Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
Mbona yupo poa mzee, anajibu maswali kwa composure kubwa sana, katulia, no panicking or kuita watu 'njaa'Naona anataka tu Kulazimisha kuendelea Kuupiga mwingi ila kwa leo najitahidi Kumuelewa bado Ubongo wangu haumuelewi anavyoelezea na Kufafanua.
Pascal Mayalla Mwandishi mwandamiziKwani Pascal Mayalla ni Mhariri wa chombo gani cha habari? Hawezi kuwepo hapo bhana! Hivi hata kipindi kile sijui aliingia kwa kutumia wadhifa gani!!
Angehudhuria, bila shaka angemtwanga MAMA swali gumu kuhusu Kurejeshwa kwa Mchakato wa Katiba Mpya.
Hawa wazee ndio waliotuelewesha na wanataka waendelee kutuchelewesha. Bure kabisa huyo mzee.Bado anaendelea kujibu maswali ya Wahariri, likiwemo swali la kipuuzi kabisa lililo ulizwa na mtu mzima mwenye IQ ndogo la kwa nini wazee eti hawateuliwi na wakati waliiunga mkono ccm! kutoka kwa huyu Mzee abdallah Majura!..
Litakuwa ni moja ya wale bavicha wanaodemka kwamba mataga wakomeshwa?Bado anaendelea kujibu maswali ya Wahariri, likiwemo swali la kipuuzi kabisa lililo ulizwa na mtu mzima mwenye IQ ndogo la kwa nini wazee eti hawateuliwi na wakati waliiunga mkono ccm! kutoka kwa huyu Mzee abdallah Majura!...
Kwa hiyo kuuliza kama anahutubia au anajibu maswali ndo nimekuwa hater?
Unajua kusoma?
Yah! Ni kweli. Na pia huwa haachi siku zote kujitambulisha kama mwanachama wa mtandao maarufu wa Jamii Forums.Pascal Mayalla Mwandishi mwandamizi
Acha kuuma maneno, kwa sasa mikutano ya hadhara sip ruksa. Kipaumbele ni uchumiMikutano ya hadhara ya kisiasa na Katiba mpya: itategemea uchumi kukua, nchi iwe imesimama vizuri... anahitaji muda zaidi kuyashughilikia hayo.
Bado anaendelea kujibu maswali ya Wahariri, likiwemo swali la kipuuzi kabisa lililo ulizwa na mtu mzima mwenye IQ ndogo la kwa nini wazee eti hawateuliwi na wakati waliiunga mkono ccm! kutoka kwa huyu Mzee abdallah Majura!...
Hili linawezekana kabisa mzee baba! Maana hata swali la Katiba Mpya kalijibu kisiasa kama alivyofanya mtangulizi wake!Mkuu isije kuwa wameambiwa baadhi ya topics hawatakiwi kuzigusa kabisa hivyo ni usanii MTUPU!
Habari za kitambo mkuuHapana yule mzee siyo wa BBC, aliyesimama kuuliza swali upande wa BBC ni mwanamke. Yule atakuwa Sibuka
Salama ndugu yangu, nashukuru kwa ukaribisho wako.Habari za kitambo mkuu
Karibu tena!
Amejibu maswali haya mkuuKatazo la vyama vya siasa kufanya mikutano ya hadhara ni lini rais atatengua zuio hilo ili vyama viendelee na shughuli zao kama awali.
Issue ya katiba mpya raisi ana kauli gani.
Baada ya kauli yake ya kuvitaka Vyombo vya habari vifunguliwe, ila bado hilo halijafanyika kwa 100% hivyo ni lini vyombo hivyo vitafunguliwa vyote. .