Rais Samia alisema wajiuzulu/wapishe nafasi zao. Akina nani hao? ebu tuwataje...

Rais Samia alisema wajiuzulu/wapishe nafasi zao. Akina nani hao? ebu tuwataje...

Wana JF habari zenu.

Mh. Rais wetu Mama Samia, jana akiongea baada ya kupokea ripoti ya CAG Ikulu, Dar es Salaam, alisema kwa ukali sana, waliohusika na ongezeko la bei ya ndege ya mizigo ya ATCL kutoka $ 37 mil hadi $ 86 mil wajiuzulu haraka, yaani wapishe nafasi zao haraka sana.

JF tuweke walau picha halisi, je akina nani wanatakiwa kuondoka? Mimi naanza na hii list moja, wengine jazieni..

1: Mkurugenzi Mkuu, ATCL
2:
3:
4:
5:
6:
7:
8:
9:
10

Tujaribu kutaja tuwajue hawa watu, maana hizo ni hela nyingi sana
Ngoja ni buni kitu kutokana na hili yaani kudadavua jambo kwa kina kutokana na yaliyopo, yaliyokuwemo, 'situation analysis' with identifying factors, namna bora ya kulitizama hili la ukwapuaji bila katiba mpya nitarudi hapa ila lazima niisajili hiyo 'analysis'
 
Mama pia awe makini mwana kuna tetesi kuwa anakoroga Wizara kahaa.
 
1. Mchumi anayejidai mwenye viwango

2. Yule Gavana mpya wa BOT

3. Justin(Alikuwa mkurugenzi wa TADB now ndiyo kamishna wa madeni ya nje)

4. Mafuru naibu katibu mkuu fedha

NB
Mkurugenzi wa ATCL ni mtu wa mwisho sana siyo mlipaji hao niliwataja ndiyo walitakiwa kuhoji kabla kuhidhinisha pesa
 
Taifa linalohusudu maneno matupu haliwezi kupiga hatua nzuri, Kila siku tunasikia hatua zinachukuliwa Sasa hatua gani hizo!,mara sijui watupishe Sasa wakupishe Nini?, Wakupishe waende wapi na kwaajili ya Nini?, Hao watu si wa kuongea nao eti wakupishe! Ajabu kweli, watu mnawajua waliokula pesa then mnasema wawapishe ,hao watu ni kutandika kabisa pesa hizo wazitapike...
 
Wana JF habari zenu.

Mh. Rais wetu Mama Samia, jana akiongea baada ya kupokea ripoti ya CAG Ikulu, Dar es Salaam, alisema kwa ukali sana, waliohusika na ongezeko la bei ya ndege ya mizigo ya ATCL kutoka $ 37 mil hadi $ 86 mil wajiuzulu haraka, yaani wapishe nafasi zao haraka sana.

JF tuweke walau picha halisi, je akina nani wanatakiwa kuondoka? Mimi naanza na hii list moja, wengine jazieni..

1: Mkurugenzi Mkuu, ATCL
2:
3:
4:
5:
6:
7:
8:
9:
10

Tujaribu kutaja tuwajue hawa watu, maana hizo ni hela nyingi sana
Ivi na akili zako una Imani na Hangaya
Yule ye apa anachuma tu ila Hana uchungu na nchi hii ya wadanganyika a.k.a nyumbu wa Serengeti ndo maana alisema mnaua nchi yenu wenyewe kuweni na akili basi mbona muda wote hamufikirii hata nchi yenu kutwa kujadili ujinga
 
Kwa kifupi ni serikali nzima ya CCM pamoja na Wakurugenzi wa Vitengo vyote
 
Wana JF habari zenu.

Mh. Rais wetu Mama Samia, jana akiongea baada ya kupokea ripoti ya CAG Ikulu, Dar es Salaam, alisema kwa ukali sana, waliohusika na ongezeko la bei ya ndege ya mizigo ya ATCL kutoka $ 37 mil hadi $ 86 mil wajiuzulu haraka, yaani wapishe nafasi zao haraka sana.

JF tuweke walau picha halisi, je akina nani wanatakiwa kuondoka? Mimi naanza na hii list moja, wengine jazieni..

1: Mkurugenzi Mkuu, ATCL
2:
3:
4:
5:
6:
7:
8:
9:
10

Tujaribu kutaja tuwajue hawa watu, maana hizo ni hela nyingi sana
Rais wetu unafikiri ameshushwa kutoka hewani anatoa general statement siju bila kuww specific ni nani mhusika
 
Watangaze ajira husika ili hao watu wapishe wengine wenye sifa za kiushindani kupitia soko la ajira. Watu walete wasifu wao na washindanishwe kwa haki, na tena interviews ziendeshwe na kampuni zenye hadhi ya kimataifa.

Tabia ya kuokoteza na kukabidhi watu wa hovyo ofisi nyeti za umma kwa kigezo tu cha kuwa ni kada mwaminifu wa CCM zimepitwa na wakati, na hasa ndiyo chanzo cha madudu haya yote yanayotokea.
Wakipisha watakuja , wengine nao watapisha ..chain inaongezeka umeshaaona nchi ya namna hiyo
 
Ivi na akili zako una Imani na Hangaya
Yule ye apa anachuma tu ila Hana uchungu na nchi hii ya wadanganyika a.k.a nyumbu wa Serengeti ndo maana alisema mnaua nchi yenu wenyewe kuweni na akili basi mbona muda wote hamufikirii hata nchi yenu kutwa kujadili ujinga
I concur with you yeye atakuwa zake huko kibanda maiti baada ya miaka 2 maana najua mwaka huu agombe tena
 
'walio husika watupishe'! Siamini kama raisi wa nchi anaweza kusema hivi. Kauli hii ilipaswa kutamkwa mwenyekiti wa kijiji. Sasa naelewa kwanini nchi hii ni maskini!
 
Back
Top Bottom