Rais Samia Akutana na Waziri Mkuu Mstaafu wa Uingereza Tony Blair

[emoji38][emoji38][emoji38] mdogo wa Rostam aliyekamatwa na nyara pamoja na bunduki zisizo na idadi aliachiwa fasta baada ya Rostam kutinga Ikulu , hii ndio siku ccm ilihongwa channel 10
Dah!! Sitasahau lile tukio Mkuu wangu....

Na kama hiyo haitoshi, Rostam akapigiwa debe na Mkulu eti akagombee ubunge Morogoro...

Hakika CCM ni zaidi ya uijuavyo...
 
Wajinga hawa jamaa, hizi kodi zilizokusanywa hii miezi 3 ingekuwa kipindi cha jiwe kusingekalika!! Yangeimbwa mapambio kila kona ya nchi hii!! Na wengine wangepata uteuzi kupitia hayo mapambio ya kibwege
Rais Magufuli alipenda sana Sifa haijawahi tokea.
 
[emoji38][emoji38][emoji38] mdogo wa Rostam aliyekamatwa na nyara pamoja na bunduki zisizo na idadi aliachiwa fasta baada ya Rostam kutinga Ikulu , hii ndio siku ccm ilihongwa channel 10
1week before Rostam alikuwa Ikulu wanapiga Picha na Fisadi Magufuli.
 
[emoji38][emoji38][emoji38] mdogo wa Rostam aliyekamatwa na nyara pamoja na bunduki zisizo na idadi aliachiwa fasta baada ya Rostam kutinga Ikulu , hii ndio siku ccm ilihongwa channel 10
Mapitio mnawasilisha saa ngapi pale ubungo?
 
B
Dah!! Sitasahau lile tukio Mkuu wangu....

Na kama hiyo haitoshi, Rostam akapigiwa debe na Mkulu eti akagombee ubunge Morogoro...

Hakika CCM ni zaidi ya uijuavyo...
Bora huyu Rostam,hata akiiba anawekeza ndani,unajua Makampuni ya Rostam yameajili Watanzania wangapi?na analipa kodi kiasi gani? uwezi linganisha Rostam ,na akina Brail matapeli wakubwa wa dunia
 
Anaupiga mwingi. Tulia dawa ikuingie
 
Kuna rais mmoja wa nchi 1 huko Africa ye alikua ndio bonge la TP aliwahi kuokota vichwa vya treni pale Bandarini.
 
Naona Misukule ya Jiwe bado inaendelea kuhangaika na Samia!!

Hivi Jiwe amekunywa chai mara ngapi na Rostam Azizi pale Ikulu?! KHuyu Rostam si ni moja ya mafisadi wakubwa nchi hii?!!
Rostam ni mwekezaji tu...kama angekuwa fisadi huenda angeshtakiwa kwenye mahakama ya ufisadi na uhujumu uchumi.
 
Naona Misukule ya Jiwe bado inaendelea kuhangaika na Samia!!

Hivi Jiwe amekunywa chai mara ngapi na Rostam Azizi pale Ikulu?! KHuyu Rostam si ni moja ya mafisadi wakubwa nchi hii?!!

Inashangaza unakuta mtu msomi lakini msukule wa marehemu
 
Wajinga hawa jamaa, hizi kodi zilizokusanywa hii miezi 3 ingekuwa kipindi cha jiwe kusingekalika!! Yangeimbwa mapambio kila kona ya nchi hii!! Na wengine wangepata uteuzi kupitia hayo mapambio ya kibwege
Uteuzi wa kiby bado unaendelea
 
Hii inashangaza sana kwamba Mtu kasoma lakini bado hajui jema na baya. Bado tuko mbali mno
Wanafahamu vizuri tu sema huwa wanajitoa ufahamu kama njia ya kujipendekeza kupata vyeo vya teuzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…