Mnatudanganya na hivyo vipicha tuanze kuigiza undugu ili mfanye yenu kiulani.Na huyo mfalme ni mwenzetu,hata Mh.Magufuli,Rais wetu,alituambia hawa ni ndugu zetu,walipotutembelea mawaziri wa nchi ya Oman,kumbe ni kweliView attachment 2261391
Farouk Bulsara.Sasawa kabisa,hata wahindi wamo pia,ndio walitoa umaarufu kuzalisha lile shoga malaya liimbaji Fred Mercury(Queen)
Sana sana Tanzania imegubikwa na ukabila na udini angalieni sana sio jambo jemaSasa ni kaka wa mama yake, mnatakaje..??
Kweli kabisaAkili za kitoto hizo mkuu madindigwa, wamejaa humu JF.
Maendeleo unajiletea mwenyewe kwa kuwa mbunifu. Anachofanya ni kuyawezesha tu.
Mawazo ya kinyonge haya, nyinyi aliyewazuia kufanya yenu ni nani?.Mnatudanganya na hivyo vipicha tuanze kuigiza undugu ili mfanye yenu kiulani.
Masai siyo mtu (mbele ya wajomba) acha tu apishe Ngorongoro japo si uungwana na inauma sana kupisha makazi yako ati mwarabu abebe wanyama kwenda ujombani!Kumbe ndio maana wanyama wetu na wale wamasai kule Ngorongoro wanateseka ili kumfurahisha mjomba.
Kuna siku NCHI itapigwa mnada hii- Jobo Ndungwai
Oman na UAE ni nchi tafautiNdio mana wazanzibar wanajiona hao ni UAE.
TumekwishaRais Samia amekutana na mjomba wake Oman ambaye ni mwarabu
View attachment 2261247
View attachment 2260683
🤣🤣Tumekwisha. Jamani tuungane kudai Katiba Mpya
Anko alikuwa dalaliRais Samia amekutana na mjomba wake Oman ambaye ni mwarabu
View attachment 2261247
View attachment 2260683