Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alishindwa kuwa convince waingereza vita ya zIraq na walitaka kumshitaki.Tony Waziri mkuu aliyekuwa smart sana kichwani... hajawahi shindwa kwa hoja...
Yaani mpaka nimekosa Cha kukuambia nimekihurumia mkuu. Yaani Sana sema haujui mkuu. Mpaka naomba ufunguliwe rohoni uyaone ya dunia.Hapa Mataga na CDm kwa wivu na husuda zao wataanza kusema eti' Mama Samia anakaribisha mabeberu...wakati juzi walikesha mitandaoni kumpongeza Rais wa Zambia kwa kualikwa na Makamu wa Rais wa Marekani na taasisi nyingine za kimataifa.
Taratibu tunarudi katika hadhi na heshima yetu kidoplomasia kimataifa.
Mkuu Tony Blair ndiye aliyepigia debe Tanzania kuuziwa na BAE Systems rada ya kivita tena obsolete kwa bei ya “kuruka” ya paundi million 28 (£28m). Sehemu kubwa ya pesa hizo iliingizwa kwenye akaunti za benki huko uswiss na ufisadi mzima uliratibiwa na mfanyabiashara Sailesh Vithlani (mtu wa kati) kwa niaba ya wakubwa wa serikali Tanzania.Daah mwamba umenichekesha kwa sauti usiku huu....[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tony Blair siyo kiongozi. Aliwahi kuwa kiongozi wa uingereza hapo zamani za kale!! Amebakiza ubeberu tu wa kupiga hela zilizokaa kihasara hasara hasa za ulimwengu wa tatu!Mazungumzo ya Viongozi hao yamefanyika leo September 29,2021 Ikulu ya Chamwino Dodoma
Matapeli au wafadhili wetu hao 😂😂😂Blair's company paid just £315,000 tax on income of more than £12m | The Independent | The Independent
When you have already spent half a million pounds on rent, £300,000 on furniture and £2.3m paying your staff, an extra £8m on unexplained “administrative expenses” might seem to be stretching credulity, but that is what Tony Blair has told Her Majesty's Revenue and Customs, which as a consequence has received a rather smaller cheque from the former Prime Minister than it might have expected.
Wakati wa uongozi wake walituuzia radar fake ambayo ilikuwa imenunuliwa kwa bei kubwa. Hivi Watanzania tutajifunza lini? Sio kila mzungu ni mtu mzuri wa kutupenda sana sisi.
Angekuwa muovu Jiwe kakutana na Blair usingeandika hivi. Alipokutana na rostam mbona ukulifungua hilo domo lako???Blair's company paid just £315,000 tax on income of more than £12m | The Independent | The Independent
When you have already spent half a million pounds on rent, £300,000 on furniture and £2.3m paying your staff, an extra £8m on unexplained “administrative expenses” might seem to be stretching credulity, but that is what Tony Blair has told Her Majesty's Revenue and Customs, which as a consequence has received a rather smaller cheque from the former Prime Minister than it might have expected.
Wakati wa uongozi wake walituuzia radar fake ambayo ilikuwa imenunuliwa kwa bei kubwa. Hivi Watanzania tutajifunza lini? Sio kila mzungu ni mtu mzuri wa kutupenda sana sisi.
Kapuku anapomwita tajiri anayemlisha tapeli🤣🤣Angekuwa muovu Jiwe kakutana na Blair usingeandika hivi. Alipokutana na rostam mbona ukulifungua hilo domo lako???
Tapeli ni yule aliyetapeli elfu ishirini za wamachinga.Blair's company paid just £315,000 tax on income of more than £12m | The Independent | The Independent
When you have already spent half a million pounds on rent, £300,000 on furniture and £2.3m paying your staff, an extra £8m on unexplained “administrative expenses” might seem to be stretching credulity, but that is what Tony Blair has told Her Majesty's Revenue and Customs, which as a consequence has received a rather smaller cheque from the former Prime Minister than it might have expected.
Wakati wa uongozi wake walituuzia radar fake ambayo ilikuwa imenunuliwa kwa bei kubwa. Hivi Watanzania tutajifunza lini? Sio kila mzungu ni mtu mzuri wa kutupenda sana sisi.
Exactly,Hawa mbwa Wana chuki Sana na SamiaAngekuwa muovu Jiwe kakutana na Blair usingeandika hivi. Alipokutana na rostam mbona ukulifungua hilo domo lako???
Hawa sukuma gang Wana chuki Sana na RaisNaona Misukule ya Jiwe inaendelea kuhangaika na Samia!!
Hivi Jiwe amekunywa chai mara ngapi na Rostam Azizi ambae ni moja ya mafisadi wakubwa nchi hii?!!
Hii mijamaa minafiki sana Mkuu, Jiwe hakukutana tu na Rostam, but alikuwa ni mmojawapo wa washauri wake wa mambo ya uchumi! Mshauri mwingine wa Jiwe miaka yake 2 ya mwisho ya uongozi alikuwa Lowassa! Lowassa and Rostam watu ambao kwa miaka kadhaa tuliaminishwa na watu hawa hawa kuwa ndiyo mafisadi namba 1 wa nchi hiiAngekuwa muovu Jiwe kakutana na Blair usingeandika hivi. Alipokutana na rostam mbona ukulifungua hilo domo lako???