Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 43,973
- 150,463
kipindi kile jibu lilikuwajeKazi ya U Rais ni ngumu ila, u Rais ni taasisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kipindi kile jibu lilikuwajeKazi ya U Rais ni ngumu ila, u Rais ni taasisi
🤣🤣🤣🤣Bila shaka leo tutaambiwa aliko Azory Gwanda
hakuna aliyegusia hii kituBila shaka leo tutaambiwa aliko Azory Gwanda
Unataka apotezwe mtu 🤣🤣🤣hakuna aliyegusia hii kitu
Mnapenda kujivika mamlaka ya kusemea wengine, nakueleza tu HAKUNA KATIBA MPYAHivi katika mazingira ya kawaida, Mataga utaipendaje Katiba Mpya? Ccm ikitolewa madarakani kupitia Tume Huru ya Uchaguzi, si utakufa njaa?
Aibu kubwa sana kwa waliomleta , Kikwete , Mkapa na mpambe wake LukuviKumbe jiwe alizuia matangazo yasiende vyombo binafsi, yule mtu alikuwa na roho mbaya sana
Ndugu Maxence Melo & Co. Wanapaswa wapewe tuzo ya heshima kwa kuendesha mtandao unaosaidia kuibua na kuweka wazi madudu nchini.Unadhani kuisimamia JF ni kazi rahisi! Huu mtandao ni zaidi ya magazeti, luninga na redio!
Humu kuna maelfu ya waandishi wa habari! Huku wengi wakiwa hawajasomea kokote hiyo fani yenyewe ya uandishi wa habari! He deserves!!!
Mniombeekipindi kile jibu lilikuwaje
Kumbe ni Abdallah Majura! Mbona swali lake linaonekana kama limeulizwa na mpiga picha wa Online Tv.Ni Abdallah Majura alikuwa mwandishi wa BBC zamani na sasa anamiliki daladala za GEREZANI-TEGETA ndio kasema watu wanaipigania CCM lakini teuzi wanapata vijana tu!..
Naona anataka tu Kulazimisha kuendelea Kuupiga mwingi ila kwa leo najitahidi Kumuelewa bado Ubongo wangu haumuelewi anavyoelezea na Kufafanua.Anahutubia ama anaulizwa maswali?
Bado anaendelea kujibu maswali ya Wahariri, likiwemo swali la kipuuzi kabisa lililo ulizwa na mtu mzima mwenye IQ ndogo la kwa nini wazee eti hawateuliwi na wakati waliiunga mkono ccm! kutoka kwa huyu Mzee abdallah Majura!Naona kimya kidogo, nini kinaendelea.?