Rais Samia alisema opras ni njia isiyofaa kupona performance ya mtumishi. Hiki kinachoendela ni kukusanya fedha za watumishikwa kuwapigisha photocopy

Rais Samia alisema opras ni njia isiyofaa kupona performance ya mtumishi. Hiki kinachoendela ni kukusanya fedha za watumishikwa kuwapigisha photocopy

Mama Edina

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2022
Posts
850
Reaction score
2,019
Maafisa utumishi hii sio sahihi ...sina mshahara natafuta chakula Leo nikatoe kopi kibao.?

Open performance haiwezi Kwa kumtesa mtumishi kumuongiza gharama za ajabu ajabu.

Piga nakala 4 x opras 1 =700*4
 
Maafisa utumishi hii sio sahihi ...sina mshahara natafuta chakula Leo nikatoe kopi kibao.?

Open performance haiwezi Kwa kumtesa mtumishi kumuongiza gharama za ajabu ajabu.

Piga nakala 4 x opras 1 =700*4
Unafanya kazi ofisi gani hiyo haina hata photo copy mashine?
 
Back
Top Bottom