Kushauri siyo shida swala je ameshiriki nia zao mbovu za kufisidi nchiWalikuwa washauri wake namba moja wa uchumi, rejea mchango wa kujenga kanisa Chamwino, wao ndio sababu ya jamaa kumtosa Bashite
Siyo badi news kwa kikwete wala huyu mama yenu ,wao wangekuwa wa kwanza kumponda kuwa alikuwa ovyo ,hivyo usitudanganye hiyo kovidi isimpate mke wake wanaye lala nayeHeshima ya jemedari lazima ilindwe Mkuu, pamoja na mabaya yake alikuwa na mazuri pia, kuutangazia ulimwengu kafa na Corona ilikuwa ni bad move..
kamaanisha nini mkuu..nimeambulia neno SELL tu hapo.Daah mwamba umenichekesha kwa sauti usiku huu....[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
What about Chaga gangsters?Hawa sukuma gang Wana chuki Sana na Rais
Wachaga Wana amani Sana chini ya Samia, magufuli aliwanyoosha Sana watani zangu,sasaivi Wana amani na wanachangia pato la Taifa kwa kasiWhat about Chaga gangsters?
Ukiwa na akili nyepesi kama hizi ni lazima utawadharau wanawake na hapo ndipo utakapokutana na mkono wa chuma.ukichukulia wanawake toka enzi za Hawa wanadanganyika kiwepesiii!
ah waiter mzuriii naomba Bia nyingine hapa...
Kukutana na wapinzani mfikie muafakaa name haki itendeke ngumu ila mazungu yalotutawala toka hukoo majuu wanateleza tuu ikulu yaaaniii!
waiter fungua bia nipe naglasiii....
oh sorry ntaendelea badae ngoja ninywe mapafu kadhaa! bia tamu ila kawaiter katam zaidi dooh!!
Tatizo ninyi wanawake mnataka sana udroo nasisi wanaume!! Hiyo haipo iwe mkono wachuma au washabaUkiwa na akili nyepesi kama hizi ni lazima utawadharau wanawake na hapo ndipo utakapokutana na mkono wa chuma.
Tatizo la wanaume wa kibongo ni kukariri maisha. Wanadhani leo ni lazima ifanane na kesho. Huyu Mama Samia anaweza kuwatoa nishai mpaka mkabaki mmeduwaa.Tatizo ninyi wanawake mnataka sana udroo nasisi wanaume!! Hiyo haipo iwe mkono wachuma au washaba