu?
Hautendei haki wasomaji.

Rais Samia akutana na mjomba wake ambaye ni Mwarabu​


Wewe unakuja na Nyerere, nimekuuliza kama una uthibitisho wa picha ya Nyerere akiwa na Mjomba wake...waliopora tena kwa Ujamaa, sasa mie Ufyatu ni utoe wapi?

Kihalisi kama una dokeza kuwa "Kuhamishwa" na "Kuporwa" ardhi kwa Nyerere na Ujamaa na "Wajamaa" wake ni halalisho la kuporwa na kuhamishwa kwa Masai kutoka katika ardhi basi Umesomeka.

...
Nyerere hauisiani na Waarabu wa Oman, ndicho nachojua, sasa kama unaona Uhusiano huo na Bandiko la Uzi huu, sijui tujadili vipi hili suala. Ni hivyo tu.
 
Tutashindwa nini mbona hueleweki? Nimeandika serikali ndiyo ina haki na ardhi, ikiamua kesho Ngorongoro apewe Mchina wanaweza. Wakiamua keshokutwa apewe MuEmirati wanaweza. Mmasai kama watanzania wengine wote hana ardhi.
Kitaeleweka.
 
Mbona ni kawaida tu kwa Wazanzibari kwani wengi wao wana ndugu wa damu huko Oman hata huku bara nawajua watu kadhaa wana ndugu wengine hadi baba zao wapo huko Oman ni raia kabisa na wao ni Watanzania.

Ila tukisema tuna ndugu zetu rwanda , burundi na Kenya tatizo inaokena sio raia
 
Hautendei haki wasimaji.

Rais Samia akutana na mjomba wake ambaye ni Mwarabu​


Wewe unakuja na Nyerere, nimekuuliza kama una uthibitisho wa picha ya Nyerere akiwa na Mjomba wake...waliopora tena kwa Ujamaa, sasa mie Ufyatu ni utoe wapi?

Kihalisi kama una dokeza kuwa "Kuhamishwa" na "Kuporwa" ardhi kwa Nyerere na Ujamaa na "Wajamaa" wake ni halalisho la kuporwa na kuhamishwa kwa Masai kutoka katika ardhi basi Umesomeka.

...
Nyerere hauisiani na Waarabu wa Oman, ndicho nachojua, sasa kama unaona Uhusiano huo na Bandiko la Uzi huu, sijui tujadili vipi hili suala. Ni hivyo tu.

Wangapi wameshamishwa nyumba zao, vijjini kwao mpaka ushangae yanayowapata Wamasai? Ndiyo nashindwa kuelewa.
 
Tutashindwa nini mbona hueleweki? Nimeandika serikali ndiyo ina haki na ardhi, ikiamua kesho Ngorongoro apewe Mchina wanaweza. Wakiamua keshokutwa apewe MuEmirati wanaweza. Mmasai kama watanzania wengine wote hana ardhi.

Wewe maskani yako tu kesho akipewa mndengereko au mchaga achia mchina na muomani utalalama sna na familia yako mpaka basi
 
Wangapi wameshamishwa nyumba zao, vijjini kwao mpaka ushangae yanayowapata Wamasai? Ndiyo nashindwa kuelewa.
Kwa hilo hata mimi linanishinda
Kwa sasa sijui ila...
Kausingizi, kamenisilibu kuna Kesho. Pataeleweka tu.

Ahsante
 
Back
Top Bottom