ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Mwe!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angalau sasa nimeshamjua anayefanya 'Connection' ya 'Mwarabu' kuichukua ( kupewa ) Loliondo Ngorongoro iwe yake na wenye Yao wahamishiwe Mkoani Tanga ambako hata hawapajui na wanaenda huko kuwa Wageni na kuanza Moja.Rais Samia amekutana na mjomba wake Oman ambaye ni mwarabu
View attachment 2260683ú
kwani sio mwarabuKwani kulikuwa na ulazima kuweka neno "Mwarabu" kwenye post wee jamaa?
Inasaidia nini sasa kwani anawaongoza wa OmanTukisemaga humu huyu bibi Oman ni kwao comments zetu zinafutwa....
Sio hilo tu jamaa alikuwa haachi ushaidi, yule jamaa anatajwa kuwa alikuwa muuwaji ila hadi sasa hajulikani hata mmoja aliyemuuwa.Sijui kwanini yule bwana naye hakupiga selfie na baba zake
wadogo kule Buju
Vumbi limechafukaTumekwisha Kabisa kwisha Habari yetu
Mjomba ni MamaAmemkaribisha anko kuja kuwekeza?
Ndiyo maana muda mwingi yupo uarabuni badala ya kutuletea maendeleoOhooo! Kumbe ndiyo maana Wazanzibari wengi wanajiona kama Wa Oman vile, badala ya Watanzania! Kumbe mna ndugu zenu wa damu huko Oman! 🤔
Huu ni ukweli tupuTumekwisha. Jamani tuungane kudai Katiba Mpya
Aliwazalo mjinga ndilo litakalomtokeaNasubiri comments za chuki kutoka kwa wafuasi wa Mwendazake na wafuasi wa Chadema, hawa ni mapacha wawili kama Cain na Abel
propaganda za kuwa tunaongozwa na Mwarabu
Mkuu unataka kusemaje hapa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kama Obama tu alivyokutana na Shangazi zake Kenya!!
Lkn rais wa US ni rahisi sana kumdhibiti asikiuke sheria za nchi kupendelea ndugu katika nchi nyingine.
Tatizo sisi ni nchi masikini wa mengi, tunaweza kujinasua kutoka katika mtego wa kujilegeza kwa mjomba?
Wengi nilikutana nao huko, wakiwa kwenye makundi makundi (wakati wa pause - break), wanaongea kwa lugha hizo hasa hasa kiswahili! Nilipowauliza nikakuta wengi wazazi wao wapo vijijini Tanzania! Nasema lugha zao hazijaingiza maneno mapya kama sisi tuliobaki hapa. Utakuta lugha zetu za asili zime/zina changanya maneno mengi mapya hasa ya kiswahili na kingereza - mifano ni mingi.Na Kihaya na Kisukuma na Kiha wanaongea vizuri kuliko wazawa waliobaki TZ kama ambavyo unadai wanaongea Kiswahili fasaha kuliko sisi tuliobaki TZ ????
RubbishMimi pia mwarabu niko Oman ndio maana runaitaka Ngorongoro tuinunue,mtatufanyaje na nchi ya shangazi yetu
Na Kiswahili chao wakiwa Uarabuni kimeongeza maneno mapya ???Wengi nilikutana nao huko, wakiwa kwenye makundi makundi (wakati wa pause - break), wanaongea kwa lugha hizo hasa hasa kiswahili! Nilipowauliza nikakuta wengi wazazi wao wapo vijijini Tanzania! Nasema lugha zao hazijaingiza maneno mapya kama sisi tuliobaki hapa. Utakuta lugha zetu za asili zime/zina changanya maneno mengi mapya hasa ya kiswahili na kingereza - mifano ni mingi.
Rais Samia amekutana na mjomba wake Oman ambaye ni mwarabu
View attachment 2261247
View attachment 2260683