Rais Samia akutana na Mwalimu Wake aliyemfundisha Chuo kikuu cha Mzumbe Mwaka 1983-1986

Nitolee usenge wako hapa kima wewe usinizoee.
Kwanza hakuna mwanafunzi aliyefika chuo mwenye akili kama zako.wewe huwezi ukawa na akili za kudahiliwa chuo kikuu. Au unafikiri chuo wanakwenda na kuzoa hata wajinga wajinga? Wewe huwezi kamwe na katu kusoma chuo au kupokelewa chuo chochote kile.
 
Kwanza hakuna mwanafunzi aliyefika chuo mwenye akili kama zako.wewe huwezi ukawa na akili za kudahiliwa chuo kikuu. Au unafikiri chuo wanakwenda na kuzoa hata wajinga wajinga? Wewe huwezi kamwe na katu kusoma chuo au kupokelewa chuo chochote kile.
Kwa hiyo unamringishia mwenzio ulivyofika chuo cha madrasa?
 
Jina la huyo mwalimu wake tafadhali. Habari haijakamilika
 
Oooh...kumbe uzi umeletwa na Luca!?Stori fupi sana hata picha zingetosha.Luca is too elastic to narrate the narrations themselves.

..halafu hata hajataja majina ya hao waalimu.

..nchi hii tunatukuza sana wanasiasa na kusahau utumishi uliotukuka wa wengine wote.

..ukitaka kulijua hilo angalia jinsi SIKUKUU YA MASHUJAA inavyodogoshwa.
 
..halafu hata hajataja majina ya hao waalimu.

..nchi hii tunatukuza sana wanasiasa na kusahau utumishi uliotukuka wa wengine wote.

..ukitaka kulijua hilo angalia jinsi SIKUKUU YA MASHUJAA inavyodogoshwa.
Itifaki ya kutaja majina ya wana CCM na michawa ilizingatiwa kuliko lengo mahsusi kuwakumbuka mashujaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…