Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa wameapa kulinda katiba ya nchi maake maslahi ya nchi na wote wameshindwaMmmhhh, sio hao bana
Ngoja ni buni kitu kutokana na hili yaani kudadavua jambo kwa kina kutokana na yaliyopo, yaliyokuwemo, 'situation analysis' with identifying factors, namna bora ya kulitizama hili la ukwapuaji bila katiba mpya nitarudi hapa ila lazima niisajili hiyo 'analysis'Wana JF habari zenu.
Mh. Rais wetu Mama Samia, jana akiongea baada ya kupokea ripoti ya CAG Ikulu, Dar es Salaam, alisema kwa ukali sana, waliohusika na ongezeko la bei ya ndege ya mizigo ya ATCL kutoka $ 37 mil hadi $ 86 mil wajiuzulu haraka, yaani wapishe nafasi zao haraka sana.
JF tuweke walau picha halisi, je akina nani wanatakiwa kuondoka? Mimi naanza na hii list moja, wengine jazieni..
1: Mkurugenzi Mkuu, ATCL
2:
3:
4:
5:
6:
7:
8:
9:
10
Tujaribu kutaja tuwajue hawa watu, maana hizo ni hela nyingi sana
Mbona mimi najua ni mtu, vinginevyo utupiemo picha tuweze kukuelewaUnampa TANESCO Makamba yaani fisi unamkabidhi bucha?
SawaMbona mimi najua ni mtu, vinginevyo utupiemo picha tuweze kukuelewa
Mchemba ebu waonyeshe ubunifu katika kuwajibika[emoji2][emoji3][emoji2][emoji16]1. PM 2. Spika 3. Jaji Mkuu ndiyo wanafuata wengine
Sijui hata wanahusikaje.Mmmhhh, sio hao bana
Kwa hiyo kwa urefu huo wa njia, mnapanga kumtoa.Huyo inajulikana hajui kitu lakini kumtoa ni njia ndefu sn tuanze na hawa kwanza
Ivi na akili zako una Imani na HangayaWana JF habari zenu.
Mh. Rais wetu Mama Samia, jana akiongea baada ya kupokea ripoti ya CAG Ikulu, Dar es Salaam, alisema kwa ukali sana, waliohusika na ongezeko la bei ya ndege ya mizigo ya ATCL kutoka $ 37 mil hadi $ 86 mil wajiuzulu haraka, yaani wapishe nafasi zao haraka sana.
JF tuweke walau picha halisi, je akina nani wanatakiwa kuondoka? Mimi naanza na hii list moja, wengine jazieni..
1: Mkurugenzi Mkuu, ATCL
2:
3:
4:
5:
6:
7:
8:
9:
10
Tujaribu kutaja tuwajue hawa watu, maana hizo ni hela nyingi sana
Rais wetu unafikiri ameshushwa kutoka hewani anatoa general statement siju bila kuww specific ni nani mhusikaWana JF habari zenu.
Mh. Rais wetu Mama Samia, jana akiongea baada ya kupokea ripoti ya CAG Ikulu, Dar es Salaam, alisema kwa ukali sana, waliohusika na ongezeko la bei ya ndege ya mizigo ya ATCL kutoka $ 37 mil hadi $ 86 mil wajiuzulu haraka, yaani wapishe nafasi zao haraka sana.
JF tuweke walau picha halisi, je akina nani wanatakiwa kuondoka? Mimi naanza na hii list moja, wengine jazieni..
1: Mkurugenzi Mkuu, ATCL
2:
3:
4:
5:
6:
7:
8:
9:
10
Tujaribu kutaja tuwajue hawa watu, maana hizo ni hela nyingi sana
Wakipisha watakuja , wengine nao watapisha ..chain inaongezeka umeshaaona nchi ya namna hiyoWatangaze ajira husika ili hao watu wapishe wengine wenye sifa za kiushindani kupitia soko la ajira. Watu walete wasifu wao na washindanishwe kwa haki, na tena interviews ziendeshwe na kampuni zenye hadhi ya kimataifa.
Tabia ya kuokoteza na kukabidhi watu wa hovyo ofisi nyeti za umma kwa kigezo tu cha kuwa ni kada mwaminifu wa CCM zimepitwa na wakati, na hasa ndiyo chanzo cha madudu haya yote yanayotokea.
I concur with you yeye atakuwa zake huko kibanda maiti baada ya miaka 2 maana najua mwaka huu agombe tenaIvi na akili zako una Imani na Hangaya
Yule ye apa anachuma tu ila Hana uchungu na nchi hii ya wadanganyika a.k.a nyumbu wa Serengeti ndo maana alisema mnaua nchi yenu wenyewe kuweni na akili basi mbona muda wote hamufikirii hata nchi yenu kutwa kujadili ujinga
Njia zipo nyingi hata mtangulizi wake tulitoa kwa njia nyingineKwa hiyo kwa urefu huo wa njia, mnapanga kumtoa.