Rais Samia alimtumbua DED Msongela Nitu Palela kwa utendaji na usimamizi mbovu na Ufisadi, leo amemteua Palela Msongela Nitu

Rais Samia alimtumbua DED Msongela Nitu Palela kwa utendaji na usimamizi mbovu na Ufisadi, leo amemteua Palela Msongela Nitu

Mimi Huwa nikiwaambia, Tuna Rais Kazi yake ni KUSAINI TU muwe mnanielewa, yaan tuna Rais akiletewa makaratasi hajishughulishi kwenda Ndani zaidi ,ajiridhishe Kisha atoe ruksa !!.

Ebwana eeh Leo katika Kupitia majina ya UDED japo nione jina langu ,kijana Mzalendo kama Mimi, nikakutana na hili jina la Palela , haraka haraka nikakumbuka aliwah kutumbuliwa !!


Mwezi wa kwanza alitumbuliwa Kwa jina la Msongela Nitu Palela .
Wahuni ameona sio tabu, wakajua wakianza Kwa jina la Msongela ,watashtukiwa.


Kwenye mkeka wamemuanzia
PALELA MSONGELA NITU .
Hivi ni kwamba Hii Nchi Haina watu ?? Mpaka muwarudishe madaraka watu ambao mliwatumbua Kwa makosa yako ya kibadhirifu, wizi wa Pesa za umma, usimamizi mbovu wa miradi ???


Hivi Rais Samia yeye Huwa hajipi muda wa Kusoma na kupitia anacholetewa ??.

Unamtumbua mtu mwenyewe Kwa sababu ya Makosa makubwa aloyatenda, Ndani ya miezi minne, unamchagua upya ?? Kwamba kakuomba msahama?? Kakiri hatorudia, alisingiziwa ??.




Mama Samia jamani, mbona unatutia hasira sana sisi wananchi ??,. Kwanini watu wasiseme, Nchi inaongozwa na JK??.



Yaan DED alipata Hati Chafu, ukamtumbuaga baadae, Tena baada ya Waziri Bashungwa akiwa TAMISEMI kugundua matakataka ya DED huyu, Leo unamrudisha ??.


Sawa, ngoja waendelee kula, ngoja wananchi Tuendelee kutaabika.

2.Msongela Palela wa zamani
View attachment 2649078

80 Palela Msongela Mpya[emoji1787]
View attachment 2649079



Mambo ya Ovyo kabisa !!.
[emoji2297][emoji2297][emoji2297]...sasa itakuwaje aisee???

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Kuna bwana mlevi alishindwa kazi ya DED halmashauri X akapelekwa TAMISEMI( Mwalimu) sasa ameteuliwa na kupandishwa Cheo kuwa wa Manispaa. Ukija hapa Mwanga Bar Dodoma humkosi, kila saa amelewa
 
Hap hatuna rais.ulishaona wapi urais wa kurithi?nchi zinazojitambua huwa hakuna huo utaratibu wa kurithisha ili kuepuka madhara ya warithi maana huwa hawana uzalendo kabisa
 
Muwe mnajiridhisha na taarifa zenu kabla hamjatuma humu, huo mkeka uliouweka ni wa zamani na sio wa sasa!
 
Muwe mnajiridhisha na taarifa zenu kabla hamjatuma humu, huo mkeka uliouweka ni wa zamani na sio wa sasa!
Upo serious au unatania? Msigwa kapost jana, hiyo hapo angalia jina namba 80
Screenshot_20230607-211227_1.jpg
 
Angalia hii mikeka ya leo linganisha na huo wa kwako uone kama iko sawa
 

Attachments

  • Screenshot_20230607-212655.jpg
    Screenshot_20230607-212655.jpg
    86.2 KB · Views: 1
  • Screenshot_20230607-212544.jpg
    Screenshot_20230607-212544.jpg
    71.6 KB · Views: 1
Huyu kweli huwa hajisumbui kusoma, ni anasign tu kwa ile kauli yake ‘na hili mkalitazame’.
 
Mkeka umejaa kujuana. Kwa kweli hatuna uongozi.. na wala hatuna TISS.
 
Mama nchi ishamshinda tuombe kudraza mola tu mafisadi yamemzidi nguvu
 
Mimi Huwa nikiwaambia, Tuna Rais Kazi yake ni KUSAINI TU muwe mnanielewa, yaan tuna Rais akiletewa makaratasi hajishughulishi kwenda Ndani zaidi ,ajiridhishe Kisha atoe ruksa !!.

Ebwana eeh Leo katika Kupitia majina ya UDED japo nione jina langu ,kijana Mzalendo kama Mimi, nikakutana na hili jina la Palela , haraka haraka nikakumbuka aliwah kutumbuliwa !!


Mwezi wa kwanza alitumbuliwa Kwa jina la Msongela Nitu Palela .
Wahuni ameona sio tabu, wakajua wakianza Kwa jina la Msongela ,watashtukiwa.


Kwenye mkeka wamemuanzia
PALELA MSONGELA NITU .
Hivi ni kwamba Hii Nchi Haina watu ?? Mpaka muwarudishe madaraka watu ambao mliwatumbua Kwa makosa yako ya kibadhirifu, wizi wa Pesa za umma, usimamizi mbovu wa miradi ???


Hivi Rais Samia yeye Huwa hajipi muda wa Kusoma na kupitia anacholetewa ??.

Unamtumbua mtu mwenyewe Kwa sababu ya Makosa makubwa aloyatenda, Ndani ya miezi minne, unamchagua upya ?? Kwamba kakuomba msahama?? Kakiri hatorudia, alisingiziwa ??.




Mama Samia jamani, mbona unatutia hasira sana sisi wananchi ??,. Kwanini watu wasiseme, Nchi inaongozwa na JK??.



Yaan DED alipata Hati Chafu, ukamtumbuaga baadae, Tena baada ya Waziri Bashungwa akiwa TAMISEMI kugundua matakataka ya DED huyu, Leo unamrudisha ??.


Sawa, ngoja waendelee kula, ngoja wananchi Tuendelee kutaabika.

2.Msongela Palela wa zamani
View attachment 2649078

80 Palela Msongela Mpya🤣
View attachment 2649079



Mambo ya Ovyo kabisa !!.
Tuombe mungu amalize urithi wake kwa amani. Tabu wahuni wanataka auze nchi ndio atoke. Inatisha sana.
 
Mimi Huwa nikiwaambia, Tuna Rais Kazi yake ni KUSAINI TU muwe mnanielewa, yaan tuna Rais akiletewa makaratasi hajishughulishi kwenda Ndani zaidi ,ajiridhishe Kisha atoe ruksa !!.

Ebwana eeh Leo katika Kupitia majina ya UDED japo nione jina langu ,kijana Mzalendo kama Mimi, nikakutana na hili jina la Palela , haraka haraka nikakumbuka aliwah kutumbuliwa !!


Mwezi wa kwanza alitumbuliwa Kwa jina la Msongela Nitu Palela .
Wahuni ameona sio tabu, wakajua wakianza Kwa jina la Msongela ,watashtukiwa.


Kwenye mkeka wamemuanzia
PALELA MSONGELA NITU .
Hivi ni kwamba Hii Nchi Haina watu ?? Mpaka muwarudishe madaraka watu ambao mliwatumbua Kwa makosa yako ya kibadhirifu, wizi wa Pesa za umma, usimamizi mbovu wa miradi ???


Hivi Rais Samia yeye Huwa hajipi muda wa Kusoma na kupitia anacholetewa ??.

Unamtumbua mtu mwenyewe Kwa sababu ya Makosa makubwa aloyatenda, Ndani ya miezi minne, unamchagua upya ?? Kwamba kakuomba msahama?? Kakiri hatorudia, alisingiziwa ??.




Mama Samia jamani, mbona unatutia hasira sana sisi wananchi ??,. Kwanini watu wasiseme, Nchi inaongozwa na JK??.



Yaan DED alipata Hati Chafu, ukamtumbuaga baadae, Tena baada ya Waziri Bashungwa akiwa TAMISEMI kugundua matakataka ya DED huyu, Leo unamrudisha ??.


Sawa, ngoja waendelee kula, ngoja wananchi Tuendelee kutaabika.

2.Msongela Palela wa zamani
View attachment 2649078

80 Palela Msongela Mpya🤣
View attachment 2649079



Mambo ya Ovyo kabisa !!.
Unataka kusema katibu kiongozi katupiga siyo?
 
Back
Top Bottom