Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #21
Ujinga unakusumbua sana dogo.Ni chizi haswa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujinga unakusumbua sana dogo.Ni chizi haswa
Ndiyo akili za makada wa CCM ngono mbeleWaalimu wangu wa chuo sitaki hata kuwaona wajinga wale.
Walikua wanagawa maksi kwa machawa wao na wanafunzi wa kike waliokuwa wanatembea nao.
Nitolee ujinga wako sijakusemeshaUjinga unakusumbua sana dogo.
Kwanza hakuna mwanafunzi aliyefika chuo mwenye akili kama zako.wewe huwezi ukawa na akili za kudahiliwa chuo kikuu. Au unafikiri chuo wanakwenda na kuzoa hata wajinga wajinga? Wewe huwezi kamwe na katu kusoma chuo au kupokelewa chuo chochote kile.Nitolee usenge wako hapa kima wewe usinizoee.
Wivu utakuuwa .Sio kwamba imepangwa waje wakutane hapo ili ya uandikwa na kusifu patikane, na haswa ku proof wrong wanaosema aliunga unga shule.
Amesoma chuo cha utumishi wa umma TaboraWewe kama umefika chuo basi Tanzania hakuna elimu.
Rais Wetu ni Msomi wa kiwango cha juu na ni miongoni mwa Marais wasomi sana Barani Afrika kwa sasa.Sialiishia form 4 hicho chuo ni madrasa au?
For sure, jana ina majibu lkn kesho iko ktk mabanoUsimfanyie mtu ubaya kwa kuwa kesho anaweza kuwa msaada kwako na kukuinua.
Kwa hiyo unamringishia mwenzio ulivyofika chuo cha madrasa?Kwanza hakuna mwanafunzi aliyefika chuo mwenye akili kama zako.wewe huwezi ukawa na akili za kudahiliwa chuo kikuu. Au unafikiri chuo wanakwenda na kuzoa hata wajinga wajinga? Wewe huwezi kamwe na katu kusoma chuo au kupokelewa chuo chochote kile.
Cheki dogo unavyojidhalilisha na kuonyesha ujinga wako.angalia aliekuwa anajibiwa .punguza moshi kichwani.Amesoma chuo cha utumishi wa umma Tabora
Huitaji kuwa msomi kuongoza Tanzania.Rais Wetu ni Msomi wa kiwango cha juu na ni miongoni mwa Marais wasomi sana Barani Afrika kwa sasa.
Mkuu umeandika kinyume hapa!Rais Wetu ni Msomi wa kiwango cha juu na ni miongoni mwa Marais wasomi sana Barani Afrika kwa sasa.
Naye alisoma mzumbeKomredi Mwashambwa mbona huyo msaidizi wa rais mwenye nguo za kijeshi anatabasamu? Imekaaje hii kwa mujibu wa kazi yake?
Jina la huyo mwalimu wake tafadhali. Habari haijakamilika
Ndugu zangu Watanzania,
Katika muendelezo wa ziara yake Mkoani Morogoro ya ukaguzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo,uzinduzi na uwekaji wa mawe ya msingi kwa ujenzi wa miradi mbalimbali,utatuzi wa kero mbalimbali za wananchi.
Mheshimiwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,katika hali ya kuteka hisia za watu ameweza kuonana ana kwa ana Na Mwalimu wake aliyemfundisha alipokuwa mwanafunzi katika chuo hicho ambacho kwa sasa kinafahamika kama Mzumbe.
Kwa hakika Mungu ni Mwema sana .ukiangalia katika picha hii namna mama huyu alivyokuwa anaonesha uso wake uliojaa furaha na tabasamu mpaka unaona anatamani kutoa machozi ya furaha inagusa sana kiukweli.
Maana bila shaka Mama huyu haamini kama Ameweza kukutana uso kwa uso na Rais na Mkuu wa Nchi aliyepita mikononi mwake kama mwalimu wake. Haamini kama leo anaweza kupata nafasi ya kusalimiana na Mkuu wa nchi na Amiri Jeshi Mkuu.Haamini kama ni yeye aliyeingia katika kitabu cha historia cha kufundisha Mwanafunzi ambaye amekuja kuwa Mkuu wa Nchi na Amiri Jeshi Mkuu.
Bila shaka moyo wake umebubujikwa na machozi ya furaha sana kuona amepata bahati ambayo wengi hawapati katika Maisha yao yote mpaka wanakufa ,kuweza kupewa heshima ya hadhi ya juu kabisa kusimama na Rais Na kushikwa mkono kusalimiwa na kutambulishwa.
Leo Tanzania nzima imetambua na kumfahamu miongoni mwa watu waliompika na kumuivisha Mama yetu. Kwa hakika Mungu amjalie Maisha Marefu sana Mama na Mwalimu huyu aliyetupikia na kumfundisha Rais wetu Mh Dkt Mama Samia ,ambaye leo kama Taifa Tunajivunia uwepo wake madarakani.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaWewe kama umefika chuo basi Tanzania hakuna elimu.
Oooh...kumbe uzi umeletwa na Luca!?Stori fupi sana hata picha zingetosha.Luca is too elastic to narrate the narrations themselves.
Hujamaliza ya kuwa pia alipata bashite (zero)Sialiishia form 4 hicho chuo ni madrasa au?
Itifaki ya kutaja majina ya wana CCM na michawa ilizingatiwa kuliko lengo mahsusi kuwakumbuka mashujaa...halafu hata hajataja majina ya hao waalimu.
..nchi hii tunatukuza sana wanasiasa na kusahau utumishi uliotukuka wa wengine wote.
..ukitaka kulijua hilo angalia jinsi SIKUKUU YA MASHUJAA inavyodogoshwa.