Rais Samia alisema wajiuzulu/wapishe nafasi zao. Akina nani hao? ebu tuwataje...

Rais Samia alisema wajiuzulu/wapishe nafasi zao. Akina nani hao? ebu tuwataje...

Jay One

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2010
Posts
18,042
Reaction score
19,787
Wana JF habari zenu.

Mh. Rais wetu Mama Samia, jana akiongea baada ya kupokea ripoti ya CAG Ikulu, Dar es Salaam, alisema kwa ukali sana, waliohusika na ongezeko la bei ya ndege ya mizigo ya ATCL kutoka $ 37 mil hadi $ 86 mil wajiuzulu haraka, yaani wapishe nafasi zao haraka sana.

JF tuweke walau picha halisi, je akina nani wanatakiwa kuondoka? Mimi naanza na hii list moja, wengine jazieni..

1: Mkurugenzi Mkuu, ATCL
2:
3:
4:
5:
6:
7:
8:
9:
10

Tujaribu kutaja tuwajue hawa watu, maana hizo ni hela nyingi sana
 
Nilishangazwa na mama samia kumteua mtu kama mwanaidi maajar ambae alikua mwanasheria wa Tanesco kwenye kesi ya dowans, yeye ndio alishauri Tanesco wavunje mkataba.

Leo amepata uteuzi, yanatokea mambo Kama hayo kwa teuzi alizofanya alitegemea nini?
 
Wana JF habari zenu.

Mh. Rais wetu Mama Samia, jana akiongea baada ya kupokea ripoti ya CAG Ikulu, Dar es Salaam, alisema kwa ukali sana, waliohusika na ongezeko la bei ya ndege ya mizigo ya ATCL kutoka $ 37 mil hadi $ 86 mil wajiuzulu haraka, yaani wapishe nafasi zao haraka sana.

JF tuweke walau picha halisi, je akina nani wanatakiwa kuondoka? Mimi naanza na hii list moja, wengine jazieni..

1: Mkurugenzi Mkuu, ATCL
2:
3:
4:
5:
6:
7:
8:
9:
10

Tujaribu kutaja tuwajue hawa watu, maana hizo ni hela nyingi sana
1. PM 2. Spika 3. Jaji Mkuu ndiyo wanafuata wengine
 
Watangaze ajira husika ili hao watu wapishe wengine wenye sifa za kiushindani kupitia soko la ajira. Watu walete wasifu wao na washindanishwe kwa haki, na tena interviews ziendeshwe na kampuni zenye hadhi ya kimataifa.

Tabia ya kuokoteza na kukabidhi watu wa hovyo ofisi nyeti za umma kwa kigezo tu cha kuwa ni kada mwaminifu wa CCM zimepitwa na wakati, na hasa ndiyo chanzo cha madudu haya yote yanayotokea.
 
Watangaze ajira husika ili hao watu wapishe wengine wenye sifa za kiushindani kupitia soko la ajira. Watu walete wasifu wao na washindanishwe kwa haki, na tena interviews ziendeshwe na kampuni zenye hadhi ya kimataifa.

Tabia ya kuokoteza na kukabidhi watu wa hovyo ofisi nyeti za umma kwa kigezo tu cha kuwa ni kada mwaminifu wa CCM zimepitwa na wakati, na hasa ndiyo chanzo cha madudu haya yote yanayotokea.
Sure tubadili mfumo wa ajira kwanza
 
Back
Top Bottom