Lakasa chika7
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 454
- 1,270
- Thread starter
- #181
kumbe??Ndio maana kwa sasa tunafanya biashara ya tembo oman
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kumbe??Ndio maana kwa sasa tunafanya biashara ya tembo oman
Na huyo mfalme ni mwenzetu,hata Mh.Magufuli,Rais wetu,alituambia hawa ni ndugu zetu,walipotutembelea mawaziri wa nchi ya Oman,kumbe ni kweliRais Samia amekutana na mjomba wake Oman ambaye ni mwarabu
View attachment 2261247
View attachment 2260683
Mzee Ruksa alipokuwa Balozi Misri alikuwa kiwembe si mchezo!! Kumbe ndipo alimzaa Samia!! Duhh!! Jamaa yangu alikuwa anasoma Cairo na akaniambia Ruksa alikuwa anawatuma kumtafutia madem wa kiarabu!!Rais Samia amekutana na mjomba wake Oman ambaye ni mwarabu
View attachment 2261247
View attachment 2260683
Kulikua na ulazima kusema mwarabu kwa nn usiseme mjomba wake ikatoshaRais Samia amekutana na mjomba wake Oman ambaye ni mwarabu
View attachment 2261247
View attachment 2260683
Wafuasi wa Mwendazake sio CHADEMA kwani Chadema wana Mazungumzo na mamaNasubiri comments za chuki kutoka kwa wafuasi wa Mwendazake na wafuasi wa Chadema, hawa ni mapacha wawili kama Cain na Abel
propaganda za kuwa tunaongozwa na Mwarabu
kwasababu ni mwarabuKulikua na ulazima kusema mwarabu kwa nn usiseme mjomba wake ikatosha
NimechekaTumekwisha Kabisa kwisha Habari yetu
Huwezi kuambiwa sio raia kwa kusema una ndugu Burundi,Rwanda au DRC.Ila tukisema tuna ndugu zetu rwanda , burundi na Kenya tatizo inaokena sio raia
sawaUko nyuma ya wakati sana,wake up!!!!
Akili za kitoto hizo mkuu madindigwa, wamejaa humu JF.Kulikua na ulazima kusema mwarabu kwa nn usiseme mjomba wake ikatosha
Akili za kitoto hizo mkuu madindigwa, wamejaa humu JF.Kulikua na ulazima kusema mwarabu kwa nn usiseme mjomba wake ikatosha
Maendeleo unajiletea mwenyewe kwa kuwa mbunifu. Anachofanya ni kuyawezesha tu.Ndiyo maana muda mwingi yupo uarabuni badala ya kutuletea maendeleo
Ukitumia hilo neno mwarabu unakuwa unaweka ubaguzi katika andiko lako lote. Unakuwa unawashawishi wachangiaji waujadili uarabu wa mjomba wake, wakati yapo ya maana na ya msingi ya kujadili.Rais Samia amekutana na mjomba wake Oman ambaye ni mwarabu
View attachment 2261247
View attachment 2260683
Mpuuzi wewe kwahiyo anawezesha akiwa Uarabuni?Akili za kitoto hizo mkuu madindigwa, wamejaa humu JF.
Maendeleo unajiletea mwenyewe kwa kuwa mbunifu. Anachofanya ni kuyawezesha tu.
Kwenda Uarabuni imeshakuwa nongwa?. Hujioni kwamba wewe ndio mpuuzi mwenye kuweza kufaulu mtihani wa wapuuzi ukiingia darasani?.Mpuuzi wewe kwahiyo anawezesha akiwa Uarabuni?
Mzanzibar mwenzako anauza nchi arudi kwenuKwenda Uarabuni imeshakuwa nongwa?. Hujioni kwamba wewe ndio mpuuzi mwenye kuweza kufaulu mtihani wa wapuuzi ukiingia darasani?.